Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwa tabasamu hili namba tayari😂Jipange vizuri😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa tabasamu hili namba tayari😂Jipange vizuri😅
Wewe katekista siwezi kukunyima ujueKwa tabasamu hili namba tayari😂
Wakati wenzako wananiona fataki🤣Wewe katekista siwezi kukunyima ujue
Wanakuonea buree maskiniWakati wenzako wananiona fataki🤣
Sasa nitafanya kweli hadi wafurahiWanakuonea buree maskini
Hakuna kuwaonea huruma tenaSasa nitafanya kweli hadi wafurahi
Uti sugu vipi?🤣Hakuna kuwaonea huruma tena
Charaza haoo
Dah mi sijui bana😅Uti sugu vipi?🤣
Usalama upo mkufunzi. Usiogope hali ikiwa shwari nataka tujumuike wote pale kijiweni petu pamoja na wapwaNajua ulipiga sana hesabu namna ya kuniibia mpwa😂😂😂😂
Sijui kama usalama upo hata hivyo🤣🤣
Wakati una ngenye ndipo utaona hazifanani, sasa ukimwaga tu kamoja unaanza kukumbuka hela zote ulizohonga 😄😄😄😄Ulidanganywa mkuu nyama zile hazifanani kamwe
Bablai, kuna yupo ukimwaga unatamani kuendelea, lkn mwingine ukiingiza tu unatamani kuahirisha mechi aseeWakati una ngenye ndipo utaona hazifanani, sasa ukimwaga tu kamoja unaanza kukumbuka hela zote ulizohonga 😄😄😄😄
Ndipo utafahamu hakuna maajabu, kesho yake unatafuta mwingine na mwingine ila bado ni vile vile sawasawa na kubet....😄😄😄
NakujaWazee wa kupambania Kombe..
Huwa mnatumia Njia gani kuomba/kuchukua namba za simu katika Mazingira MAGUMU na HATARISHI?
Umafia:
Part 1>
Nilikuwa nipo katika Daladala watu wengi vibaya mno, nikatupia jicho pembeni nikaona KIFAA kimetulia kinachezea simu. Nikajiuliza hapa namba nabebaje? Kuangalia nje bado vituo viwili nishuke.
Kuchek katika wallet business card binafsi zimeisha zimebaki za Ofisini (Michoresho) nikaona hii hapana kuitoa.
Nikajipapasa huku na kule bahati nzuri nilibahatisha kipande cha TICKET ya Bus la mkoani, na katika ile ticket kuna namba yangu ya SIMU, sikujiuliza mara mbili wakati nashuka nikamshtua yule mrembo kwa kumgusa begani then ile ticket nikaipitisha kwa chini kama vile alikuwa kaiangusha then nikamkazia machoni huku nikimuonyesha ishara ya NIPIGIE. Mie nikashuka zangu huyo Home nikatulia.
Zikapita kama siku 5 kimya, nikaona hapa Mkeka umechanika.. siku ya 6 jioni nipo viti virefu nashangaa namba ngeni kupokea ni yule Manzi.. akajitambulisha pale.. then the rest is history..😋
Kuna wengine wanatumia mpaka Hela kuandika namba (Karatasi hakuna).. mtu anachukua noti ya elf 10 anachora namba yake anamkabidhi mrembo..
Wee jamaa una kaujinga 😂😂😂😂 hii scene ilikiwa ngumuPart 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.
Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.
Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).
Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..
Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.
Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. 🤣
Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.
Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.
Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..
Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...
Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Maskini mie sina account ðŸ˜Achana na kupewa hela kwenye simu tupia akaunti yako kwenye PM. Maparachichi hayajawahi niangusha.
[emoji1786][emoji1786]
Wewe inaonekana mzinzi sasa unashindwaje kuwa na business card mpaka uanze kutoa tiketi ya basi? Ukishakuwa na logo na business name unabaki na copy kwa mtu wako unakuwa unaenda kutoa copy kila zikiisha. Quality ya kawaida ni 10,000 unapata cards 100. Hili nalo linakushinda.Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..
Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.
"Attacking while Defending"
Mlolongo mrefuu kama NIDA.. 🥲Uangalizi still on progress rafiki
Dah! Hii ya hela za kwenye simu wavulana ndio wanaweza. Ngoja nione mbadala maana li moyo limekudondokeaMaskini mie sina account [emoji24]
Shoga yangu Evelyn Salt napitwa na gari la mshahara hivi hivi kimasihara
Hiyo tulikutana wote watoto wa mjini.Wee jamaa una kaujinga 😂😂😂😂 hii scene ilikiwa ngumu