Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

[emoji23] kumbe wakat huo mume wake kasema tu "samahan mke wangu hapa nina mawazo sina hela ya kukupa uende saluni ukaset nywele zako sijafanikiwa kupata nilipokuwa nategemea" hapo hapo akiulizwa na kijana mwenye kiduku anasema "JIMBO LIKO WAZI" Kumbe kisa mme hajampa ya saloon
Na sisi tunapita nao tu jumla jumla..
 
...endelea bc mkuu stor ya part 2 episode 3 baada ya jamaa ako kuwaelekeza unapoishi
 
Ilikuwaje..
Huyo demu ana private company anamiliki, surprisingly that very day tulikuwa tunakunywa same drink na yeye tofauti na wengine, japo mimi nilimpenda dogodogo meza hio hio kumbe dogo dogo ni demu wa mmoja wa masela wale, lugha ya macho na uvaaji wangu kibonge akapenda nikamchana kwa ushangiliaji wa Gabriel Jesus wa Arsenal mapema sana demu kaja mezani. Akanambia uko nice and you gotta guts nikamjibu my emotional capture is always my strength biologically. Namkula mpaka leo
 
Huyo demu ana private company anamiliki, surprisingly that very day tulikuwa tunakunywa same drink na yeye tofauti na wengine, japo mimi nilimpenda dogodogo meza hio hio kumbe dogo dogo ni demu wa mmoja wa masela wale, lugha ya macho na uvaaji wangu kibonge akapenda nikamchana kwa ushangiliaji wa Gabriel Jesus wa Arsenal mapema sana demu kaja mezani. Akanambia uko nice and you gotta guts nikamjibu my emotional capture is always my strength biologically. Namkula mpaka leo
Hahahaha kwamba.. "My emotional capture is always my strength biologically"
 
Story ile ya PART 2:
Naona kuna wadau wameomba niendelezee nini kilikuja nitokea baadae.
MIRA01 mawardat Statics

Tuliwasiliana na yule Manzi mara kwa mara, nikaja kugundua ni Mke wa mtu na yupo katika Ndoa changa yenye visa vingi. Ambavyo baadhi aliniweka wazi na vingine hakuniambia nilikuja kujua tu baada ya kufanya tafiti zangu.

Kuna siku tulipanga tuonane maeneo ya Mjini Kkoo, yeye alitokea kazini maana alikuwa anafanya katika moja ya hii mitandao ya Simu, basi bhana mida ya jioni tulivu nakumbuka ilikuwa Ijumaa tulikutana Kkoo katika petrol station iliyopo karibu na mtaa wa kongo.

Alinipick tukakubaliana pale sio sehem nzuri ya kuongea hivyo tuingie atleast City Mall. Nikashangaa tumefika Mnazi mmoja akatafuta parking akaipaki ile gari akashuka na mie nikashuka akaniambia "Tuchukue Bajaji or tutembee?" sikumwelewa alikuwa anamaanisha nini ila nikamwambia tuchukue bajaji, nikasimamisha pale tukapanda na kusogea mpaka City Mall.

Kuingia mpaka ndani, kuna restaurant moja ipo floor ya 3 kwa wale wahindi tukakaa pale zikaanza story za hapa na pale.

Nilimuuliza swali dogo tu "Kwanini umeacha gari Mnazi mmoja wakati huku pia kuna parking"? alicheka tu hakunijibu kitu. Mie sikumuuliza tena tukawa tunaongea tu ishu zingine ghafla simu yake ikaita na muda huo tumeagiza Chakula tunasubiri.

Alisogea pembeni akaongea kama Dakika 2 na kurudi akiwa kabadirika sura kias. Nikamuuliza nini shida? Akaniambia amepigiwa simu ya dharula anahitajika kurudi ofisini haraka sana.

Mie sikuwa na usemi, akakusanya pochi yake, akatoweka pale.

Sasa mie nipo tu sielewi zikaja plate mbili za msosi, nikaomba moja ifungwe as take home package. Nyingine nikaipiga pale pale, nikalipa Bill kwa kadi ikawa inasumbua.
Sasa nikajaribu kuchek simu yangu nione kama meseji imerudi au vipi, kumbe simu nayo niliacha katika ile gari ya yule Manzi. (Kiswaswadu) sasa nipo na simu kubwa kumchek simu hapokei, napiga ya kwangu iliita mara moja ikawa haiiti tena.

Basi nikaclear kwa cash ile Bill, nikajipindua kutafuta Daladala Mnazi mmoja nirudi Tabata.

Siku ilipita bila kuwasiliana nae tena, kesho yake nikawa napiga simu yangu inaita tu haipokelewi. Ya yule Dada nayo inaita haipokelewi. Nikapata wasiwasi inakuaje hii?

Basi nikaendelea na shughuli zangu za kila siku.. Jioni ya siku ya 4 tangia tuachane nae kule town, akanitumia text (XXX We need to talk). Sikujibu text nilimpigia hakupokea akawa anasema tuchat yupo ktk kikao.

Mie akili ikanicheza huyu sio kawaida yake.. ikaja text ya kuomba appointment kinondoni maeneo ya Biafra, usiku saa 2. Nikamuuliza swali kuhusu simu yangu akasema ninayo ila imecrack kioo hivyo hawezi kupokea namba ambayo hajui nani anapiga asije nigombanisha au kuniharibia mambo yangu. Ila tuchat tu nisipige simu.

Basi sawa, kuna Mwanangu mmoja nilimpanga situation ilivyo, akaniambia hiyo haipo sawa kuna viashiria sio vya kawaida. (Jamaa anaamini sana ushirikina) akawa ananijaza huwenda huyo manzi ni Jini. Mie nikaona ananizingua tu tukaagana pale huyo nikadaka Daladala mpaka Kinondoni nikatafuta kona moja nikatulia. (Nilifika mapema zaidi mida ya saa 12).

Nikapiga ile simu ya yule Manzi hapokei. Ikaja text ambayo kwa ule mwandiko nikaona kabisa hii mbona sauti ya kiume kabisa. Maana alinicommand nisiwe kama mtoto mdogo ananiambia kitu sisikiii na mambo kama hayo. Mie nikamrudishia text kwamba yeye ndio mtoto kwanini hataki kupokea simu? Kuna nini kinaendelea? Hakunijibu mpaka saa 1 na nusu akaniambia umefika? Nikamjibu bado nakaribia after 20 minutes ntakuwa hapo.

Nia yangu nione tukio zima anakujaje? And this time sikutaka kabisa kuwa front front.

Baada ya dk kadhaa almost kama 10, niliona ile gari imesimama karibu na zile costa zinazopaki pale, wakashuka watu wawili mmoja alisimama upande ule mwingine akasogea upande wa pili.

Alafu ile gari ikapaki pembeni kidogo.

Akashuka yule Manzi akasimama mbele ya gari yake.

Mie muda huo nausoma tu mchezo. Safari hii ndio akanipigia simu nipo wapi ? Nikamuuliza text ya mwisho umeisoma kweli mbn unaniuliza swali hilo hilo na uligoma tuongee kwa simu? Akawa anababaika.

Nikamwambia nakaribia nisubiri.

Sasa kichwani nikapata ukakasi ni nini exactly kinaendelea pale, nilichofanya nilisogea upande wa pili nikawa nawatazama horizontally, nikazima simu.

Ilipita kama nusu saa hivi akashuka mtu mwingine wa tatu ambaye yeye alishukia upande wa Dereva (Ndie aliyekuwa anaendesha ile gari) nikaona wanajibishana pale wale wengine wakasogea wakaamua wapande kwenye gari waondoke.

Na mimi nikabadiri njia nikazunguka huko mbali nikaamsha.

Nafika home kuwasha simu, nakutana na Text kibao za upo wapi etc. Sikujibu.

Nikawa sina Amani ni nini kinaendelea ukizingatia hata Mzigo sijala.

Ile simu yangu walitafuta txt wakapata ya jamaa yangu mmoja wa kazini, wakaona huyu atawafaa kunikutanisha nao. Maana walimpigia kwa namba nyingine then wakamuomba awaelekeze napoishi ili wanione mimi ndugu yao sijui na vitu kama hivyo. Jamaa nae hakuwaza mara mbili akawaelekeza kweli.


Itaendelea..
Muendelezo...:
Statics mawardat Rayns

Ilipita kama siku 3 bila mawasiliano yoyote baina yangu na yule Dada, nikawa naendelea na harakati zangu nipo job, nikakutana na Mwamba yule aliyenichomesha. Piga story mbili tatu akanielezea jinsi alivyotafutwa na hao waliojitambulisha kuwa ni Ndugu zangu.

Mie nikamwambia ni namna gani kaniharibia mambo yangu, na mbaya zaidi aliwaambia mpaka kazi yangu ni wapi exactly.

Basi, nikawa naishi kama Dididigi.., kazini full machale, home ndio kabisa nalala jicho moja lipo wazi.

Kuna siku nimetulia home ikaingia namba ngeni, nikapokea ni sauti ya kike, kumskiliza vizuri ni yule yule Manzi, akaniambia ile sio namba yake rasmi ni ya mtu wa ofisin kwake, amechukuliwa simu zake, gari mpk kadi za bank na mumewe.

Na yeye ndie anamfata kazini na kumpeleka, and akaniambia niwe makini maana mumewe si mtu mzuri, sasa nikamuuliza mumewe na mimi kuna connection gani hapo mpaka anitafute? Kwani mm na ww tunamahusiano yoyote? (Kumbuka hapo sijamtongoza wala kuweka ishu za mapenzi), yule Dada akasema analijua hilo ila kuna mtu aliwahi kumuona nae na kuna watu wanapeleka umbea yaan mambo mengi mie hata sikumwelewa. Nikakata simu.

Basi, ikabidi nikae chini nianze kutatua hii shida, nikaweka mikakati ya anonymity yaani ratiba na schedules zangu ni unpredictable, simu nikabadirisha pamoja na line. Ila nilichofanya ni kuiweka ile line yangu ya zamani ktk moderm. Kuna sayansi behind it.

Ni hivi Network protocols za Simu zipo same na za Moderm ndio maana tunapata sms na data. Ila calls huwa ni ngumu mara nyingi zinakuwa rejected au kuweka line busy. Pia traceability ni ndogo kunitafuta nipo wapi exactly itatuma taarifa ya mnara ila haitokupa pinpoint nipo wapi. Tofauti na simu ya kawaida yenyewe inabroadcast exactly upo wapi.

Tuendelee..

Pia nikaamua kuacha kazi kwa hiari. (Situation ilikuwa very worse nikawa sina AMANI), na baadhi ya watu wangu wa karibu hasa wanaonijua vzr niliwaambia nimepoteza simu so wawe makini kuna matepeli na vitu kama hivyo ili pia isije kutokea wakanichomesha zaidi.

Sasa, kuna siku ilikuwa weekend usiku kama saa 3 hivi, niliishiwa umeme na ktk simu hela sina nikaona nisogee mtaani kutafuta namna ya kusolve tatizo.

nilikaa kama nusu saa huko, wakati narudi niliona kama watu wawili, mmoja kavaa suti ya dark blue mwingine kavaa kanzu, huyu aliyevaa kanzu alikuwa anapiga picha pale napokaa na mazingira ya nje pale. Nikawaangalia baada ya kumaliza wakawa wanaongea na simu, sikuwasikia wanaongea nini. Nikajivuta pembeni nione vizuri hata sura.

Basi baada ya kumaliza kuongea na simu waligonga pale nje kama mara mbili tatu baada ya kuona kimya wakaanza kuchungulia madirishani huku wanazunguka zunguka nje.. sasa kuna gari ilikuwa inakuja upande wao nikaona wanatoka pale wanasogea barabarani (Walikuwa wanazuga) gari ikawapiga taa nikaona mmoja sura yake vizuri.

Yule mwingine aliyevaa kanzu sikumuona, gari ikanipita.. na wao hawakukaa sana waliondoka pale kwa kutembea kwa miguu kuelekea main road. Na mimi nikawafata mbele kidogo nikaona wamepanda kwenye pickup zile kama za police, na mule ndani kulikuwa na wengine kama watatu plus dereva jumla walikuwa kama 6.

Mie nikarudi kwa njia nyingine nikakaa nje kama masaa mawili nagombana na Mbu tu.. ndani hapakaliki, nje hapalaliki.

Mida kama ya saa 6 usiku nikaingia home, nikapanga vitu vyangu vya muhimu vizuri, kesho yake nikaita bajaji nikavihamisha kwa wazee, nikarudi kumtafuta Landlord nikaongea nae na kumwambia nina safari ya miezi kama minne sitakuwepo au kama ntakuja sitakaa zaidi ya siku mbili. Kodi imebakije? Akanitajia kodi imebaki miezi miwili. Nikamwambia sawa hamna neno, ila kama sitaonekana akae akijua nimesafiri au mtu yeyote akiniulizia awaambie nimesafiri, wapi? awaambie hajui.

Hivyo, so nilichokuwa nafanya ni kurudi usiku saaana na kuwahi kutoka. Nilikuwa naenda katika chuo kimoja (Sitakitaja Jina) kama part time Technician and tutor, nikitoka naenda kwenye ma bar au clubs mpk mida isogee ndio narudi. Yaan niliishi kwa wiki mbili mfululizo kama mwizi au jambazi anayesakwa.

Muda huo natafutwa na namba tofaut tofauti ikiwemo na yule Manzi pia, sasa nashindwa ku ignore namba ngeni. Kila ikiingia text kuna namna namuuliza aliyetuma jibu atakalonipa najua huyu ni fulani so tunaendelea kuchat maana kwa maongezi ya simu haiwezekani, line ipo kwenye moderm na natumia PC pale napokuwa nimetulia kama huko chuoni au nikijibana kwenye ki pub au Bar.

Itaendelea nikipata muda wa kuandika.. this time ni nani exactly huyo Mumewe, ni nani aliyekuwa anamtafuta. Na mimi ilikuwaje nikasolve hii ishu.
 
Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).

Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..

Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.

Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. 🤣

Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.

Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.

Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..

Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...

Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Dah karibu leo kwa neema sinza kwa ujumbe huu umefanikiwa rasmi kuingia kundi la mabaharia.
 
Muendelezo...:
Statics mawardat Rayns

Ilipita kama siku 3 bila mawasiliano yoyote baina yangu na yule Dada, nikawa naendelea na harakati zangu nipo job, nikakutana na Mwamba yule aliyenichomesha. Piga story mbili tatu akanielezea jinsi alivyotafutwa na hao waliojitambulisha kuwa ni Ndugu zangu.

Mie nikamwambia ni namna gani kaniharibia mambo yangu, na mbaya zaidi aliwaambia mpaka kazi yangu ni wapi exactly.

Basi, nikawa naishi kama Dididigi.., kazini full machale, home ndio kabisa nalala jicho moja lipo wazi.

Kuna siku nimetulia home ikaingia namba ngeni, nikapokea ni sauti ya kike, kumskiliza vizuri ni yule yule Manzi, akaniambia ile sio namba yake rasmi ni ya mtu wa ofisin kwake, amechukuliwa simu zake, gari mpk kadi za bank na mumewe.

Na yeye ndie anamfata kazini na kumpeleka, and akaniambia niwe makini maana mumewe si mtu mzuri, sasa nikamuuliza mumewe na mimi kuna connection gani hapo mpaka anitafute? Kwani mm na ww tunamahusiano yoyote? (Kumbuka hapo sijamtongoza wala kuweka ishu za mapenzi), yule Dada akasema analijua hilo ila kuna mtu aliwahi kumuona nae na kuna watu wanapeleka umbea yaan mambo mengi mie hata sikumwelewa. Nikakata simu.

Basi, ikabidi nikae chini nianze kutatua hii shida, nikaweka mikakati ya anonymity yaani ratiba na schedules zangu ni unpredictable, simu nikabadirisha pamoja na line. Ila nilichofanya ni kuiweka ile line yangu ya zamani ktk moderm. Kuna sayansi behind it.

Ni hivi Network protocols za Simu zipo same na za Moderm ndio maana tunapata sms na data. Ila calls huwa ni ngumu mara nyingi zinakuwa rejected au kuweka line busy. Pia traceability ni ndogo kunitafuta nipo wapi exactly itatuma taarifa ya mnara ila haitokupa pinpoint nipo wapi. Tofauti na simu ya kawaida yenyewe inabroadcast exactly upo wapi.

Tuendelee..

Pia nikaamua kuacha kazi kwa hiari. (Situation ilikuwa very worse nikawa sina AMANI), na baadhi ya watu wangu wa karibu hasa wanaonijua vzr niliwaambia nimepoteza simu so wawe makini kuna matepeli na vitu kama hivyo ili pia isije kutokea wakanichomesha zaidi.

Sasa, kuna siku ilikuwa weekend usiku kama saa 3 hivi, niliishiwa umeme na ktk simu hela sina nikaona nisogee mtaani kutafuta namna ya kusolve tatizo.

nilikaa kama nusu saa huko, wakati narudi niliona kama watu wawili, mmoja kavaa suti ya dark blue mwingine kavaa kanzu, huyu aliyevaa kanzu alikuwa anapiga picha pale napokaa na mazingira ya nje pale. Nikawaangalia baada ya kumaliza wakawa wanaongea na simu, sikuwasikia wanaongea nini. Nikajivuta pembeni nione vizuri hata sura.

Basi baada ya kumaliza kuongea na simu waligonga pale nje kama mara mbili tatu baada ya kuona kimya wakaanza kuchungulia madirishani huku wanazunguka zunguka nje.. sasa kuna gari ilikuwa inakuja upande wao nikaona wanatoka pale wanasogea barabarani (Walikuwa wanazuga) gari ikawapiga taa nikaona mmoja sura yake vizuri.

Yule mwingine aliyevaa kanzu sikumuona, gari ikanipita.. na wao hawakukaa sana waliondoka pale kwa kutembea kwa miguu kuelekea main road. Na mimi nikawafata mbele kidogo nikaona wamepanda kwenye pickup zile kama za police, na mule ndani kulikuwa na wengine kama watatu plus dereva jumla walikuwa kama 6.

Mie nikarudi kwa njia nyingine nikakaa nje kama masaa mawili nagombana na Mbu tu.. ndani hapakaliki, nje hapalaliki.

Mida kama ya saa 6 usiku nikaingia home, nikapanga vitu vyangu vya muhimu vizuri, kesho yake nikaita bajaji nikavihamisha kwa wazee, nikarudi kumtafuta Landlord nikaongea nae na kumwambia nina safari ya miezi kama minne sitakuwepo au kama ntakuja sitakaa zaidi ya siku mbili. Kodi imebakije? Akanitajia kodi imebaki miezi miwili. Nikamwambia sawa hamna neno, ila kama sitaonekana akae akijua nimesafiri au mtu yeyote akiniulizia awaambie nimesafiri, wapi? awaambie hajui.

Hivyo, so nilichokuwa nafanya ni kurudi usiku saaana na kuwahi kutoka. Nilikuwa naenda katika chuo kimoja (Sitakitaja Jina) kama part time Technician and tutor, nikitoka naenda kwenye ma bar au clubs mpk mida isogee ndio narudi. Yaan niliishi kwa wiki mbili mfululizo kama mwizi au jambazi anayesakwa.

Muda huo natafutwa na namba tofaut tofauti ikiwemo na yule Manzi pia, sasa nashindwa ku ignore namba ngeni. Kila ikiingia text kuna namna namuuliza aliyetuma jibu atakalonipa najua huyu ni fulani so tunaendelea kuchat maana kwa maongezi ya simu haiwezekani, line ipo kwenye moderm na natumia PC pale napokuwa nimetulia kama huko chuoni au nikijibana kwenye ki pub au Bar.

Itaendelea nikipata muda wa kuandika.. this time ni nani exactly huyo Mumewe, ni nani aliyekuwa anamtafuta. Na mimi ilikuwaje nikasolve hii ishu.
Umesakwa kama umegusa nyara za serikali vile
 
Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).

Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..

Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.

Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. [emoji1787]

Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.

Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.

Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..

Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...

Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Hii Stori nzuri ya kuishi kama mwizi, irefushe kidogo mkuu [emoji3]
 
Muendelezo...:
Statics mawardat Rayns

Ilipita kama siku 3 bila mawasiliano yoyote baina yangu na yule Dada, nikawa naendelea na harakati zangu nipo job, nikakutana na Mwamba yule aliyenichomesha. Piga story mbili tatu akanielezea jinsi alivyotafutwa na hao waliojitambulisha kuwa ni Ndugu zangu.

Mie nikamwambia ni namna gani kaniharibia mambo yangu, na mbaya zaidi aliwaambia mpaka kazi yangu ni wapi exactly.

Basi, nikawa naishi kama Dididigi.., kazini full machale, home ndio kabisa nalala jicho moja lipo wazi.

Kuna siku nimetulia home ikaingia namba ngeni, nikapokea ni sauti ya kike, kumskiliza vizuri ni yule yule Manzi, akaniambia ile sio namba yake rasmi ni ya mtu wa ofisin kwake, amechukuliwa simu zake, gari mpk kadi za bank na mumewe.

Na yeye ndie anamfata kazini na kumpeleka, and akaniambia niwe makini maana mumewe si mtu mzuri, sasa nikamuuliza mumewe na mimi kuna connection gani hapo mpaka anitafute? Kwani mm na ww tunamahusiano yoyote? (Kumbuka hapo sijamtongoza wala kuweka ishu za mapenzi), yule Dada akasema analijua hilo ila kuna mtu aliwahi kumuona nae na kuna watu wanapeleka umbea yaan mambo mengi mie hata sikumwelewa. Nikakata simu.

Basi, ikabidi nikae chini nianze kutatua hii shida, nikaweka mikakati ya anonymity yaani ratiba na schedules zangu ni unpredictable, simu nikabadirisha pamoja na line. Ila nilichofanya ni kuiweka ile line yangu ya zamani ktk moderm. Kuna sayansi behind it.

Ni hivi Network protocols za Simu zipo same na za Moderm ndio maana tunapata sms na data. Ila calls huwa ni ngumu mara nyingi zinakuwa rejected au kuweka line busy. Pia traceability ni ndogo kunitafuta nipo wapi exactly itatuma taarifa ya mnara ila haitokupa pinpoint nipo wapi. Tofauti na simu ya kawaida yenyewe inabroadcast exactly upo wapi.

Tuendelee..

Pia nikaamua kuacha kazi kwa hiari. (Situation ilikuwa very worse nikawa sina AMANI), na baadhi ya watu wangu wa karibu hasa wanaonijua vzr niliwaambia nimepoteza simu so wawe makini kuna matepeli na vitu kama hivyo ili pia isije kutokea wakanichomesha zaidi.

Sasa, kuna siku ilikuwa weekend usiku kama saa 3 hivi, niliishiwa umeme na ktk simu hela sina nikaona nisogee mtaani kutafuta namna ya kusolve tatizo.

nilikaa kama nusu saa huko, wakati narudi niliona kama watu wawili, mmoja kavaa suti ya dark blue mwingine kavaa kanzu, huyu aliyevaa kanzu alikuwa anapiga picha pale napokaa na mazingira ya nje pale. Nikawaangalia baada ya kumaliza wakawa wanaongea na simu, sikuwasikia wanaongea nini. Nikajivuta pembeni nione vizuri hata sura.

Basi baada ya kumaliza kuongea na simu waligonga pale nje kama mara mbili tatu baada ya kuona kimya wakaanza kuchungulia madirishani huku wanazunguka zunguka nje.. sasa kuna gari ilikuwa inakuja upande wao nikaona wanatoka pale wanasogea barabarani (Walikuwa wanazuga) gari ikawapiga taa nikaona mmoja sura yake vizuri.

Yule mwingine aliyevaa kanzu sikumuona, gari ikanipita.. na wao hawakukaa sana waliondoka pale kwa kutembea kwa miguu kuelekea main road. Na mimi nikawafata mbele kidogo nikaona wamepanda kwenye pickup zile kama za police, na mule ndani kulikuwa na wengine kama watatu plus dereva jumla walikuwa kama 6.

Mie nikarudi kwa njia nyingine nikakaa nje kama masaa mawili nagombana na Mbu tu.. ndani hapakaliki, nje hapalaliki.

Mida kama ya saa 6 usiku nikaingia home, nikapanga vitu vyangu vya muhimu vizuri, kesho yake nikaita bajaji nikavihamisha kwa wazee, nikarudi kumtafuta Landlord nikaongea nae na kumwambia nina safari ya miezi kama minne sitakuwepo au kama ntakuja sitakaa zaidi ya siku mbili. Kodi imebakije? Akanitajia kodi imebaki miezi miwili. Nikamwambia sawa hamna neno, ila kama sitaonekana akae akijua nimesafiri au mtu yeyote akiniulizia awaambie nimesafiri, wapi? awaambie hajui.

Hivyo, so nilichokuwa nafanya ni kurudi usiku saaana na kuwahi kutoka. Nilikuwa naenda katika chuo kimoja (Sitakitaja Jina) kama part time Technician and tutor, nikitoka naenda kwenye ma bar au clubs mpk mida isogee ndio narudi. Yaan niliishi kwa wiki mbili mfululizo kama mwizi au jambazi anayesakwa.

Muda huo natafutwa na namba tofaut tofauti ikiwemo na yule Manzi pia, sasa nashindwa ku ignore namba ngeni. Kila ikiingia text kuna namna namuuliza aliyetuma jibu atakalonipa najua huyu ni fulani so tunaendelea kuchat maana kwa maongezi ya simu haiwezekani, line ipo kwenye moderm na natumia PC pale napokuwa nimetulia kama huko chuoni au nikijibana kwenye ki pub au Bar.

Itaendelea nikipata muda wa kuandika.. this time ni nani exactly huyo Mumewe, ni nani aliyekuwa anamtafuta. Na mimi ilikuwaje nikasolve hii ishu.

Dah kama movie vile .... tumalizie leo leo mkuu , usiache kiporo
 
Muendelezo...:
Statics mawardat Rayns

Ilipita kama siku 3 bila mawasiliano yoyote baina yangu na yule Dada, nikawa naendelea na harakati zangu nipo job, nikakutana na Mwamba yule aliyenichomesha. Piga story mbili tatu akanielezea jinsi alivyotafutwa na hao waliojitambulisha kuwa ni Ndugu zangu.

Mie nikamwambia ni namna gani kaniharibia mambo yangu, na mbaya zaidi aliwaambia mpaka kazi yangu ni wapi exactly.

Basi, nikawa naishi kama Dididigi.., kazini full machale, home ndio kabisa nalala jicho moja lipo wazi.

Kuna siku nimetulia home ikaingia namba ngeni, nikapokea ni sauti ya kike, kumskiliza vizuri ni yule yule Manzi, akaniambia ile sio namba yake rasmi ni ya mtu wa ofisin kwake, amechukuliwa simu zake, gari mpk kadi za bank na mumewe.

Na yeye ndie anamfata kazini na kumpeleka, and akaniambia niwe makini maana mumewe si mtu mzuri, sasa nikamuuliza mumewe na mimi kuna connection gani hapo mpaka anitafute? Kwani mm na ww tunamahusiano yoyote? (Kumbuka hapo sijamtongoza wala kuweka ishu za mapenzi), yule Dada akasema analijua hilo ila kuna mtu aliwahi kumuona nae na kuna watu wanapeleka umbea yaan mambo mengi mie hata sikumwelewa. Nikakata simu.

Basi, ikabidi nikae chini nianze kutatua hii shida, nikaweka mikakati ya anonymity yaani ratiba na schedules zangu ni unpredictable, simu nikabadirisha pamoja na line. Ila nilichofanya ni kuiweka ile line yangu ya zamani ktk moderm. Kuna sayansi behind it.

Ni hivi Network protocols za Simu zipo same na za Moderm ndio maana tunapata sms na data. Ila calls huwa ni ngumu mara nyingi zinakuwa rejected au kuweka line busy. Pia traceability ni ndogo kunitafuta nipo wapi exactly itatuma taarifa ya mnara ila haitokupa pinpoint nipo wapi. Tofauti na simu ya kawaida yenyewe inabroadcast exactly upo wapi.

Tuendelee..

Pia nikaamua kuacha kazi kwa hiari. (Situation ilikuwa very worse nikawa sina AMANI), na baadhi ya watu wangu wa karibu hasa wanaonijua vzr niliwaambia nimepoteza simu so wawe makini kuna matepeli na vitu kama hivyo ili pia isije kutokea wakanichomesha zaidi.

Sasa, kuna siku ilikuwa weekend usiku kama saa 3 hivi, niliishiwa umeme na ktk simu hela sina nikaona nisogee mtaani kutafuta namna ya kusolve tatizo.

nilikaa kama nusu saa huko, wakati narudi niliona kama watu wawili, mmoja kavaa suti ya dark blue mwingine kavaa kanzu, huyu aliyevaa kanzu alikuwa anapiga picha pale napokaa na mazingira ya nje pale. Nikawaangalia baada ya kumaliza wakawa wanaongea na simu, sikuwasikia wanaongea nini. Nikajivuta pembeni nione vizuri hata sura.

Basi baada ya kumaliza kuongea na simu waligonga pale nje kama mara mbili tatu baada ya kuona kimya wakaanza kuchungulia madirishani huku wanazunguka zunguka nje.. sasa kuna gari ilikuwa inakuja upande wao nikaona wanatoka pale wanasogea barabarani (Walikuwa wanazuga) gari ikawapiga taa nikaona mmoja sura yake vizuri.

Yule mwingine aliyevaa kanzu sikumuona, gari ikanipita.. na wao hawakukaa sana waliondoka pale kwa kutembea kwa miguu kuelekea main road. Na mimi nikawafata mbele kidogo nikaona wamepanda kwenye pickup zile kama za police, na mule ndani kulikuwa na wengine kama watatu plus dereva jumla walikuwa kama 6.

Mie nikarudi kwa njia nyingine nikakaa nje kama masaa mawili nagombana na Mbu tu.. ndani hapakaliki, nje hapalaliki.

Mida kama ya saa 6 usiku nikaingia home, nikapanga vitu vyangu vya muhimu vizuri, kesho yake nikaita bajaji nikavihamisha kwa wazee, nikarudi kumtafuta Landlord nikaongea nae na kumwambia nina safari ya miezi kama minne sitakuwepo au kama ntakuja sitakaa zaidi ya siku mbili. Kodi imebakije? Akanitajia kodi imebaki miezi miwili. Nikamwambia sawa hamna neno, ila kama sitaonekana akae akijua nimesafiri au mtu yeyote akiniulizia awaambie nimesafiri, wapi? awaambie hajui.

Hivyo, so nilichokuwa nafanya ni kurudi usiku saaana na kuwahi kutoka. Nilikuwa naenda katika chuo kimoja (Sitakitaja Jina) kama part time Technician and tutor, nikitoka naenda kwenye ma bar au clubs mpk mida isogee ndio narudi. Yaan niliishi kwa wiki mbili mfululizo kama mwizi au jambazi anayesakwa.

Muda huo natafutwa na namba tofaut tofauti ikiwemo na yule Manzi pia, sasa nashindwa ku ignore namba ngeni. Kila ikiingia text kuna namna namuuliza aliyetuma jibu atakalonipa najua huyu ni fulani so tunaendelea kuchat maana kwa maongezi ya simu haiwezekani, line ipo kwenye moderm na natumia PC pale napokuwa nimetulia kama huko chuoni au nikijibana kwenye ki pub au Bar.

Itaendelea nikipata muda wa kuandika.. this time ni nani exactly huyo Mumewe, ni nani aliyekuwa anamtafuta. Na mimi ilikuwaje nikasolve hii ishu.
Mwendlezo ety🙄
 
Back
Top Bottom