Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Part 2 aisee ni kisa kirefu kidogo..

Ila huyo Manzi baada ya kuwasiliana siku mbili tatu niligundua kuwa ni Mke wa Mtu na ametoka kufunga ndoa recently na aliyemuoa sio yule aliekuwa nae pale.

Yaan story ni ndefu ila ile Ndoa sina hakika kama ipo au La.. ila mie ndio nikawa Suspect namba moja, nilibadiri kuanzia namba yangu ya simu, Mpaka Makazi niliyokuwa naishi.

wewe si ulifumaniwa wakaja wanaume wawili wakakufanya vibaya ukalia sana
na namba yako wakawa nayo wakawa wanataka game kwako kila mara ukaona marida yanaondolewa ukahama mtaa na makazi na namba ukabadili kwa aibu, mbona nakufahamu juzi nilikuona kwenye daladala nikamueleza rafiki yangu kuwa ulifumuliwa marinda
 
Mkuu Gentlemen_ asante sana kwa story[emoji23] kama hutojali ifanye iwe story ndef tuwakimbizeee peleka mpaka epsode 20 tu zinatosha... Kuweka na Fiction ni juu yako... Nimependa uandishi wako, ukiweka muendelezo pia nitag tafadhal mkuu Gentlemen_
 
wewe si ulifumaniwa wakaja wanaume wawili wakakufanya vibaya ukalia sana
na namba yako wakawa nayo wakawa wanataka game kwako kila mara ukaona marida yanaondolewa ukahama mtaa na makazi na namba ukabadili kwa aibu, mbona nakufahamu juzi nilikuona kwenye daladala nikamueleza rafiki yangu kuwa ulifumuliwa marinda
Mzee subiri kwanza.. umekunywa chai? Ugonjwa wa Afya ya Akili siku hizi unaathiri watu wengi sana.. jitahidi utibu hilo tatizo kabla haujaanza kuokota makopo.
 
Mkuu Gentlemen_ asante sana kwa story[emoji23] kama hutojali ifanye iwe story ndef tuwakimbizeee peleka mpaka epsode 20 tu zinatosha... Kuweka na Fiction ni juu yako... Nimependa uandishi wako, ukiweka muendelezo pia nitag tafadhal mkuu Gentlemen_
Hahah mie nina visa vingi.. so itakuwa bandika, bandua... ni real issues..
 
Muendelezo...:
Statics mawardat Rayns

Ilipita kama siku 3 bila mawasiliano yoyote baina yangu na yule Dada, nikawa naendelea na harakati zangu nipo job, nikakutana na Mwamba yule aliyenichomesha. Piga story mbili tatu akanielezea jinsi alivyotafutwa na hao waliojitambulisha kuwa ni Ndugu zangu.

Mie nikamwambia ni namna gani kaniharibia mambo yangu, na mbaya zaidi aliwaambia mpaka kazi yangu ni wapi exactly.

Basi, nikawa naishi kama Dididigi.., kazini full machale, home ndio kabisa nalala jicho moja lipo wazi.

Kuna siku nimetulia home ikaingia namba ngeni, nikapokea ni sauti ya kike, kumskiliza vizuri ni yule yule Manzi, akaniambia ile sio namba yake rasmi ni ya mtu wa ofisin kwake, amechukuliwa simu zake, gari mpk kadi za bank na mumewe.

Na yeye ndie anamfata kazini na kumpeleka, and akaniambia niwe makini maana mumewe si mtu mzuri, sasa nikamuuliza mumewe na mimi kuna connection gani hapo mpaka anitafute? Kwani mm na ww tunamahusiano yoyote? (Kumbuka hapo sijamtongoza wala kuweka ishu za mapenzi), yule Dada akasema analijua hilo ila kuna mtu aliwahi kumuona nae na kuna watu wanapeleka umbea yaan mambo mengi mie hata sikumwelewa. Nikakata simu.

Basi, ikabidi nikae chini nianze kutatua hii shida, nikaweka mikakati ya anonymity yaani ratiba na schedules zangu ni unpredictable, simu nikabadirisha pamoja na line. Ila nilichofanya ni kuiweka ile line yangu ya zamani ktk moderm. Kuna sayansi behind it.

Ni hivi Network protocols za Simu zipo same na za Moderm ndio maana tunapata sms na data. Ila calls huwa ni ngumu mara nyingi zinakuwa rejected au kuweka line busy. Pia traceability ni ndogo kunitafuta nipo wapi exactly itatuma taarifa ya mnara ila haitokupa pinpoint nipo wapi. Tofauti na simu ya kawaida yenyewe inabroadcast exactly upo wapi.

Tuendelee..

Pia nikaamua kuacha kazi kwa hiari. (Situation ilikuwa very worse nikawa sina AMANI), na baadhi ya watu wangu wa karibu hasa wanaonijua vzr niliwaambia nimepoteza simu so wawe makini kuna matepeli na vitu kama hivyo ili pia isije kutokea wakanichomesha zaidi.

Sasa, kuna siku ilikuwa weekend usiku kama saa 3 hivi, niliishiwa umeme na ktk simu hela sina nikaona nisogee mtaani kutafuta namna ya kusolve tatizo.

nilikaa kama nusu saa huko, wakati narudi niliona kama watu wawili, mmoja kavaa suti ya dark blue mwingine kavaa kanzu, huyu aliyevaa kanzu alikuwa anapiga picha pale napokaa na mazingira ya nje pale. Nikawaangalia baada ya kumaliza wakawa wanaongea na simu, sikuwasikia wanaongea nini. Nikajivuta pembeni nione vizuri hata sura.

Basi baada ya kumaliza kuongea na simu waligonga pale nje kama mara mbili tatu baada ya kuona kimya wakaanza kuchungulia madirishani huku wanazunguka zunguka nje.. sasa kuna gari ilikuwa inakuja upande wao nikaona wanatoka pale wanasogea barabarani (Walikuwa wanazuga) gari ikawapiga taa nikaona mmoja sura yake vizuri.

Yule mwingine aliyevaa kanzu sikumuona, gari ikanipita.. na wao hawakukaa sana waliondoka pale kwa kutembea kwa miguu kuelekea main road. Na mimi nikawafata mbele kidogo nikaona wamepanda kwenye pickup zile kama za police, na mule ndani kulikuwa na wengine kama watatu plus dereva jumla walikuwa kama 6.

Mie nikarudi kwa njia nyingine nikakaa nje kama masaa mawili nagombana na Mbu tu.. ndani hapakaliki, nje hapalaliki.

Mida kama ya saa 6 usiku nikaingia home, nikapanga vitu vyangu vya muhimu vizuri, kesho yake nikaita bajaji nikavihamisha kwa wazee, nikarudi kumtafuta Landlord nikaongea nae na kumwambia nina safari ya miezi kama minne sitakuwepo au kama ntakuja sitakaa zaidi ya siku mbili. Kodi imebakije? Akanitajia kodi imebaki miezi miwili. Nikamwambia sawa hamna neno, ila kama sitaonekana akae akijua nimesafiri au mtu yeyote akiniulizia awaambie nimesafiri, wapi? awaambie hajui.

Hivyo, so nilichokuwa nafanya ni kurudi usiku saaana na kuwahi kutoka. Nilikuwa naenda katika chuo kimoja (Sitakitaja Jina) kama part time Technician and tutor, nikitoka naenda kwenye ma bar au clubs mpk mida isogee ndio narudi. Yaan niliishi kwa wiki mbili mfululizo kama mwizi au jambazi anayesakwa.

Muda huo natafutwa na namba tofaut tofauti ikiwemo na yule Manzi pia, sasa nashindwa ku ignore namba ngeni. Kila ikiingia text kuna namna namuuliza aliyetuma jibu atakalonipa najua huyu ni fulani so tunaendelea kuchat maana kwa maongezi ya simu haiwezekani, line ipo kwenye moderm na natumia PC pale napokuwa nimetulia kama huko chuoni au nikijibana kwenye ki pub au Bar.

Itaendelea nikipata muda wa kuandika.. this time ni nani exactly huyo Mumewe, ni nani aliyekuwa anamtafuta. Na mimi ilikuwaje nikasolve hii ishu.
Inaendelea..
Rayns mawardat MIRA01 Statics

Zilipita wiki mbili za Mwanzo kwa ugumu sana ingawa nilizoea kiasi hizo shida.

Kuna siku nipo Chuo nawapigisha msasa madogo wa diploma wale navyokumbuka, kuna mmoja alikuwa very interested na maswala ya Network infrastructure etc.. so akawa ananiuliza maswali mengi nikawa namjibu.

Baada ya kipindi kuisha akanifata pembeni, akaniuliza kama naweza kuwa na muda niwe nampigisha msasa hata home hivi au sehemu yotote ile katika muda wangu wa ziada.

Nikamwambia hiyo ngumu, then nikamuuliza interest yake ni nini hasa ktk hizo ishu? Hakusita kuniambia kwamba anahamu sana ya kufanya kazi ktk hizi kampuni za kimitandao like Tigo, Airtel etc. Nikampongeza then kanidokezea huko ana watu mbalimbali anafahamiana nao so yeye akipata Gamba tu kuingia ni rahisi ila anahitaji awe well competent na ndoto zake ni kusoma Telecommunications Engineering na vitu kama hivyo. Mie nikaona ananipigia kelele muda huo nishachoka, nikamwambia anipe mawasiliano yake siku nikiwa free ntamtafuta.

Wakati nipo njiani, akili ikanijia... kwanini nisitafute nini chanzo cha haya yote? Nini kipo nyuma ya pazia? Kama mimi nawindwa why na mimi nisiwinde ukweli niujue?.

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa navyokumbuka, niliwahi kutoka nikaenda ktk ofisi yangu ile ya Zamani kuna documents za kusaini na kurudisha vitambulisho vya kazi baada ya kukamilisha michakato yote ya kuacha kazi. Baada ya hapo Akili ikanituma niende anapofanyia kazi yule Dada (Ofisini kwake).

Sitaweka wazi ni wapi exactly ila nilifika mpaka pale, kulikuwa na madereva boda kwa nje na kivuli flani hivi, nikawa kama mtu aliyesimama muda mrefu kidgo kuna jamaa akanifata kuniuliza kama kuna mtu namsubiri au vipi? Kwa mavazi yake nilitambua ni Boda yule.

Basi, nikampanga kwamba kuna Mzigo nimekuja kuuchukua ila kuna Mzigo upo hapa na mwingine kauacha nyumbani, so inabidi niende nyumbani kwake hivyo namsubiri hapa akitoka niongozane nae. Yule boda akasema poa hamna shida akapanda juu ya piki pik yake akawa ametulia anakula story tu..

Mie nikavutiwa na story zao nikawa napiga domo pale, basi ghafla tukawa kama watu waliozoeana sana yani kama mmoja wao tu. Ghafla nikaiona ile gari ya yule Manzi imefika pale ikaingia sehem ya kupaki (Kumbuka sahivi anafatwa na kupelekwa kazini na Mumewe).

Kwa kuwa gari iliingia na kupaki katika direction ambayo ilinipa mgongo sikuweza kuona nani yumo ndani. So fasta nikamvuta Boda yule niliekuwa naongea nae.

Nikaanza kumpanga stori nyingi za uongo uongo then nikamuuliza kama boda ina wese? Akasema yapo ila sio mengi. Nikamwambia nenda kaweke kama ya elf 10 maana nimetumiwa ujumbe hapa kuna sehemu natakiw niende chap so wakati nasubiri mzigo hapa.. we nenda kajaze mafuta ili ukija niwe nishachukua mzigo alafu tukianza safari ni moja kwa moja. (Nilifanya hivyo maana najua bodaboda hawawekagi mafuta ya kutosha, na sitaki mishen yangu ifeli kwa uzembe wa kijinga jinga) so far misheni yangu ni kujua makazi rasmi ya yule Manzi na Mumewe ni wapi. So tunawindana.

Basi, mwamba akarudi fasta nikamuuliza umeweka kweli wese kidebe akatoa risiti nikaichek nikaona ya saa 3 asubuhi alafu muda huo ni saa 12 jioni nikampanga akacheka sana.. nikaachana na hizo ishu nikamwambia Mzigo bado sijaletewa ingawa ni boksi kubwa je anakamba au mipira ya ziada? Akasema hana, basi akaomba pale kwa wenzie akapata. (Hiyo yote ni kumset tu awe na imani kuhusu neno mzigo).

Basi, tukakaa kama dk 10 nikamuita tena pembeni nikamwambia umeiona ile gari ? Unaijua? Akasema yaah ya Dada xxx. Nikamwambia sasa huyo ndio ana mzigo mwingine tutaongozana hadi kwake, nikamtega kumuuliza kwake ni wapi? Akaniambia kuna siku alimpeleka Msasani, na kuna siku alimpeleka Kinyerezi. Sasa hajui wapi ni kwake katika hizo sehemu mbili. Basi nikamwambia ah kama unapajua basi tutafatana nae akitoka twende tu.

Basi yule boda hakuwa na neno zaidi ya kufuta futa pikipiki yake na kuwa standby. Dakika kama 10 tena mbele ndio akatoka yule Manzi. Na pochi yake akaingia katika gari, na kuanza safari. Mie nikamtonya boda nikamwambia yule dada alitupungia mkono hapa kutusalimia em twende tuifate gari. Basi muda huo ni saa 1 na nusu usiku ilikuwa, changamoto ni nyingi sana ikiwemo mafoleni alafu mtu una bodaboda. Ikabidi aniulize kwanini nisingepanda ile gari mule wakati yupo tu mwenyewe kwanini niingie gharama za kumfata na wakati mzigo wenyewe sijaubeba.. na huko kuna bodaboda kibao. Mie nilichomjibu ni kwamba sichukui tu bodaboda mpaka nione huyu anajielewa, nikampanga pale na maneno ya kumsifia kwamba ana akili.. akajiona kweli ana akili sana.

Basi, mbelembele road ilifunguka gari zikawa zinatembea, kufika njia panda ya segerea gari ikaingia kulia kuelekea kinyerezi. Na mimi ndipo nilipogundua huyu anakaa kinyerezi maana nilifanya ulinganifu na maelezo ya boda, basi nikawa namuuliza tu boda zimebaki kilometer ngap kufika? Boda nae ananiambia hapo atakunja kushoto, atakunja kulia kuna mteremko kushoto kuna hichi.. yaana akawa anapita mule mule.. basi nikamwambia tukikaribia kufika kwake tusimame sehem yenye maduka mengi, kuna kitu ninunue kabisa.

Basi kweli ilikuwa imebaki kama kilometer 1 hivi au meter 800 boda akasimama nikashuka kuzuga zuga pale. Nia yangu nisiifate bumper to bumper ile gari, pia boda hachelewi kuovertake kwa mbele akanifikisha kabla ya wao hawajafika ikawa noma pale.

Basi baada ya kuzuga kama dk 6 hivi nikamwambia boda tuendelee na safari na ananidai kias gani? Boda akashangaa maana anategemea ningepakia mzigo alafu nirudi nae. Mie nikamjibu kwamba yule Dada kanitumia ujumbe wakati nipo dukani pale kwamba chakula tayari so nile kwanza ndio niondoke, nikaongezea kwamba namjua yule, tutapiga mastory sana pale nitakuchelewesha. Akanitajia kiasi anachodai na kunifikisha kabisa getini.

Nikashuka nikamlipa, nikachukua na namba za bodaboda yule. Yeye akageuza na kusepa.

Sasa, ule mtaa wote upo kimyaa na ni nyumba kali tupu. Yaani ni ghorofa tu zimepangana. Akaja mlinzi nje pale maana alisikia kuna mlio wa pikipiki, then ikazimwa watu wakaongeoa ongea.. pikipik ikawashwa na kuondoka. Alikuja kuhakikisha kama kuna mgeni au nini?

Kutoka nje kanikuta na mimi nishasogea pembeni kidogo, akanisalimia na mimi nikaitikia nikamsogelea, nikamuuliza jina tofauti kabisa kama anakaa mule? Akasema hapana huyo hakai hapo, nikamzugisha kwamba nimeelekezwa kwamba jirani wa huyo mtu ninaemuulizia jina lake ni fulani (Nikataja jina la yule dada) yule mlinzi akasema ni kweli hapa ndio kwa huyo jirani. Ila huyo mwenyeji wako unayemuulizia si hapo nijaribu mbele huko au kwa jina lingine. Basi nikamshukuru yeye akarudi ndani, mie nikaset Coordinates katika Google map ili nisipoteze location, ikasave then nikashare ktk system moja inaitwa Track me ISW version. Nitakuja kuielezea hapo baadae.

Then baada ya kufanya hivyo nikatoka pale na kurudi mainroad, nilivyofika sikuwa mgeni maana nina idea na maeneo ya huko. Na sio mbali na nilipokuwa nakaa maana mie nilikuwa nakaa Tabata katikati huko.
Hii siku nilirudi mapema kidogo, nikakaa chini na kuweka records zangu vizuri. Baada ya kumaliza zoez la kwanza. La kujua huyu Dada anakaa wapi. Zoez la pili ni kujua Mumewe ni nani? So kesho yake nikaendelea na mission inayofata..

Itaendelea.. nikitulia...😮‍💨
 
Inaendelea..
Rayns mawardat MIRA01 Statics

Zilipita wiki mbili za Mwanzo kwa ugumu sana ingawa nilizoea kiasi hizo shida.

Kuna siku nipo Chuo nawapigisha msasa madogo wa diploma wale navyokumbuka, kuna mmoja alikuwa very interested na maswala ya Network infrastructure etc.. so akawa ananiuliza maswali mengi nikawa namjibu.

Baada ya kipindi kuisha akanifata pembeni, akaniuliza kama naweza kuwa na muda niwe nampigisha msasa hata home hivi au sehemu yotote ile katika muda wangu wa ziada.

Nikamwambia hiyo ngumu, then nikamuuliza interest yake ni nini hasa ktk hizo ishu? Hakusita kuniambia kwamba anahamu sana ya kufanya kazi ktk hizi kampuni za kimitandao like Tigo, Airtel etc. Nikampongeza then kanidokezea huko ana watu mbalimbali anafahamiana nao so yeye akipata Gamba tu kuingia ni rahisi ila anahitaji awe well competent na ndoto zake ni kusoma Telecommunications Engineering na vitu kama hivyo. Mie nikaona ananipigia kelele muda huo nishachoka, nikamwambia anipe mawasiliano yake siku nikiwa free ntamtafuta.

Wakati nipo njiani, akili ikanijia... kwanini nisitafute nini chanzo cha haya yote? Nini kipo nyuma ya pazia? Kama mimi nawindwa why na mimi nisiwinde ukweli niujue?.

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa navyokumbuka, niliwahi kutoka nikaenda ktk ofisi yangu ile ya Zamani kuna documents za kusaini na kurudisha vitambulisho vya kazi baada ya kukamilisha michakato yote ya kuacha kazi. Baada ya hapo Akili ikanituma niende anapofanyia kazi yule Dada (Ofisini kwake).

Sitaweka wazi ni wapi exactly ila nilifika mpaka pale, kulikuwa na madereva boda kwa nje na kivuli flani hivi, nikawa kama mtu aliyesimama muda mrefu kidgo kuna jamaa akanifata kuniuliza kama kuna mtu namsubiri au vipi? Kwa mavazi yake nilitambua ni Boda yule.

Basi, nikampanga kwamba kuna Mzigo nimekuja kuuchukua ila kuna Mzigo upo hapa na mwingine kauacha nyumbani, so inabidi niende nyumbani kwake hivyo namsubiri hapa akitoka niongozane nae. Yule boda akasema poa hamna shida akapanda juu ya piki pik yake akawa ametulia anakula story tu..

Mie nikavutiwa na story zao nikawa napiga domo pale, basi ghafla tukawa kama watu waliozoeana sana yani kama mmoja wao tu. Ghafla nikaiona ile gari ya yule Manzi imefika pale ikaingia sehem ya kupaki (Kumbuka sahivi anafatwa na kupelekwa kazini na Mumewe).

Kwa kuwa gari iliingia na kupaki katika direction ambayo ilinipa mgongo sikuweza kuona nani yumo ndani. So fasta nikamvuta Boda yule niliekuwa naongea nae.

Nikaanza kumpanga stori nyingi za uongo uongo then nikamuuliza kama boda ina wese? Akasema yapo ila sio mengi. Nikamwambia nenda kaweke kama ya elf 10 maana nimetumiwa ujumbe hapa kuna sehemu natakiw niende chap so wakati nasubiri mzigo hapa.. we nenda kajaze mafuta ili ukija niwe nishachukua mzigo alafu tukianza safari ni moja kwa moja. (Nilifanya hivyo maana najua bodaboda hawawekagi mafuta ya kutosha, na sitaki mishen yangu ifeli kwa uzembe wa kijinga jinga) so far misheni yangu ni kujua makazi rasmi ya yule Manzi na Mumewe ni wapi. So tunawindana.

Basi, mwamba akarudi fasta nikamuuliza umeweka kweli wese kidebe akatoa risiti nikaichek nikaona ya saa 3 asubuhi alafu muda huo ni saa 12 jioni nikampanga akacheka sana.. nikaachana na hizo ishu nikamwambia Mzigo bado sijaletewa ingawa ni boksi kubwa je anakamba au mipira ya ziada? Akasema hana, basi akaomba pale kwa wenzie akapata. (Hiyo yote ni kumset tu awe na imani kuhusu neno mzigo).

Basi, tukakaa kama dk 10 nikamuita tena pembeni nikamwambia umeiona ile gari ? Unaijua? Akasema yaah ya Dada xxx. Nikamwambia sasa huyo ndio ana mzigo mwingine tutaongozana hadi kwake, nikamtega kumuuliza kwake ni wapi? Akaniambia kuna siku alimpeleka Msasani, na kuna siku alimpeleka Kinyerezi. Sasa hajui wapi ni kwake katika hizo sehemu mbili. Basi nikamwambia ah kama unapajua basi tutafatana nae akitoka twende tu.

Basi yule boda hakuwa na neno zaidi ya kufuta futa pikipiki yake na kuwa standby. Dakika kama 10 tena mbele ndio akatoka yule Manzi. Na pochi yake akaingia katika gari, na kuanza safari. Mie nikamtonya boda nikamwambia yule dada alitupungia mkono hapa kutusalimia em twende tuifate gari. Basi muda huo ni saa 1 na nusu usiku ilikuwa, changamoto ni nyingi sana ikiwemo mafoleni alafu mtu una bodaboda. Ikabidi aniulize kwanini nisingepanda ile gari mule wakati yupo tu mwenyewe kwanini niingie gharama za kumfata na wakati mzigo wenyewe sijaubeba.. na huko kuna bodaboda kibao. Mie nilichomjibu ni kwamba sichukui tu bodaboda mpaka nione huyu anajielewa, nikampanga pale na maneno ya kumsifia kwamba ana akili.. akajiona kweli ana akili sana.

Basi, mbelembele road ilifunguka gari zikawa zinatembea, kufika njia panda ya segerea gari ikaingia kulia kuelekea kinyerezi. Na mimi ndipo nilipogundua huyu anakaa kinyerezi maana nilifanya ulinganifu na maelezo ya boda, basi nikawa namuuliza tu boda zimebaki kilometer ngap kufika? Boda nae ananiambia hapo atakunja kushoto, atakunja kulia kuna mteremko kushoto kuna hichi.. yaana akawa anapita mule mule.. basi nikamwambia tukikaribia kufika kwake tusimame sehem yenye maduka mengi, kuna kitu ninunue kabisa.

Basi kweli ilikuwa imebaki kama kilometer 1 hivi au meter 800 boda akasimama nikashuka kuzuga zuga pale. Nia yangu nisiifate bumper to bumper ile gari, pia boda hachelewi kuovertake kwa mbele akanifikisha kabla ya wao hawajafika ikawa noma pale.

Basi baada ya kuzuga kama dk 6 hivi nikamwambia boda tuendelee na safari na ananidai kias gani? Boda akashangaa maana anategemea ningepakia mzigo alafu nirudi nae. Mie nikamjibu kwamba yule Dada kanitumia ujumbe wakati nipo dukani pale kwamba chakula tayari so nile kwanza ndio niondoke, nikaongezea kwamba namjua yule, tutapiga mastory sana pale nitakuchelewesha. Akanitajia kiasi anachodai na kunifikisha kabisa getini.

Nikashuka nikamlipa, nikachukua na namba za bodaboda yule. Yeye akageuza na kusepa.

Sasa, ule mtaa wote upo kimyaa na ni nyumba kali tupu. Yaani ni ghorofa tu zimepangana. Akaja mlinzi nje pale maana alisikia kuna mlio wa pikipiki, then ikazimwa watu wakaongeoa ongea.. pikipik ikawashwa na kuondoka. Alikuja kuhakikisha kama kuna mgeni au nini?

Kutoka nje kanikuta na mimi nishasogea pembeni kidogo, akanisalimia na mimi nikaitikia nikamsogelea, nikamuuliza jina tofauti kabisa kama anakaa mule? Akasema hapana huyo hakai hapo, nikamzugisha kwamba nimeelekezwa kwamba jirani wa huyo mtu ninaemuulizia jina lake ni fulani (Nikataja jina la yule dada) yule mlinzi akasema ni kweli hapa ndio kwa huyo jirani. Ila huyo mwenyeji wako unayemuulizia si hapo nijaribu mbele huko au kwa jina lingine. Basi nikamshukuru yeye akarudi ndani, mie nikaset Coordinates katika Google map ili nisipoteze location, ikasave then nikashare ktk system moja inaitwa Track me ISW version. Nitakuja kuielezea hapo baadae.

Then baada ya kufanya hivyo nikatoka pale na kurudi mainload, nilivyofika sikuwa mgeni maana nina idea na maeneo ya huko. Na sio mbali na nilipokuwa nakaa maana mie nilikuwa nakaa Tabata katikati huko.
Hii siku nilirudi mapema kidogo, nikakaa chini na kuweka records zangu vizuri. Baada ya kumaliza zoez la kwanza. La kujua huyu Dada anakaa wapi. Zoez la pili ni kujua Mumewe ni nani? So kesho yake nikaendelea na mission inayofata..

Itaendelea.. nikitulia...😮‍💨
Bora🥰
 
Inaendelea..
Rayns mawardat MIRA01 Statics

Zilipita wiki mbili za Mwanzo kwa ugumu sana ingawa nilizoea kiasi hizo shida.

Kuna siku nipo Chuo nawapigisha msasa madogo wa diploma wale navyokumbuka, kuna mmoja alikuwa very interested na maswala ya Network infrastructure etc.. so akawa ananiuliza maswali mengi nikawa namjibu.

Baada ya kipindi kuisha akanifata pembeni, akaniuliza kama naweza kuwa na muda niwe nampigisha msasa hata home hivi au sehemu yotote ile katika muda wangu wa ziada.

Nikamwambia hiyo ngumu, then nikamuuliza interest yake ni nini hasa ktk hizo ishu? Hakusita kuniambia kwamba anahamu sana ya kufanya kazi ktk hizi kampuni za kimitandao like Tigo, Airtel etc. Nikampongeza then kanidokezea huko ana watu mbalimbali anafahamiana nao so yeye akipata Gamba tu kuingia ni rahisi ila anahitaji awe well competent na ndoto zake ni kusoma Telecommunications Engineering na vitu kama hivyo. Mie nikaona ananipigia kelele muda huo nishachoka, nikamwambia anipe mawasiliano yake siku nikiwa free ntamtafuta.

Wakati nipo njiani, akili ikanijia... kwanini nisitafute nini chanzo cha haya yote? Nini kipo nyuma ya pazia? Kama mimi nawindwa why na mimi nisiwinde ukweli niujue?.

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa navyokumbuka, niliwahi kutoka nikaenda ktk ofisi yangu ile ya Zamani kuna documents za kusaini na kurudisha vitambulisho vya kazi baada ya kukamilisha michakato yote ya kuacha kazi. Baada ya hapo Akili ikanituma niende anapofanyia kazi yule Dada (Ofisini kwake).

Sitaweka wazi ni wapi exactly ila nilifika mpaka pale, kulikuwa na madereva boda kwa nje na kivuli flani hivi, nikawa kama mtu aliyesimama muda mrefu kidgo kuna jamaa akanifata kuniuliza kama kuna mtu namsubiri au vipi? Kwa mavazi yake nilitambua ni Boda yule.

Basi, nikampanga kwamba kuna Mzigo nimekuja kuuchukua ila kuna Mzigo upo hapa na mwingine kauacha nyumbani, so inabidi niende nyumbani kwake hivyo namsubiri hapa akitoka niongozane nae. Yule boda akasema poa hamna shida akapanda juu ya piki pik yake akawa ametulia anakula story tu..

Mie nikavutiwa na story zao nikawa napiga domo pale, basi ghafla tukawa kama watu waliozoeana sana yani kama mmoja wao tu. Ghafla nikaiona ile gari ya yule Manzi imefika pale ikaingia sehem ya kupaki (Kumbuka sahivi anafatwa na kupelekwa kazini na Mumewe).

Kwa kuwa gari iliingia na kupaki katika direction ambayo ilinipa mgongo sikuweza kuona nani yumo ndani. So fasta nikamvuta Boda yule niliekuwa naongea nae.

Nikaanza kumpanga stori nyingi za uongo uongo then nikamuuliza kama boda ina wese? Akasema yapo ila sio mengi. Nikamwambia nenda kaweke kama ya elf 10 maana nimetumiwa ujumbe hapa kuna sehemu natakiw niende chap so wakati nasubiri mzigo hapa.. we nenda kajaze mafuta ili ukija niwe nishachukua mzigo alafu tukianza safari ni moja kwa moja. (Nilifanya hivyo maana najua bodaboda hawawekagi mafuta ya kutosha, na sitaki mishen yangu ifeli kwa uzembe wa kijinga jinga) so far misheni yangu ni kujua makazi rasmi ya yule Manzi na Mumewe ni wapi. So tunawindana.

Basi, mwamba akarudi fasta nikamuuliza umeweka kweli wese kidebe akatoa risiti nikaichek nikaona ya saa 3 asubuhi alafu muda huo ni saa 12 jioni nikampanga akacheka sana.. nikaachana na hizo ishu nikamwambia Mzigo bado sijaletewa ingawa ni boksi kubwa je anakamba au mipira ya ziada? Akasema hana, basi akaomba pale kwa wenzie akapata. (Hiyo yote ni kumset tu awe na imani kuhusu neno mzigo).

Basi, tukakaa kama dk 10 nikamuita tena pembeni nikamwambia umeiona ile gari ? Unaijua? Akasema yaah ya Dada xxx. Nikamwambia sasa huyo ndio ana mzigo mwingine tutaongozana hadi kwake, nikamtega kumuuliza kwake ni wapi? Akaniambia kuna siku alimpeleka Msasani, na kuna siku alimpeleka Kinyerezi. Sasa hajui wapi ni kwake katika hizo sehemu mbili. Basi nikamwambia ah kama unapajua basi tutafatana nae akitoka twende tu.

Basi yule boda hakuwa na neno zaidi ya kufuta futa pikipiki yake na kuwa standby. Dakika kama 10 tena mbele ndio akatoka yule Manzi. Na pochi yake akaingia katika gari, na kuanza safari. Mie nikamtonya boda nikamwambia yule dada alitupungia mkono hapa kutusalimia em twende tuifate gari. Basi muda huo ni saa 1 na nusu usiku ilikuwa, changamoto ni nyingi sana ikiwemo mafoleni alafu mtu una bodaboda. Ikabidi aniulize kwanini nisingepanda ile gari mule wakati yupo tu mwenyewe kwanini niingie gharama za kumfata na wakati mzigo wenyewe sijaubeba.. na huko kuna bodaboda kibao. Mie nilichomjibu ni kwamba sichukui tu bodaboda mpaka nione huyu anajielewa, nikampanga pale na maneno ya kumsifia kwamba ana akili.. akajiona kweli ana akili sana.

Basi, mbelembele road ilifunguka gari zikawa zinatembea, kufika njia panda ya segerea gari ikaingia kulia kuelekea kinyerezi. Na mimi ndipo nilipogundua huyu anakaa kinyerezi maana nilifanya ulinganifu na maelezo ya boda, basi nikawa namuuliza tu boda zimebaki kilometer ngap kufika? Boda nae ananiambia hapo atakunja kushoto, atakunja kulia kuna mteremko kushoto kuna hichi.. yaana akawa anapita mule mule.. basi nikamwambia tukikaribia kufika kwake tusimame sehem yenye maduka mengi, kuna kitu ninunue kabisa.

Basi kweli ilikuwa imebaki kama kilometer 1 hivi au meter 800 boda akasimama nikashuka kuzuga zuga pale. Nia yangu nisiifate bumper to bumper ile gari, pia boda hachelewi kuovertake kwa mbele akanifikisha kabla ya wao hawajafika ikawa noma pale.

Basi baada ya kuzuga kama dk 6 hivi nikamwambia boda tuendelee na safari na ananidai kias gani? Boda akashangaa maana anategemea ningepakia mzigo alafu nirudi nae. Mie nikamjibu kwamba yule Dada kanitumia ujumbe wakati nipo dukani pale kwamba chakula tayari so nile kwanza ndio niondoke, nikaongezea kwamba namjua yule, tutapiga mastory sana pale nitakuchelewesha. Akanitajia kiasi anachodai na kunifikisha kabisa getini.

Nikashuka nikamlipa, nikachukua na namba za bodaboda yule. Yeye akageuza na kusepa.

Sasa, ule mtaa wote upo kimyaa na ni nyumba kali tupu. Yaani ni ghorofa tu zimepangana. Akaja mlinzi nje pale maana alisikia kuna mlio wa pikipiki, then ikazimwa watu wakaongeoa ongea.. pikipik ikawashwa na kuondoka. Alikuja kuhakikisha kama kuna mgeni au nini?

Kutoka nje kanikuta na mimi nishasogea pembeni kidogo, akanisalimia na mimi nikaitikia nikamsogelea, nikamuuliza jina tofauti kabisa kama anakaa mule? Akasema hapana huyo hakai hapo, nikamzugisha kwamba nimeelekezwa kwamba jirani wa huyo mtu ninaemuulizia jina lake ni fulani (Nikataja jina la yule dada) yule mlinzi akasema ni kweli hapa ndio kwa huyo jirani. Ila huyo mwenyeji wako unayemuulizia si hapo nijaribu mbele huko au kwa jina lingine. Basi nikamshukuru yeye akarudi ndani, mie nikaset Coordinates katika Google map ili nisipoteze location, ikasave then nikashare ktk system moja inaitwa Track me ISW version. Nitakuja kuielezea hapo baadae.

Then baada ya kufanya hivyo nikatoka pale na kurudi mainload, nilivyofika sikuwa mgeni maana nina idea na maeneo ya huko. Na sio mbali na nilipokuwa nakaa maana mie nilikuwa nakaa Tabata katikati huko.
Hii siku nilirudi mapema kidogo, nikakaa chini na kuweka records zangu vizuri. Baada ya kumaliza zoez la kwanza. La kujua huyu Dada anakaa wapi. Zoez la pili ni kujua Mumewe ni nani? So kesho yake nikaendelea na mission inayofata..

Itaendelea.. nikitulia...😮‍💨
SEM ya Leo fupi eenh🥺🥺
 
Back
Top Bottom