Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Inaendelea..
Rayns mawardat MIRA01 Statics

Zilipita wiki mbili za Mwanzo kwa ugumu sana ingawa nilizoea kiasi hizo shida.

Kuna siku nipo Chuo nawapigisha msasa madogo wa diploma wale navyokumbuka, kuna mmoja alikuwa very interested na maswala ya Network infrastructure etc.. so akawa ananiuliza maswali mengi nikawa namjibu.

Baada ya kipindi kuisha akanifata pembeni, akaniuliza kama naweza kuwa na muda niwe nampigisha msasa hata home hivi au sehemu yotote ile katika muda wangu wa ziada.

Nikamwambia hiyo ngumu, then nikamuuliza interest yake ni nini hasa ktk hizo ishu? Hakusita kuniambia kwamba anahamu sana ya kufanya kazi ktk hizi kampuni za kimitandao like Tigo, Airtel etc. Nikampongeza then kanidokezea huko ana watu mbalimbali anafahamiana nao so yeye akipata Gamba tu kuingia ni rahisi ila anahitaji awe well competent na ndoto zake ni kusoma Telecommunications Engineering na vitu kama hivyo. Mie nikaona ananipigia kelele muda huo nishachoka, nikamwambia anipe mawasiliano yake siku nikiwa free ntamtafuta.

Wakati nipo njiani, akili ikanijia... kwanini nisitafute nini chanzo cha haya yote? Nini kipo nyuma ya pazia? Kama mimi nawindwa why na mimi nisiwinde ukweli niujue?.

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa navyokumbuka, niliwahi kutoka nikaenda ktk ofisi yangu ile ya Zamani kuna documents za kusaini na kurudisha vitambulisho vya kazi baada ya kukamilisha michakato yote ya kuacha kazi. Baada ya hapo Akili ikanituma niende anapofanyia kazi yule Dada (Ofisini kwake).

Sitaweka wazi ni wapi exactly ila nilifika mpaka pale, kulikuwa na madereva boda kwa nje na kivuli flani hivi, nikawa kama mtu aliyesimama muda mrefu kidgo kuna jamaa akanifata kuniuliza kama kuna mtu namsubiri au vipi? Kwa mavazi yake nilitambua ni Boda yule.

Basi, nikampanga kwamba kuna Mzigo nimekuja kuuchukua ila kuna Mzigo upo hapa na mwingine kauacha nyumbani, so inabidi niende nyumbani kwake hivyo namsubiri hapa akitoka niongozane nae. Yule boda akasema poa hamna shida akapanda juu ya piki pik yake akawa ametulia anakula story tu..

Mie nikavutiwa na story zao nikawa napiga domo pale, basi ghafla tukawa kama watu waliozoeana sana yani kama mmoja wao tu. Ghafla nikaiona ile gari ya yule Manzi imefika pale ikaingia sehem ya kupaki (Kumbuka sahivi anafatwa na kupelekwa kazini na Mumewe).

Kwa kuwa gari iliingia na kupaki katika direction ambayo ilinipa mgongo sikuweza kuona nani yumo ndani. So fasta nikamvuta Boda yule niliekuwa naongea nae.

Nikaanza kumpanga stori nyingi za uongo uongo then nikamuuliza kama boda ina wese? Akasema yapo ila sio mengi. Nikamwambia nenda kaweke kama ya elf 10 maana nimetumiwa ujumbe hapa kuna sehemu natakiw niende chap so wakati nasubiri mzigo hapa.. we nenda kajaze mafuta ili ukija niwe nishachukua mzigo alafu tukianza safari ni moja kwa moja. (Nilifanya hivyo maana najua bodaboda hawawekagi mafuta ya kutosha, na sitaki mishen yangu ifeli kwa uzembe wa kijinga jinga) so far misheni yangu ni kujua makazi rasmi ya yule Manzi na Mumewe ni wapi. So tunawindana.

Basi, mwamba akarudi fasta nikamuuliza umeweka kweli wese kidebe akatoa risiti nikaichek nikaona ya saa 3 asubuhi alafu muda huo ni saa 12 jioni nikampanga akacheka sana.. nikaachana na hizo ishu nikamwambia Mzigo bado sijaletewa ingawa ni boksi kubwa je anakamba au mipira ya ziada? Akasema hana, basi akaomba pale kwa wenzie akapata. (Hiyo yote ni kumset tu awe na imani kuhusu neno mzigo).

Basi, tukakaa kama dk 10 nikamuita tena pembeni nikamwambia umeiona ile gari ? Unaijua? Akasema yaah ya Dada xxx. Nikamwambia sasa huyo ndio ana mzigo mwingine tutaongozana hadi kwake, nikamtega kumuuliza kwake ni wapi? Akaniambia kuna siku alimpeleka Msasani, na kuna siku alimpeleka Kinyerezi. Sasa hajui wapi ni kwake katika hizo sehemu mbili. Basi nikamwambia ah kama unapajua basi tutafatana nae akitoka twende tu.

Basi yule boda hakuwa na neno zaidi ya kufuta futa pikipiki yake na kuwa standby. Dakika kama 10 tena mbele ndio akatoka yule Manzi. Na pochi yake akaingia katika gari, na kuanza safari. Mie nikamtonya boda nikamwambia yule dada alitupungia mkono hapa kutusalimia em twende tuifate gari. Basi muda huo ni saa 1 na nusu usiku ilikuwa, changamoto ni nyingi sana ikiwemo mafoleni alafu mtu una bodaboda. Ikabidi aniulize kwanini nisingepanda ile gari mule wakati yupo tu mwenyewe kwanini niingie gharama za kumfata na wakati mzigo wenyewe sijaubeba.. na huko kuna bodaboda kibao. Mie nilichomjibu ni kwamba sichukui tu bodaboda mpaka nione huyu anajielewa, nikampanga pale na maneno ya kumsifia kwamba ana akili.. akajiona kweli ana akili sana.

Basi, mbelembele road ilifunguka gari zikawa zinatembea, kufika njia panda ya segerea gari ikaingia kulia kuelekea kinyerezi. Na mimi ndipo nilipogundua huyu anakaa kinyerezi maana nilifanya ulinganifu na maelezo ya boda, basi nikawa namuuliza tu boda zimebaki kilometer ngap kufika? Boda nae ananiambia hapo atakunja kushoto, atakunja kulia kuna mteremko kushoto kuna hichi.. yaana akawa anapita mule mule.. basi nikamwambia tukikaribia kufika kwake tusimame sehem yenye maduka mengi, kuna kitu ninunue kabisa.

Basi kweli ilikuwa imebaki kama kilometer 1 hivi au meter 800 boda akasimama nikashuka kuzuga zuga pale. Nia yangu nisiifate bumper to bumper ile gari, pia boda hachelewi kuovertake kwa mbele akanifikisha kabla ya wao hawajafika ikawa noma pale.

Basi baada ya kuzuga kama dk 6 hivi nikamwambia boda tuendelee na safari na ananidai kias gani? Boda akashangaa maana anategemea ningepakia mzigo alafu nirudi nae. Mie nikamjibu kwamba yule Dada kanitumia ujumbe wakati nipo dukani pale kwamba chakula tayari so nile kwanza ndio niondoke, nikaongezea kwamba namjua yule, tutapiga mastory sana pale nitakuchelewesha. Akanitajia kiasi anachodai na kunifikisha kabisa getini.

Nikashuka nikamlipa, nikachukua na namba za bodaboda yule. Yeye akageuza na kusepa.

Sasa, ule mtaa wote upo kimyaa na ni nyumba kali tupu. Yaani ni ghorofa tu zimepangana. Akaja mlinzi nje pale maana alisikia kuna mlio wa pikipiki, then ikazimwa watu wakaongeoa ongea.. pikipik ikawashwa na kuondoka. Alikuja kuhakikisha kama kuna mgeni au nini?

Kutoka nje kanikuta na mimi nishasogea pembeni kidogo, akanisalimia na mimi nikaitikia nikamsogelea, nikamuuliza jina tofauti kabisa kama anakaa mule? Akasema hapana huyo hakai hapo, nikamzugisha kwamba nimeelekezwa kwamba jirani wa huyo mtu ninaemuulizia jina lake ni fulani (Nikataja jina la yule dada) yule mlinzi akasema ni kweli hapa ndio kwa huyo jirani. Ila huyo mwenyeji wako unayemuulizia si hapo nijaribu mbele huko au kwa jina lingine. Basi nikamshukuru yeye akarudi ndani, mie nikaset Coordinates katika Google map ili nisipoteze location, ikasave then nikashare ktk system moja inaitwa Track me ISW version. Nitakuja kuielezea hapo baadae.

Then baada ya kufanya hivyo nikatoka pale na kurudi mainload, nilivyofika sikuwa mgeni maana nina idea na maeneo ya huko. Na sio mbali na nilipokuwa nakaa maana mie nilikuwa nakaa Tabata katikati huko.
Hii siku nilirudi mapema kidogo, nikakaa chini na kuweka records zangu vizuri. Baada ya kumaliza zoez la kwanza. La kujua huyu Dada anakaa wapi. Zoez la pili ni kujua Mumewe ni nani? So kesho yake nikaendelea na mission inayofata..

Itaendelea.. nikitulia...[emoji50]‍[emoji100]
Unyama sana...Sema Mwamba utakuwa ulijichanganya kwa wife wa usalama
 
Hahaha.. basi hapo atatoa ushahidi kwamba kuna wanaume wakarimu.. hawana Tamaa za kimapenzi anaweza kukusaidia bila kuomba papuchi..

Kumbee hajafiti kwenye mfumo na mwamba umeona yanini mie..

🤣
Mimi kwa ujumla sina ugwadu. Ningekuwa nina ukame ningejilipua tuu
 
...kipande cha leo nimekipenda kuliko vipande vyote... Nimependa jinsi ulivoplay kama spy... Nasubiria uni-tag ukiweka muendelezooo... Alaf na hyo "track me ISW" Kama sijakosea kuandika fanya utufunulie mkuu Gentlemen_ ...inshort niseme tu nimeburudika na kujifunza pia, natamani kujifunza zaidi...

asante sana uncle Gentlemen_
 
...kipande cha leo nimekipenda kuliko vipande vyote... Nimependa jinsi ulivoplay kama spy... Nasubiria uni-tag ukiweka muendelezooo... Alaf na hyo "track me ISW" Kama sijakosea kuandika fanya utufunulie mkuu Gentlemen_ ...inshort niseme tu nimeburudika na kujifunza pia, natamani kujifunza zaidi...

asante sana uncle Gentlemen_
Thanks...

Nitajitahidi niiweke vizuri zaidi maana huko mbele ndio kuna vitu vingi vingi kias..
 
Hakuna uwezekano wa kuandika namba kwenye elfu kumi. Huo muda utakaotumia ni mwingi na usumbufu mkali kuliko kumshawishi akupe simu uandike namba.

Kwangu mimi huwa naomba namba kwa uwazi, akininyima nakubali sitaki mambo ya kupambania. Kwanza kwa nature ya mishe zangu nina supply kubwa ya paka
Nakubali mike.

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Part 2:
Nilikuwa Samaki Samaki pale Mlimani City.

Napiga maji, ghafla nikaona Chuma kikali sijapata kuona aisee ubaya alikuwa na Boyfriend/Mume wake.

Basi nikamlia timing wakati wa kwenda Washroom nimfate huko huko (Mazingira ya pale kwa upande wa Washroom kuna Distance kubwa).

Basi kweli bhana Manzi akajipindua kuelekea Washroom na mimi nikaunga Tela, tulivyokunja kona tu ya kuingia corridor la choooni nikamshtua, akasimama nikamwomba namba akasema yeye ameisahau kama vipi nimpe yangu, basi akanipa simu yake nimuandikie Namba yangu..

Kumbe nyuma Bwana ake anakuja na yeye tyr kashanipa simu yake ndio niandike namba nashangaa Manzi kageuka chap kakimbilia choo cha wanawake. Mie nikawa nimesimama tu sielewi nini kinaendelea ila kwa kuwa nimesoma CUBA sikugeuka ila nikapiga jicho kwenye kioo (Reflection) nikaona mjuba anakuja ila bahati nzuri na yeye alikuwa anatembea huku anachat so hakuona tukio la mbele.

Sasa simu ninayo ya yule Manzi namrudishiaje??.. [emoji1787]

Na jamaa kumbe alikuja kumsubir kule kule kwenye Corridor la Washroom ili arudi naye.

Mie nikajipindua Choo cha kiume kama Kawaida nikazuga zuga pale, Dem akatoka akanipa ishara ya nitulie huko huko.

Basi jamaa akarudi naye Mpaka walipokuwa wamekaa. Mie nikatoka baadae kurudi ktk meza yangu, nikamuita mhudumu mmoja hivi (Best yangu) nikamwambia nenda pale idondoshe hii simu miguuni (Mapajani) kwa yule Dada pale then uje kuna Zawadi yako hapa..

Mhudumu hakusita, alifanya hivyo na yule Dada aliiokota simu yake then.. tukaendelea kuwasiliana pale pale...

Huyu aliniletea shida sana.. mpaka nikawa naishi kama Mwizi.
Kwa hiyo alijuaje namba yako uliyoisave kwenye simu yake
 
Inaendelea..
Rayns mawardat MIRA01 Statics

Zilipita wiki mbili za Mwanzo kwa ugumu sana ingawa nilizoea kiasi hizo shida.

Kuna siku nipo Chuo nawapigisha msasa madogo wa diploma wale navyokumbuka, kuna mmoja alikuwa very interested na maswala ya Network infrastructure etc.. so akawa ananiuliza maswali mengi nikawa namjibu.

Baada ya kipindi kuisha akanifata pembeni, akaniuliza kama naweza kuwa na muda niwe nampigisha msasa hata home hivi au sehemu yotote ile katika muda wangu wa ziada.

Nikamwambia hiyo ngumu, then nikamuuliza interest yake ni nini hasa ktk hizo ishu? Hakusita kuniambia kwamba anahamu sana ya kufanya kazi ktk hizi kampuni za kimitandao like Tigo, Airtel etc. Nikampongeza then kanidokezea huko ana watu mbalimbali anafahamiana nao so yeye akipata Gamba tu kuingia ni rahisi ila anahitaji awe well competent na ndoto zake ni kusoma Telecommunications Engineering na vitu kama hivyo. Mie nikaona ananipigia kelele muda huo nishachoka, nikamwambia anipe mawasiliano yake siku nikiwa free ntamtafuta.

Wakati nipo njiani, akili ikanijia... kwanini nisitafute nini chanzo cha haya yote? Nini kipo nyuma ya pazia? Kama mimi nawindwa why na mimi nisiwinde ukweli niujue?.

Siku hiyo ilikuwa Ijumaa navyokumbuka, niliwahi kutoka nikaenda ktk ofisi yangu ile ya Zamani kuna documents za kusaini na kurudisha vitambulisho vya kazi baada ya kukamilisha michakato yote ya kuacha kazi. Baada ya hapo Akili ikanituma niende anapofanyia kazi yule Dada (Ofisini kwake).

Sitaweka wazi ni wapi exactly ila nilifika mpaka pale, kulikuwa na madereva boda kwa nje na kivuli flani hivi, nikawa kama mtu aliyesimama muda mrefu kidgo kuna jamaa akanifata kuniuliza kama kuna mtu namsubiri au vipi? Kwa mavazi yake nilitambua ni Boda yule.

Basi, nikampanga kwamba kuna Mzigo nimekuja kuuchukua ila kuna Mzigo upo hapa na mwingine kauacha nyumbani, so inabidi niende nyumbani kwake hivyo namsubiri hapa akitoka niongozane nae. Yule boda akasema poa hamna shida akapanda juu ya piki pik yake akawa ametulia anakula story tu..

Mie nikavutiwa na story zao nikawa napiga domo pale, basi ghafla tukawa kama watu waliozoeana sana yani kama mmoja wao tu. Ghafla nikaiona ile gari ya yule Manzi imefika pale ikaingia sehem ya kupaki (Kumbuka sahivi anafatwa na kupelekwa kazini na Mumewe).

Kwa kuwa gari iliingia na kupaki katika direction ambayo ilinipa mgongo sikuweza kuona nani yumo ndani. So fasta nikamvuta Boda yule niliekuwa naongea nae.

Nikaanza kumpanga stori nyingi za uongo uongo then nikamuuliza kama boda ina wese? Akasema yapo ila sio mengi. Nikamwambia nenda kaweke kama ya elf 10 maana nimetumiwa ujumbe hapa kuna sehemu natakiw niende chap so wakati nasubiri mzigo hapa.. we nenda kajaze mafuta ili ukija niwe nishachukua mzigo alafu tukianza safari ni moja kwa moja. (Nilifanya hivyo maana najua bodaboda hawawekagi mafuta ya kutosha, na sitaki mishen yangu ifeli kwa uzembe wa kijinga jinga) so far misheni yangu ni kujua makazi rasmi ya yule Manzi na Mumewe ni wapi. So tunawindana.

Basi, mwamba akarudi fasta nikamuuliza umeweka kweli wese kidebe akatoa risiti nikaichek nikaona ya saa 3 asubuhi alafu muda huo ni saa 12 jioni nikampanga akacheka sana.. nikaachana na hizo ishu nikamwambia Mzigo bado sijaletewa ingawa ni boksi kubwa je anakamba au mipira ya ziada? Akasema hana, basi akaomba pale kwa wenzie akapata. (Hiyo yote ni kumset tu awe na imani kuhusu neno mzigo).

Basi, tukakaa kama dk 10 nikamuita tena pembeni nikamwambia umeiona ile gari ? Unaijua? Akasema yaah ya Dada xxx. Nikamwambia sasa huyo ndio ana mzigo mwingine tutaongozana hadi kwake, nikamtega kumuuliza kwake ni wapi? Akaniambia kuna siku alimpeleka Msasani, na kuna siku alimpeleka Kinyerezi. Sasa hajui wapi ni kwake katika hizo sehemu mbili. Basi nikamwambia ah kama unapajua basi tutafatana nae akitoka twende tu.

Basi yule boda hakuwa na neno zaidi ya kufuta futa pikipiki yake na kuwa standby. Dakika kama 10 tena mbele ndio akatoka yule Manzi. Na pochi yake akaingia katika gari, na kuanza safari. Mie nikamtonya boda nikamwambia yule dada alitupungia mkono hapa kutusalimia em twende tuifate gari. Basi muda huo ni saa 1 na nusu usiku ilikuwa, changamoto ni nyingi sana ikiwemo mafoleni alafu mtu una bodaboda. Ikabidi aniulize kwanini nisingepanda ile gari mule wakati yupo tu mwenyewe kwanini niingie gharama za kumfata na wakati mzigo wenyewe sijaubeba.. na huko kuna bodaboda kibao. Mie nilichomjibu ni kwamba sichukui tu bodaboda mpaka nione huyu anajielewa, nikampanga pale na maneno ya kumsifia kwamba ana akili.. akajiona kweli ana akili sana.

Basi, mbelembele road ilifunguka gari zikawa zinatembea, kufika njia panda ya segerea gari ikaingia kulia kuelekea kinyerezi. Na mimi ndipo nilipogundua huyu anakaa kinyerezi maana nilifanya ulinganifu na maelezo ya boda, basi nikawa namuuliza tu boda zimebaki kilometer ngap kufika? Boda nae ananiambia hapo atakunja kushoto, atakunja kulia kuna mteremko kushoto kuna hichi.. yaana akawa anapita mule mule.. basi nikamwambia tukikaribia kufika kwake tusimame sehem yenye maduka mengi, kuna kitu ninunue kabisa.

Basi kweli ilikuwa imebaki kama kilometer 1 hivi au meter 800 boda akasimama nikashuka kuzuga zuga pale. Nia yangu nisiifate bumper to bumper ile gari, pia boda hachelewi kuovertake kwa mbele akanifikisha kabla ya wao hawajafika ikawa noma pale.

Basi baada ya kuzuga kama dk 6 hivi nikamwambia boda tuendelee na safari na ananidai kias gani? Boda akashangaa maana anategemea ningepakia mzigo alafu nirudi nae. Mie nikamjibu kwamba yule Dada kanitumia ujumbe wakati nipo dukani pale kwamba chakula tayari so nile kwanza ndio niondoke, nikaongezea kwamba namjua yule, tutapiga mastory sana pale nitakuchelewesha. Akanitajia kiasi anachodai na kunifikisha kabisa getini.

Nikashuka nikamlipa, nikachukua na namba za bodaboda yule. Yeye akageuza na kusepa.

Sasa, ule mtaa wote upo kimyaa na ni nyumba kali tupu. Yaani ni ghorofa tu zimepangana. Akaja mlinzi nje pale maana alisikia kuna mlio wa pikipiki, then ikazimwa watu wakaongeoa ongea.. pikipik ikawashwa na kuondoka. Alikuja kuhakikisha kama kuna mgeni au nini?

Kutoka nje kanikuta na mimi nishasogea pembeni kidogo, akanisalimia na mimi nikaitikia nikamsogelea, nikamuuliza jina tofauti kabisa kama anakaa mule? Akasema hapana huyo hakai hapo, nikamzugisha kwamba nimeelekezwa kwamba jirani wa huyo mtu ninaemuulizia jina lake ni fulani (Nikataja jina la yule dada) yule mlinzi akasema ni kweli hapa ndio kwa huyo jirani. Ila huyo mwenyeji wako unayemuulizia si hapo nijaribu mbele huko au kwa jina lingine. Basi nikamshukuru yeye akarudi ndani, mie nikaset Coordinates katika Google map ili nisipoteze location, ikasave then nikashare ktk system moja inaitwa Track me ISW version. Nitakuja kuielezea hapo baadae.

Then baada ya kufanya hivyo nikatoka pale na kurudi mainroad, nilivyofika sikuwa mgeni maana nina idea na maeneo ya huko. Na sio mbali na nilipokuwa nakaa maana mie nilikuwa nakaa Tabata katikati huko.
Hii siku nilirudi mapema kidogo, nikakaa chini na kuweka records zangu vizuri. Baada ya kumaliza zoez la kwanza. La kujua huyu Dada anakaa wapi. Zoez la pili ni kujua Mumewe ni nani? So kesho yake nikaendelea na mission inayofata..

Itaendelea.. nikitulia...😮‍💨
Inaendelea....

Rayns mawardat MIRA01 Statics Tiffay

Kuna mdau ameuliza kuhusu Track Me ISW version ni nini?
Well, hii ni moja ya systems ambazo ni forbidden kwa matumizi ya Raia na pia si kila mwenye hii system anaweza itumia (Ina Secret codes/commands) zake ambazo watu wachache wanazijua so far ipo inapatikana katk black market but nyingi ni copy. hii inafanya kazi ya kudukua location ya mhusika ambaye amesetiwa/pandikiziwa huu mfumo. huu mfumo umegawanyika katika functionality nyingi ila kwa mimi niliutumia katika matumizi ya location validation.

Location Validation ni nini?: ni kwamba wakati nasimulia kuna sehemu nilielezea jinsi nimeset coordianates ktk Google map yangu, then natumia device mac adress ya host wangu kuattach payload ya google map, hili zoezi likibind vizuri. naiwekea command ya kunipa sign au blink spot katika dashboard yangu kwamba mhusika yupo katika eneo nililolisetia coordinates. mfano: una mke wako unataka kujua yupo nyumbani au hayupo? ukiingia ktk dashboard unaona kwamba yupo au hayupo. na kama hayupo kuna settings zingine unatakiwa uset kutambua yupo wapi exactly. hiyo inaitwa real time tracking mechanism.. hata akizima Location/GPS bado atapatikana.

Kwanini nilitumia hii?: nilitaka kujua ni muda gani anakuwepo kwakwe, anakaa saa ngapi (time intervals) na mambo mengine ambayo sitayaweka wazi.

Tuendelee..

Kesho yake baada ya kujua hawa watu wanaishi wapi, ilibaki kutambua identity ya mume wa yule dada ni nani? anafanya kazi gani na mambo kama hayo.. najuaje?

Asubuhi na mapema kama kawaida niliamka na kwenda Chuo, baada ya kumaliza mambo ya msingi nilikaa sehemu tulivu na kuanza upekuzi, nakumbuka alinitumia picha whatsapp ile picha ilikuja na neno forwarded. na aina ya picha ilivyopigwa ni kama alikuwa na mtu, ni picha ambayo alipiga akiwa kwake chumbani akiwa na night dress ameshika glass ya wine. so akili ikanicheza kwa kuwa yeye ndio kapigwa picha basi huyo aliyempiga kamtumia, na yeye (Huyo Dada) akanitumia mimi. sasa picha itanisaidia nini mimi?

Ni hivi: katika ulimwengu wa Forensic ile picha kuna sehemu inapitishwa, na kutoa taarifa za msingi na muhimu, naaaaam.... kama hulijui hilo basi kuna mambo mengi yatakufungua macho.. tuendelee kula story.

Basi niliexport ile picha kwenye Pc yangu na kuanza kuichunguza, nilibaini exactly location iliyopigwa, muda, siku na saa pia na kifaa kilichotumika kupiga hiyo picha. nilijitahidi kuchimba zaidi nikapata na Device unique identifier number. hili zoezi linaitwa Information gathering kwa wale Wataalamu wa matumizi ya OSINT nafkiri tunaelewana vizuri.
Basi, nikarun zile number sehemu (sitataja ni wapi) nikapata taarifa za msingi. taarifa ya msingi zaidi ni account ID ambayo ilikuwa ni Email ya Mume wake. hapa kwangu kazi ilikuwa ishaisha. nilifunga mashine na kupak vikorokoro vyangu na kwenda kulala.

Wiki ya nne sasa inaenda, sipati vitisho tena si SMS wala si kupigiwa simu. nikaona jamaa washanisahau.. kumbe jamaa wamejipanga vibaya mno. nakumbuka kuna siku nipo bafuni naoga, nikawa nasikia miguu ya mtu anapita pita nje (kibarazani) nilichofanya ni kuzima taa ya bafuni, nikaacha bomba la maji wazi.. nikarudi mlangoni nikasogeza kochi (kikochi) taratiibu.. nikachukua panga nikalishika vizuri. muda huo nina taulo tu na mapovu mgongoni, niliskia kuna mtu kama anatengua kitasa, na mwingine anamulika mulika kwa tochi upande wa chumbani, nilichokifanya ni kutulia tu kimya nikisubiri atakayeingia natoka na kichwa. walihangaika kufungua (walitaka waingie kimya kimya) naona wakaghairi na kuondoka, sikumbuki walikuwa wangapi.

Kesho yake nikaona sio tabu, nikatafuta chumba sehemu nyingine na kuhama siku ya pili yake, akili ikawa haitulii kabisa sina amani na wala sijui hatima yangu ni nini?.. nilipata hasira na nguvu nyingi kumjua huyu jamaa ni nani na ananitafutia nini?.

Naomba niongelee kitu kidogo hapa: Je unajua kwamba kama mtu anayo Email yako anauwezo wa kupata taarifa zako za msingi? ikiwemo hata namba yako ya simu? umejisajili wapi katika mifumo? na hata kuiwinda email yako (credentials) na kuidukua? atakayebisha aje.

Basi, kwa kuwa nilikuwa na Email yake niliifatilia vizuri na kubaini identity yake. kwanza alikuwa kajiunga LINKEDIN, kufungua profile yake nikabaini ni mtu mzito serikalini (Sio Usalama kama wengi mlivyodhani) ila alikuwa na wadhfa sehemu.., baada kujua hilo sikuhangaika sana, nilifanya utafiti (Information Gathering) kwenye website ya taasisi aliyokuwa anafanyia kazi, na kubaini email yake ya ofisi ni ipi.. pia nikazibaini emails zingine za staff wa pale hii njia ni common kwa wale wataalamu wa Nmap au recorn softwares (Network pentesters) mtakuwa mnanielewa vizuri ni namna gani system inakuwa uchi, nilifanya yote haya kwasababu sina resources nyingi (hela na muda) pia sikutaka physical involvement katika utafiti wangu, tofauti na yeye aliyekuwa anatuma mapolisi na watu mbalimbali kunifatilia, mie nilitumia akili zaidi.

Haya, naomba pia niwaweke sawa katika matumizi ya Emails: je mnajua kwamba unaweza clone email ya taasisi yoyote au ya mtu yeyote yule? (Email Clonning/Impersonating), je wajua kwamba unaweza kutumia temporary emails kufanya uwizi, kusambaza kirusi etc bila kuacha tracing points?.......??
Mambo ni mengi nimechoka kuandika ila next nitawaelezea ni namna gani niliweza dukua mawasiliano yake ya ofisini na binafsi na kumfanya akawa Mtumwa wangu...

Nikipata muda.
 
Inaendelea....

Rayns mawardat MIRA01 Statics Tiffay

Kuna mdau ameuliza kuhusu Track Me ISW version ni nini?
Well, hii ni moja ya systems ambazo ni forbidden kwa matumizi ya Raia na pia si kila mwenye hii system anaweza itumia (Ina Secret codes/commands) zake ambazo watu wachache wanazijua so far ipo inapatikana katk black market but nyingi ni copy. hii inafanya kazi ya kudukua location ya mhusika ambaye amesetiwa/pandikiziwa huu mfumo. huu mfumo umegawanyika katika functionality nyingi ila kwa mimi niliutumia katika matumizi ya location validation.

Location Validation ni nini?: ni kwamba wakati nasimulia kuna sehemu nilielezea jinsi nimeset coordianates ktk Google map yangu, then natumia device mac adress ya host wangu kuattach payload ya google map, hili zoezi likibind vizuri. naiwekea command ya kunipa sign au blink spot katika dashboard yangu kwamba mhusika yupo katika eneo nililolisetia coordinates. mfano: una mke wako unataka kujua yupo nyumbani au hayupo? ukiingia ktk dashboard unaona kwamba yupo au hayupo. na kama hayupo kuna settings zingine unatakiwa uset kutambua yupo wapi exactly. hiyo inaitwa real time tracking mechanism.. hata akizima Location/GPS bado atapatikana.

Kwanini nilitumia hii?: nilitaka kujua ni muda gani anakuwepo kwakwe, anakaa saa ngapi (time intervals) na mambo mengine ambayo sitayaweka wazi.

Tuendelee..

Kesho yake baada ya kujua hawa watu wanaishi wapi, ilibaki kutambua identity ya mume wa yule dada ni nani? anafanya kazi gani na mambo kama hayo.. najuaje?

Asubuhi na mapema kama kawaida niliamka na kwenda Chuo, baada ya kumaliza mambo ya msingi nilikaa sehemu tulivu na kuanza upekuzi, nakumbuka alinitumia picha whatsapp ile picha ilikuja na neno forwarded. na aina ya picha ilivyopigwa ni kama alikuwa na mtu, ni picha ambayo alipiga akiwa kwake chumbani akiwa na night dress ameshika glass ya wine. so akili ikanicheza kwa kuwa yeye ndio kapigwa picha basi huyo aliyempiga kamtumia, na yeye (Huyo Dada) akanitumia mimi. sasa picha itanisaidia nini mimi?

Ni hivi: katika ulimwengu wa Forensic ile picha kuna sehemu inapitishwa, na kutoa taarifa za msingi na muhimu, naaaaam.... kama hulijui hilo basi kuna mambo mengi yatakufungua macho.. tuendelee kula story.

Basi niliexport ile picha kwenye Pc yangu na kuanza kuichunguza, nilibaini exactly location iliyopigwa, muda, siku na saa pia na kifaa kilichotumika kupiga hiyo picha. nilijitahidi kuchimba zaidi nikapata na Device unique identifier number. hili zoezi linaitwa Information gathering kwa wale Wataalamu wa matumizi ya OSINT nafkiri tunaelewana vizuri.
Basi, nikarun zile number sehemu (sitataja ni wapi) nikapata taarifa za msingi. taarifa ya msingi zaidi ni account ID ambayo ilikuwa ni Email ya Mume wake. hapa kwangu kazi ilikuwa ishaisha. nilifunga mashine na kupak vikorokoro vyangu na kwenda kulala.

Wiki ya nne sasa inaenda, sipati vitisho tena si SMS wala si kupigiwa simu. nikaona jamaa washanisahau.. kumbe jamaa wamejipanga vibaya mno. nakumbuka kuna siku nipo bafuni naoga, nikawa nasikia miguu ya mtu anapita pita nje (kibarazani) nilichofanya ni kuzima taa ya bafuni, nikaacha bomba la maji wazi.. nikarudi mlangoni nikasogeza kochi (kikochi) taratiibu.. nikachukua panga nikalishika vizuri. muda huo nina taulo tu na mapovu mgongoni, niliskia kuna mtu kama anatengua kitasa, na mwingine anamulika mulika kwa tochi upande wa chumbani, nilichokifanya ni kutulia tu kimya nikisubiri atakayeingia natoka na kichwa. walihangaika kufungua (walitaka waingie kimya kimya) naona wakaghairi na kuondoka, sikumbuki walikuwa wangapi.

Kesho yake nikaona sio tabu, nikatafuta chumba sehemu nyingine na kuhama siku ya pili yake, akili ikawa haitulii kabisa sina amani na wala sijui hatima yangu ni nini?.. nilipata hasira na nguvu nyingi kumjua huyu jamaa ni nani na ananitafutia nini?.

Naomba niongelee kitu kidogo hapa: Je unajua kwamba kama mtu anayo Email yako anauwezo wa kupata taarifa zako za msingi? ikiwemo hata namba yako ya simu? umejisajili wapi katika mifumo? na hata kuiwinda email yako (credentials) na kuidukua? atakayebisha aje.

Basi, kwa kuwa nilikuwa na Email yake niliifatilia vizuri na kubaini identity yake. kwanza alikuwa kajiunga LINKEDIN, kufungua profile yake nikabaini ni mtu mzito serikalini (Sio Usalama kama wengi mlivyodhani) ila alikuwa na wadhfa sehemu.., baada kujua hilo sikuhangaika sana, nilifanya utafiti (Information Gathering) kwenye website ya taasisi aliyokuwa anafanyia kazi, na kubaini email yake ya ofisi ni ipi.. pia nikazibaini emails zingine za staff wa pale hii njia ni common kwa wale wataalamu wa Nmap au recorn softwares (Network pentesters) mtakuwa mnanielewa vizuri ni namna gani system inakuwa uchi, nilifanya yote haya kwasababu sina resources nyingi (hela na muda) pia sikutaka physical involvement katika utafiti wangu, tofauti na yeye aliyekuwa anatuma mapolisi na watu mbalimbali kunifatilia, mie nilitumia akili zaidi.

Haya, naomba pia niwaweke sawa katika matumizi ya Emails: je mnajua kwamba unaweza clone email ya taasisi yoyote au ya mtu yeyote yule? (Email Clonning/Impersonating), je wajua kwamba unaweza kutumia temporary emails kufanya uwizi, kusambaza kirusi etc bila kuacha tracing points?.......??
Mambo ni mengi nimechoka kuandika ila next nitawaelezea ni namna gani niliweza dukua mawasiliano yake ya ofisini na binafsi na kumfanya akawa Mtumwa wangu...

Nikipata muda.
Nitarudi
 
Inaendelea....

Rayns mawardat MIRA01 Statics Tiffay

Kuna mdau ameuliza kuhusu Track Me ISW version ni nini?
Well, hii ni moja ya systems ambazo ni forbidden kwa matumizi ya Raia na pia si kila mwenye hii system anaweza itumia (Ina Secret codes/commands) zake ambazo watu wachache wanazijua so far ipo inapatikana katk black market but nyingi ni copy. hii inafanya kazi ya kudukua location ya mhusika ambaye amesetiwa/pandikiziwa huu mfumo. huu mfumo umegawanyika katika functionality nyingi ila kwa mimi niliutumia katika matumizi ya location validation.

Location Validation ni nini?: ni kwamba wakati nasimulia kuna sehemu nilielezea jinsi nimeset coordianates ktk Google map yangu, then natumia device mac adress ya host wangu kuattach payload ya google map, hili zoezi likibind vizuri. naiwekea command ya kunipa sign au blink spot katika dashboard yangu kwamba mhusika yupo katika eneo nililolisetia coordinates. mfano: una mke wako unataka kujua yupo nyumbani au hayupo? ukiingia ktk dashboard unaona kwamba yupo au hayupo. na kama hayupo kuna settings zingine unatakiwa uset kutambua yupo wapi exactly. hiyo inaitwa real time tracking mechanism.. hata akizima Location/GPS bado atapatikana.

Kwanini nilitumia hii?: nilitaka kujua ni muda gani anakuwepo kwakwe, anakaa saa ngapi (time intervals) na mambo mengine ambayo sitayaweka wazi.

Tuendelee..

Kesho yake baada ya kujua hawa watu wanaishi wapi, ilibaki kutambua identity ya mume wa yule dada ni nani? anafanya kazi gani na mambo kama hayo.. najuaje?

Asubuhi na mapema kama kawaida niliamka na kwenda Chuo, baada ya kumaliza mambo ya msingi nilikaa sehemu tulivu na kuanza upekuzi, nakumbuka alinitumia picha whatsapp ile picha ilikuja na neno forwarded. na aina ya picha ilivyopigwa ni kama alikuwa na mtu, ni picha ambayo alipiga akiwa kwake chumbani akiwa na night dress ameshika glass ya wine. so akili ikanicheza kwa kuwa yeye ndio kapigwa picha basi huyo aliyempiga kamtumia, na yeye (Huyo Dada) akanitumia mimi. sasa picha itanisaidia nini mimi?

Ni hivi: katika ulimwengu wa Forensic ile picha kuna sehemu inapitishwa, na kutoa taarifa za msingi na muhimu, naaaaam.... kama hulijui hilo basi kuna mambo mengi yatakufungua macho.. tuendelee kula story.

Basi niliexport ile picha kwenye Pc yangu na kuanza kuichunguza, nilibaini exactly location iliyopigwa, muda, siku na saa pia na kifaa kilichotumika kupiga hiyo picha. nilijitahidi kuchimba zaidi nikapata na Device unique identifier number. hili zoezi linaitwa Information gathering kwa wale Wataalamu wa matumizi ya OSINT nafkiri tunaelewana vizuri.
Basi, nikarun zile number sehemu (sitataja ni wapi) nikapata taarifa za msingi. taarifa ya msingi zaidi ni account ID ambayo ilikuwa ni Email ya Mume wake. hapa kwangu kazi ilikuwa ishaisha. nilifunga mashine na kupak vikorokoro vyangu na kwenda kulala.

Wiki ya nne sasa inaenda, sipati vitisho tena si SMS wala si kupigiwa simu. nikaona jamaa washanisahau.. kumbe jamaa wamejipanga vibaya mno. nakumbuka kuna siku nipo bafuni naoga, nikawa nasikia miguu ya mtu anapita pita nje (kibarazani) nilichofanya ni kuzima taa ya bafuni, nikaacha bomba la maji wazi.. nikarudi mlangoni nikasogeza kochi (kikochi) taratiibu.. nikachukua panga nikalishika vizuri. muda huo nina taulo tu na mapovu mgongoni, niliskia kuna mtu kama anatengua kitasa, na mwingine anamulika mulika kwa tochi upande wa chumbani, nilichokifanya ni kutulia tu kimya nikisubiri atakayeingia natoka na kichwa. walihangaika kufungua (walitaka waingie kimya kimya) naona wakaghairi na kuondoka, sikumbuki walikuwa wangapi.

Kesho yake nikaona sio tabu, nikatafuta chumba sehemu nyingine na kuhama siku ya pili yake, akili ikawa haitulii kabisa sina amani na wala sijui hatima yangu ni nini?.. nilipata hasira na nguvu nyingi kumjua huyu jamaa ni nani na ananitafutia nini?.

Naomba niongelee kitu kidogo hapa: Je unajua kwamba kama mtu anayo Email yako anauwezo wa kupata taarifa zako za msingi? ikiwemo hata namba yako ya simu? umejisajili wapi katika mifumo? na hata kuiwinda email yako (credentials) na kuidukua? atakayebisha aje.

Basi, kwa kuwa nilikuwa na Email yake niliifatilia vizuri na kubaini identity yake. kwanza alikuwa kajiunga LINKEDIN, kufungua profile yake nikabaini ni mtu mzito serikalini (Sio Usalama kama wengi mlivyodhani) ila alikuwa na wadhfa sehemu.., baada kujua hilo sikuhangaika sana, nilifanya utafiti (Information Gathering) kwenye website ya taasisi aliyokuwa anafanyia kazi, na kubaini email yake ya ofisi ni ipi.. pia nikazibaini emails zingine za staff wa pale hii njia ni common kwa wale wataalamu wa Nmap au recorn softwares (Network pentesters) mtakuwa mnanielewa vizuri ni namna gani system inakuwa uchi, nilifanya yote haya kwasababu sina resources nyingi (hela na muda) pia sikutaka physical involvement katika utafiti wangu, tofauti na yeye aliyekuwa anatuma mapolisi na watu mbalimbali kunifatilia, mie nilitumia akili zaidi.

Haya, naomba pia niwaweke sawa katika matumizi ya Emails: je mnajua kwamba unaweza clone email ya taasisi yoyote au ya mtu yeyote yule? (Email Clonning/Impersonating), je wajua kwamba unaweza kutumia temporary emails kufanya uwizi, kusambaza kirusi etc bila kuacha tracing points?.......??
Mambo ni mengi nimechoka kuandika ila next nitawaelezea ni namna gani niliweza dukua mawasiliano yake ya ofisini na binafsi na kumfanya akawa Mtumwa wangu...

Nikipata muda.
Wew ni mtaalm wa IT nini?
 
Back
Top Bottom