Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Story nzuri sana nilikuwa sijaona tag nimechelewa
 
Hakuna mazingira magumu niliyopitia kama ya kuchukua namba ya mtoto mkali mbele ya mama yake mzazi, siku tatu mfululizo pisi mtoto kaumbika inaongozana na mama yake kila siku kuja hapa ninapofanyia kazi kupata huduma, fanya janja janja zoze zikagomba mwamba

Mwamba nilitumia ujanja wote kupata namba ukashindikana japo nahisi kama mama mtoto alikua asha sanukia mishe yangu akazidi kumbana binti yake kweli, ila mwisho wa siku ilibidi nijilipue mbele ya mama yake kuomba namba ya mtoto.

Ilikua hivi wakati wamekamilisha kupata huduma wanatoka nikazunguka kijanja chapu ili niwatokezee kwa mbele na nilifanikiwa hilo. Nikawasimamisha gafla na wakashtuka kama wahalifu , mwamba nika wapa salamu upya na pole na hapo hapo nikamshika binti mkono mbele ya mama yake kwa ujasiri mtoto anataka kuchomoa mkono nikakaza .

Nilifunguka ya moyoni pasi na kupepesa macho , kaza sura mtu nipo serious sana tofauti na alivyo niona awali mama alielewa somo akacheka ikabidi mama asogee pembeni ajifanye anatembea tembea mimi na ongozana na binti yake mithili ya kutoka nje,

binti alikosa cha kuongea alikua kama kapigwa shoti ya umeme maana hakujua ajibu nini na mama yupo around, akaniambia tuu tutaongea basi mimi nikamwambia nipe namba yako tutaongea baadae maana namchelewesha mama yako na sijui lini tutakutana tena kwa kweli namba nilipewa ase

Baada ya kupata chap nikasogea kwa maza mapema ila mama yake alichoniambia ni sentensi hii "wewe kijana unapata wapi ujasiri wa haya yote" mimi nikamjibu kwa kumuuliza kwani baba yake na mwanao alikupataje pataje ? mama mtu akakosa cha kuongea ila alikua anamuangalia binti yake kwa ukali sana lakini hakuwa na namna . Mimi ninachoshukuru tuu mama mtu alikua ana busara sana siyo wa mama hawa wa uswahilini

Japo ndiyo hivyo binti yake nilikuja date nae na kumla mzigo kadiri nilivyo jitakia na mpaka sasa ni moja ya mademu walio katika kumbukumbu zangu za hatari na bado nikimtaka ananiletea ila ananishangaza haniombi hela kabisa
 
[emoji3] mm nilitumiwa kauli moja tuna mume wa mtu

"Nitakufurahisha"

Tng siku ile mpk Leo cna hamu
 
Hahaha, safi sana Kamanda.

Naomba irudiwe siku mtu kaja na Baba yake alafu urudie huo mchezo... kulaanina.
 
Requirements za kusoma ninatakiwa niwe na sifa zipi?
Most of things nimejifunza mwenyewe. Chuon huwezi fundishwa how to buy or sell something on darkweb.

Vitu vingi Chuon vinaminywa au mara nyingi vinafundishwa theoretically.

My advice ni hivi: Swala la Requirements sio la muhimu as long as una nia ya dhati ya kutaka kujifunza kitu, just invest your time, resources and energy itakulipa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…