Mbinu za kuchukua namba ya Simu katika Mazingira Magumu

Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..

Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.

"Attacking while Defending"
Kuna dogo wa elfu mbili alimuomba namba mdada wa 90 hivi ilikua kwenye daladala. Dada aliwaka "we si mwanangu wa kumzaa kabisa halafu unanletea mambo ya ushetani..." huku wanashikana wazichape hadi wakamlalia dereva maana walikaa siti za mbele.
Abiria wanapiga kelele "nyiee wasng mkapiganie nje mtatuua."..
 
Kuna jamaa aliomba namba bila TAHADHARI aliwashiwa moto kwenye Daladala mpaka akashuka kituo sio chake..

Kuna jinsi ya kushambulia huku unajilinda.

"Attacking while Defending"
Mi huwa natumia staili ya kumuheshimu mpinzani huwa sikabii juu ila namba napata.
 
Uongo mwingi humu,unaangalia sana movies za ma-hackers........kiuhalisia kuhack tena bank sio kazi rahisi
 
🤣🤣🤣🤣 Daah
 
Mkuu Gentlemen_ Hii siku naikumbuka vizuri...
 
Naomba msaada wa hiyo keylogger mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…