Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba nipatiemo namba ya mpesa nikutumiepo kakitu kadogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naomba nipatiemo namba ya mpesa nikutumiepo kakitu kadogo
Hapo unaweza kuta hata mumewe umempita maarifa ........sema teuzi teuzi na vyeo uchwara ndio vinawaweka hapo.......😅 si kwel
Tofauti,,,,,,,,,,,,nipo mpakani mwa Tz na malawi.Najua kama upo Tanga....... au nimekosea.
Mhhh Mtoto wa Tukuyu weye..Tofauti,,,,,,,,,,,,nipo mpakani mwa Tz na malawi.
Mumewe ni mtoto wa kigogo naona alishikwa tu mkono na Baba ake enzi za uhai wake.Hapo unaweza kuta hata mumewe umempita maarifa ........sema teuzi teuzi na vyeo uchwara ndio vinawaweka hapo.......
Asante ...........nasubilia hii 🐐 uimalizie nijifunze kitu hapa......Mumewe ni mtoto wa kigogo naona alishikwa tu mkono na Baba ake enzi za uhai wake.
Pamoja mzeeAsante ...........nasubilia hii 🐐 uimalizie nijifunze kitu hapa......
Yaani, NyasaMhhh Mtoto wa Tukuyu weye..
A lota of pussies everywhere......Ndio maana wameseme inabidi watu wasome kwanza elimu ya katiba kwa miaka mitatu. Hafu ndio wadai katiba maana hawajui wanachodai.
Vichwa vinawaza ngono, mpira na kubet tu.
View attachment 2764328
Mh..Yaani, Nyasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mh..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Mh..
Inaendelea..Inaendelea..
Rayns mawardat Statics Tiffay MIRA01
Ilipita kama wiki 2 isiyokuwa na kashkash sana.. na mimi nilikuwa busy kusaidia kutunga UE vijana wakahangaike nayo. Nakumbuka ilikuwa jioni hivi ya Ijumaa moja, nikashangaa yule Dada kanitumia text na bahati nzuri PC nilikuwa sijaizima, basi ikabidi ni hold nichat nae. Alinieleza mambo mengi mara kanimiss na vitu kama hivyo, mie nikamwambia ni namna gani nimeteseka kwasababu yake, akaniambia nisijali mumewe kwa sasa yupo nje ya nchi kama siku tatu hivi zimepita, hivyo yupo free.
Mhh mie nikaona kama ni mtego hivi... nikamwambia sina hakika kama nachat na wewe. Akaniambia ni yeye kweli. Basi niliingia Google meeting nikaandaa link chap nikamtumia nikimwomba aingie muda huo. Bas kweli akaingia nikamuona (Tukawa tunaonana face to face) tuliongea mambo mengi sana na akafunguka ni jinsi gani mumewe ni Mnyama, na sahivi mapenzi yamepungua sana kwa pande zote mbili. Hana uhuru wowote, anafatwa fatwa na watu anachunguzwa sana haamini hata wafanyakazi wenzie wala hata mlinzi wa nyumbani. Kila mtu kwake anahisi ni wale wale tu wa kumchomesha na kumsemea mambo ya ukweli au hata yasiyo ya kweli.
Nilimuuliza yupo wapi.. akanijibu yupo kwake. Nikamuuliza tena akanihakikishia hilo, nikamuuliza mumewe anarudi lini? Akawa hana majibu, maana jamaa alisafiri bila kuaga na atarudi bila taarifa, yaani haeleweki.
Mie akili ikanicheza hapo...
Niliongea nae mambo mengine na story za hapa na pale ila asilimia kubwa nilimficha mambo yangu ikiwemo nafanya kazi wapi kwa sasa na makazi yangu na namba zangu za simu ambazo zipo hewani.
Aliniomba tuonane mapema sana kesho kama sitojali, mie nikawambia ni ngumu sana kumuamini. Ila kwa kuwa na mimi nishamjua ni nani napambana nae basi nikamweleza atulie kesho mchana tuwasiliane kama kawaida (Safari hii ni Google meeting) tu.
Basi, Mchana ulifika ilikuwa Jmos nakumbuka, niliingia ktk G.Meeting nikaona yupo active, nilimuuliza kama sehem X anaijua, akasema anapafahamu, nilimuomba aache gari aache kila kitu mpaka pochi yake aache aje yeye na nguo zake tu hadi hereni na cheni aache, hata saa ya mkononi aache na viatu avae slippers tu asivae viatu vyenye soli ngumu.
Ni hivi: Tracking devices zinawekwa katika sehemu nyingi ikiwemo ktk soli za viatu, ndani ya kava la funguo.. yeah.. wewe unaweza dhani mjanja ukapaki gari mbali ukaondoka na funguo kumbe hiyo funguo ndio ina hicho kidude (Transponder) itakayokuexpose ktk mfumo.. pia hata cheni na hereni.. etc, fatilia Airport ukaguzi wao, mpaka viatu utavua.. unafkiri wanataka waone ndani ya kiatu pekee? Hapana ndio maana unakiingiza kiatu katik Scanner ili kama kuna any electronic device ipatikane au itambulike.
Basi, yule Dada alinielewa nikamwambia asichukue Bodaboda, achukue Daladala, alifanya hivyo alishuka katika Daladala sehemu niliyopo (Bila yeye kujua) nikawa namfata kwa nyuma huku nikiangalia kama kuna mtu mwingine anafatilia movements zetu, nilikaa usawa wake wa kulia kama mtu ambae anataka kumpita, nikamuongelesha kwa utaratibu nikimpa maelekezo ya kunifata kwa nyuma ninapokuwa napita. Akafanya hivyo baada ya kukunja kona mbili tatu, nilikuwa nishaandaa bodaboda pale tukapanda na kuondoka eneo lile mpaka eneo nalokaa.
Tulifika hapo, (Sio mbali) nikamuomba akaribie ndani. Akaingia.. na tukaanza kuongea na kutaniana, hapa nilikuwa nipo na amani maana ni sehemu ambayo ipo very secured. Ndani ya geti na kuna uwanja mpana ni pakubwa kuna apartment's tatu ndani na watu wote wanajielewa na ni watu ambao wapo single hawana familia.
Basi, nilimkaribisha kinywaji, akapata na chakula.. tukawa tupo tu tunacheck movies pale, ghafla akaanza kupunguza nguo eti anaskia joto, alianza na kibrauzi alichovaa akafata na jeans.. akaw kabaki na chupi tu (kuna aina fulan ya chupi zile za mikanda mikanda..) ewaa.. hizo hizo.
Mie muda huo nipo ndani ya kipensi changu cha jeshi jeshi.. juu vest tu, ghafla nikashangaa mtu ananiambia anaskia usingizi anataka kulala, kucheck muda naona jion hii inaingia huyu akilala atarud kwake saa ngapi?.. nikamwambia kulala unajiamini nini? Jiandae urudi home mida ishasogea sana hii. Nikaona kabadirika pale akawa kama kasusa, kavaa nguo zake haraka haraka anataka kutoka nje. Mie nikamuwahi.. nikamweleza ni vipi nimeteseka na bado mambo bado ni mabichi hata sijui nasolve vip hii shida then anataka kuchochea moto huko nyumbani. Nikamwambia awe makini mumewe mwenyewe hatabiriki, anaweza asinidhuru mimi ila akamdhuru yeye..
Akanielewa akasema nimsindikize kituoni ila atleast basi nimkiss, basi nikamuomba aingie ndani tuongelee hayo mambo ndani, akaingia tukakaa kitandani, mtoto akaanza kunipa Mate.. chezeana sana mate mule ndani.. na mie nikaona huyu hapana wacha nimchape nao. Nakumbuka ilikuwa saa 10 jioni ile.. tuliperekeshana mpaka saa 1 usiku. Ila jamani kuna wanawake watamu sana, kwanza msafi yaani K yake ni kama cake yaan hata harufu unaskia kabisa hii kweli K.
Naona wadau mnataka mjue process ilikuwaje mpaka nikala tunda sio? Ni hivi baada ya kupiga mate lita kazaa, nilishuka kitovuni nikakutana na kipini, nikashuka kiunoni nikakutana na Chain (Achaneni na mashanga kama ya waganga) kuna cheni zipo zile anazovaa SHAKIRA, naaam... kucheck na ile chupi sijui bikini yenye mikanda mikanda mie hoi..
Nilmtania nikamwambia lakini si nimekukataza usije na chain akasema hata hii?? Mhhh niue tu kwa kukiuka sheria zako Baba.. hahah, mie sikupoteza muda zaid ya kumpindua kifo cha mende miguu nikaweka begani, nikapeleka mdomo shingoni, nikashusha mdomo kwenye chuchu.. ghafala nikaskia tu mkono unanipapasa kiunoni (Anatafuta Mkongojo), basi bhana akaupata Mkwaju, akataka auingize kumbe lahaula chupi haijavuliwa.... nikamwambia usiwe na kiu kiasi hicho.. tuliaaa.
Nilisogeza ile chupi pembeni yaani nyuzi 90° kwa ustadi wa hali ya juu na kuudidimiza Mkwaju, navyokumbuka alipiga ukunga wa utamu.. na kunikumbatia kwa nguvuu sana.. mie sina hiyana, nilipeleka moto wa kawaida wa nenda kwa usalama yaani sikutaka kupigwa tochi ya mwendokasi.. hapana niliheshimu vibao vya barabarani.. kwenye 30 naenda 30 kwenye 50 naenda 50.. kwenye tuta naminya breki.. kwenye zebra nasimama watu wavuke.. naaaam.
Nakumbuka mashine ilibadirika rangi na yote ikawa kama imechomekwa kwenye kopo la Ice cream, maana ilikuwa nyeupee kutokana na kuchanganya kwa manii (Shahawa) za watu wawili kwa muda mrefu.. tulipimana uwezo na wote tulikuwa hodari, mnajua kuna Mapenzi ya aina nyingi sasa mkikutana wote ni Wasomi, mnajielewa na mna exposure ya mambo ya chumbani kuna taste flani hivi tofauti huwezi ipata kwa watu wengine.. usitegemee ukawa unakula tunda la Halima wa Buza ukafananisha na Nancy wa Masaki. Kuna taste mbili tofauti.. hata lugha na vilio ni tofautii.. nilikuwa nambiwa matusi ya kizungu tuu.. nikawa naitwa Daddy..(Dzaddy..) nilikuw napigwa vibao.. nilikuwa nafinywa... mimi.. ah.
Tuishie hapo.
Basi, baada ya kushindilia magoli kazaa, tulipata muda wa kuosha miili yetu na mimi nikimsisitiza zaidi kuwahi maana muda ushakimbia na hapo (Nyege zishaisha) sasa kichwani akili ndio inakuja kwamba huyu ni muke ya mutu.
Alimaliza kujiandaa, nikampeleka hadi maeneo ya kwake kwa njia ya daladala, alionyesha uchovu sana.. alishuka na kuchukua bodaboda, ambayo ilimfikisha hadi kwake. Mie nikarudi geto nikiwa najipa point 3 za ushindi na kujipiga kifua kwamba ni kidume.. sahiv nipo tayari sasa kwa lolote maana kama kumla nishamla kwelikweli. Sio kipindi kile hata game sijapewa naanza kutafutwa na mizengwe miingi.
Kesho yake, nikakuta text kibao katk ile line ya kwenye moderm, ni text moja tu iliyonishtua ambayo ni kwamba.. alikuwa katk siku za hatari, so anawasiwasi huwenda nishamjaza mimba, pia mumewe kamtumia text whatsapp atarud baada ya wiki 3.. jumla mumewe hapo atakuwa amekaa nje mwezi mzima.. kitaalam hiyo tunaitaje?
Mie sikujibu chochote nikazifuta txt zote.. nikachomoa moderm nikaitia kabatini. Nikaendelea na mambo yangu.
Kuna siku nilikuwa nafanya mambo yangu nikakutana na file moja ambalo lilinipa idea ya kuendelea na uchunguzi au kufatilia huyu jamaa mawasiliano yake yapoje ya kiofisi na kibinfsi yaani na familia yake.
Ni hivi: Katika hatua za udukuzi kuna stage ya kwanza ambayo ni information gathering stage, ambayo inamhusu mhusika kuusoma mfumo au network fulani ili ajue anatumia loophole ipi kuingia ktk huo mfumo.
Mie nichokifanya ni kuandaa Payload ambayo ndani yake kuna Kirusi, hicho kirusi kinaenda kutengeneza connection kati yangu na yeye yaan kati ya computer mbili. Hii ni njia nzuri hasa katik mashambulizi ya MITM (Man In the Middle).
Basi, after kutengeneza Payload nilifanya convertion kutoka kwenye bash scripts na kuirudisha kwenye Exe file then nikaiwekea Metadata ndani yake. Pia nikabadiri Icon ya hiyo exe file ionekane icon ya PDF document. (Hii ni njia wanayotumia wadukuzi hasa katika nyenzo mbalimbali za Social Engineering). After kufanya manipulation hiyo. Niliclone moja ya email ambazo nahisi angezitrust ambazo ni za kiofisi.
Nikaandika ujumbe fulani ambao ulilenga kufungua hiyo document na kusoma maelekezo haraka na kuyafanyia kazi. Kiuhalisia hakuna cha maana ndani ya hilo file. Isipokuwa mtu akifungua ni tayari kawaruhusu virus (Virus ni commands tu) kwamba mtu unaruhusu Execution of commands zifanyike ndani ya computer yako. Na mbaya zaidi ukiwa umatumia computer as Administrator, kuna privileges unazoachia hivyo kirusi kinakuwa ndio Administrator na computer yako inabidirika jina inaitwa kitaalamu kama ZOMBIE PC. unaweza fatilia documentaries za Zombie Pc huko USA.. naaam.
Basi, nilituma hilo file kwa kutumia temporary email, ikaenda na baada ya masaa 8 nilipata Notification kuna session imekuwa established through https.
Nirudi kidogo: Technically udukuzi ni mgumu na sio wa kufanya mara moja na kufanikiwa, hapana. Ni uongo. Lazima urudie rudie ujue mbinu na mikakati iliyobora. Mfano hii njia inafanyika mara nyingi ikiwa Mdukuzi na Target wakiwa katika same network yaani LAN, na wakiwa chini ya network protocol ya http au Tcp. So kufanya reverse_tcp commands inarudisha connections na kukupa access. Ikiwa computer ipo nje ya network moja ni ngumu, hapo ndio unatumia techniques nyingine kama vile Ngrok establishment au active directory kwa kutengeneza cloud server kwa udukuzi ulio nje ya LAN. Aisee mambo ni mengi.
Tuendelee..
After kupata active session niliingia na kuhakikisha ni kweli ni computer yake ndio imeaccess lile file. Nilichofanya baada ya hapo ni kitu kinaitwa ku maintain persistence.
Maana yake nini?; Mdukuzi akiingia katika mfumo anakuwa na malengo matatu. Kwanza kuingia bila kujulikana, kuhakikisha anabaki na mfumo, na kutoka bila kujulikana. Mdukuzi mjinga au yule mwenye nia ovu pekee ndiye atakayekuonyesha kwamba nipo ndani ya mfumo! Wadukuzi wanaojielewa ni wanaingia, wanabaki na wanatoka bila kujulikana.
Sasa ku maintain persistence maana yake ni kuhakikisha hata akizima computer akija kuwasha mie bado napata access. Yaan nakuwa sipotezi sessions kitu ambacho ni kigumu kweli kweli kwenye ulimwengu wa Udukuzi.
Basi, nilifanikiwa hilo na nikawa ninayo PC yake ki software zaidi. Kila faili naliona.. kila atakachofanya nakiona.. basi nikawa nimefanikiwa kwa hilo.
Nitaelezea mbeleni ni vipi niliweza kudukua Simu yake kupitia computer yake yeye mwenyewe. Na ni yapi niliyoyakuta? Pia mkewe atakuwa na Mimba au? Nimechoka kuandika.. next time guys.
Kaka umechokea patamu sana leo!😂🙌🏼Inaendelea..
Rayns mawardat Tiffay MIRA01 Aaliyyah Statics
Baada ya wiki kadhaa kupita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba nilipata likizo fupi maana chuo wanafunzi walikuwa wamerudi nyumbani, mie kama mtu wa part time nilizidi kuwa free nikienda ni kwa ishu technical or short courses zile za computer. Si unajua tena mjini maokoto.
Nilipata muda zaidi wa kufatilia mawasiliano ya yule Jamaa, niliona mambo mengi sana na reports ambazo ni very confidential.. za wakuu wenzie etc.. na kutokana na hilo nikaona na mie nizidownload kwangu so nikawa na export file moja moja hasa nililoona ni potential. Jamaa alikuwa mshenzi sana maana hadi porn alikuwa anazo tena zile HD.
Nilikuwa na changamoto kidogo juu ya namna gani naweza pata access ya simu yake, hapa niwaweke wazi tu security features za Iphone zipo very strong compared na hizi Androids but haikupi guarantee kwamba eti ukiwa na Iphone huwezi kudukuliwa.. hapana. Wembe ni ule ule.
Huyu jamaa bahati nzuri alikuwa anatumia Android so sikupata kazi kubwa sana.. nilijuaje?.
Ni hivi: kama mtakumbuka wakati wa kuchunguza picha na kubaini details mbalimbali pale ndipo niligundua jamaa anatumia kifaa gani. Haijalishi hivyo tu, hizi simu zikiwa zipo na umeme na zipo standby basi muda wote zinawasiliana.
Ndio. Simu inawasiliana muda wote hata kama umeiweka hapo ukalock screen ila bado itaendelea kuwasiliana. Inawasiliana na minara, pia inawasiliana na device zote zilizokaribu yake. Naaam. Kaa ukilijua hilo kama ulikuwa hujui hapo kabla.
Sasa, kutokana na kuifanya Computer ya Jamaa kuwa ni Mzimu/Zombie hatua iliyofata ni kuitumikisha. Sawa na mchawi akikugeuza Ndondocha/Msukule anakufanya anavyotaka.. naaam.
Naomba nizungumzie kitu hapa.
Usiwe mtu wa kuacha simu yako ikiwa na utayari wa kuingiliwa. (Namaanisha nini?) Simu ukiacha Bluetooth on, Wi-Fi on, Location on.. etc tyr umeipa ruhusa ya kuingiliwa, ni kama mwanamke vile aliyetepeta kwa ulenda akisubiri kushughulikiwa tu.
Tuendelee..
Sasa, jamaa Simu yake nafkiri alikuwa ameiconnektia Bluetooth sijui alikuwa anaskiliza mziki kwa earpods or else.. ila ports za Bluetooth zilikuwa wazi. Nilichofanya ni kutengeneza Payload kupitia Computer yangu na kuinject kwenye ile system ya Computer ya Jamaa. Then nikaiamrisha iwe inafanya majaribio ya mara kwa mara (Retrial) mpaka shell ifanye binding. nakumbuka nilitumia siku nne bila mafanikio mpaka siku iliyokuja kukubali maana kulikuwa hakuna njia nyingine.
Basi, huku siku zinazidi kusogea bila mawasiliano na yule Dada, nikaamua niirudishie ile Moderm kwenye Pc nimtafute, nilimcheck kwa text moja zikajibiwa sita.
Kati ya hizo hakuna ya salamu, ni matusi na makasiriko meengi. Nilisoma zile txt, na kumjibu asiwe na wasiwasi anisikilize na tushauriane nini cha kufanya, maana bila shaka ni mjamzito tayari. Na anachohofia ni jamaa akirudi amkute ana huo ujauzito. Maana hakuwepo Mwezi mzima je wakienda kupima hospitalini na kuonesha kuwa ina umri wa mwezi na hakuwepo mjini? Na Bidada kutoa Mimba hataki.
Mie pia maswala ya kutoa Mimba siyaafiki, nikamwambia atulie na siku tuonane tuongee, aliniuliza lini? Nikamwambia atulie nitamjulisha. Ikaishia hivyo.
Huku tayari nishafanikiwa kupata access ila kwa ugumu kiasi kutokana na njia niliyotumia ni ngumu na kufanikiwa kwake ni asilimia chache ila uzuri bahati ilikuwa upande wangu, niliingiza/kupitisha mipangilio mbalimbali na kuiunga Simu yake katika ulimwengu wa Misukule ya kielectroniki.
Je unajua kwamba hata simu ukiacha hapo mezani na kuondoka kama imedukuliwa inaweza kurekodi maongezi yote au sauti zozote..? Kupiga picha bila kujua na mambo mengine.
Ndio maana aliyekuwa kachero mbobezi wa CIA bwana Edward Snowden alisema moja ya kanuni yake akinunua simu mpya ni kuondoa Camera na pia kudisable Microphone yaan kuikata waya kabisa. pia hata kwa upande wa hizi kompyuta zetu unaweza kuiona kawaida kawaida ila inafanya mambo mengi mnoo bila ww kujua.
Uzuri wa system ikiwa chini yako (Under Control) unaweza ukahamisha kila kitu ukavileta kwenye Pc yako na kujichambulia unataka nini..
Nilihamisha Txt zote, Phone/Dial log yote, na documents zote kasoro picha na videos mara nyingi hazinaga faida sana, isipokuwa kama mtu unamfanyia uchunguzi wa mwenendo wake wa kiusalama zaidi huwa hakiachwi kitu.
Baada ya kuvipata hivyo vitu nilisoma jumbe nyingi nikaja kugundua jamaa ana familia nyingine, pia ana Wanawake wengi tu wengine kawapangishia nyumba, mbaya zaidi ana mishe za kimafia (Sitaziweka wazi).
Basi, niliandaa folder nikaliencrypt vizuri na kutunza nyaraka za muhimu humo, huku nikijipa matumaini ya ushindi wa hii ishu.
Baada ya siku kadhaa Jamaa alirudi Tz, akawa anaendelea na harakati zake huku akiacha kabisa kumpeleka Mkewe kazini kama mwanzo (Alikuwa bize sana). Mkewe nae akawa free kiufupi jamaa alivyorudi alibadirika na kumuacha mkewe awe huru kama mwanzo.
Bidada aliforce tuonane na mie bila hiyana nilimkubalia, na hiyo siku ilikuwa siku ya kazi baada ya yeye kutoka kazini tulipanga tuonane pale Lumumba Grill.. tupate Sekela maana na mie nilikuwa maeneo hayo siku hiyo.
Story zilinoga maongezi mengi na mipango mingi, ingawa nilimsihi sana asitoe ujauzito niliompa maana ninaham sana ya Mtoto.. pia sipendi huo utaratibu. Alinielewa na kunihakikishia hilo.
Muda ulisogea sana ilikaribia saa 4 kasoro ndio akaanza kutoka pale, mie nilienda Mnazi mmoja kama kawaida yangu nikakamata daladala nikaelekea kwangu na yeye alidrive kuelekea kwake. Baada ya kufika nyumbani alikuta Mumewe kasharudi na kavimba kama kiboko.. kwa maelezo yake ni kwamba alipita kazini kwake siku hiyo hakuikuta ile gari pale nje, aliuliza walinzi wakasema ameshaondoka, Mume wake hakumpigia simu alinyoosha nyumbani na huko hakumkuta akasema atulie labda foleni.. ila kwa ule muda ni dhahiri alikuwa kapitia sehemu.
Jamaa hakutaka kuelewa ni matusi na mabishano ndani, na Mwanamke tena akiwa kakuchoka ni mbaya zaidi, akamjibu vibaya basi jamaa hakujiuliza mara mbili alimpiga sana mpaka kuzimia. Yaliendelea mambo mengi hapo kati ila mie nilikuja kujua baada ya kuona baadhi ya text anazotuma yule Jamaa kwa rafiki zake kwamba mkewe amelazwa anaumwa na mambo kama hayo.
Nilipata alert. sasa ni mke yupi ? maana jamaa inaonesha ana Mke mwingine nje ya yule pia ana Wanawake wengine. Nilifatilia kwa ukaribu nikabaini ni yule yule ambae anaishi nae. Akili iliniruka sana imekuaje ghafla kalazwa?.
Wiki nzima sina Amani na Jamaa mawasiliano ya simu hasa upande wa Sms za kawaida alipunguza, na kwa nature ya udukuz wangu kuingia ndani ya 3rd party app kama whatsapp ni ngumu kutokana na app privileges. Ilibidi niwe mpole na kufatilia baadhi ya maongezi na txt kadhaa.. sikupata kitu. Nikawa nawasi wasi zaidi.
Nitajua vipi yule Mwanamke kalazwa hospital ipi na kwa ishu gani? Maana nilikuwa napata text tuu ila kusikiliza mawasiliano ilikuwa ngumu.
kitu kingine ni kwamba huu udukuzi unategemea Internet, hivyo akizima data sipati kitu, na mara nyingi alikuwa anafanya hivyo anazimq zima data so nikawa nachelewa kupata taarifa za msingi, na kwa haraka.
Nilichofanya ni kumvizia siku kawasha data muda mrefu na kuingia ktk mfumo wa mipangilio ya mawasiliano kumwelekeza kibra, kuna kitu kinaitwa Call divertion.
Ni hivi: Kuna settings nyingi zipo ndani yake ila ipo moja ambayo unaipa sharti kwamba simu ikipigwa na hiyo simu yako kama haipo hewani basi ielekeze hiyo simu (Incoming calls) kwenye namba fulani. Same applies ikiwa unatumika/busy basi simu nyingine itaita kwenye number fulani ambayo umeiingiza au isajili kule kwenye settings. Pia kuna secret codes ambazo inafanya Call duplication yani itaita kwako itaita kwa mdukuzi. Ila akipokea mmoja ni kote itaonyesha simu inaongea yaani simu inajipokea, na sauti itachukua kote kwa wakati mmoja. Hii wanatumia sana Majasusi wa Kisiasa or Mapenzi...
Nimechoka kuandika.. nitaendelea.
Sasa unachokaje kuandika story tamu hivInaendelea..
Rayns mawardat Tiffay MIRA01 Aaliyyah Statics
Baada ya wiki kadhaa kupita kumbukumbu zangu zinaniambia kwamba nilipata likizo fupi maana chuo wanafunzi walikuwa wamerudi nyumbani, mie kama mtu wa part time nilizidi kuwa free nikienda ni kwa ishu technical or short courses zile za computer. Si unajua tena mjini maokoto.
Nilipata muda zaidi wa kufatilia mawasiliano ya yule Jamaa, niliona mambo mengi sana na reports ambazo ni very confidential.. za wakuu wenzie etc.. na kutokana na hilo nikaona na mie nizidownload kwangu so nikawa na export file moja moja hasa nililoona ni potential. Jamaa alikuwa mshenzi sana maana hadi porn alikuwa anazo tena zile HD.
Nilikuwa na changamoto kidogo juu ya namna gani naweza pata access ya simu yake, hapa niwaweke wazi tu security features za Iphone zipo very strong compared na hizi Androids but haikupi guarantee kwamba eti ukiwa na Iphone huwezi kudukuliwa.. hapana. Wembe ni ule ule.
Huyu jamaa bahati nzuri alikuwa anatumia Android so sikupata kazi kubwa sana.. nilijuaje?.
Ni hivi: kama mtakumbuka wakati wa kuchunguza picha na kubaini details mbalimbali pale ndipo niligundua jamaa anatumia kifaa gani. Haijalishi hivyo tu, hizi simu zikiwa zipo na umeme na zipo standby basi muda wote zinawasiliana.
Ndio. Simu inawasiliana muda wote hata kama umeiweka hapo ukalock screen ila bado itaendelea kuwasiliana. Inawasiliana na minara, pia inawasiliana na device zote zilizokaribu yake. Naaam. Kaa ukilijua hilo kama ulikuwa hujui hapo kabla.
Sasa, kutokana na kuifanya Computer ya Jamaa kuwa ni Mzimu/Zombie hatua iliyofata ni kuitumikisha. Sawa na mchawi akikugeuza Ndondocha/Msukule anakufanya anavyotaka.. naaam.
Naomba nizungumzie kitu hapa.
Usiwe mtu wa kuacha simu yako ikiwa na utayari wa kuingiliwa. (Namaanisha nini?) Simu ukiacha Bluetooth on, Wi-Fi on, Location on.. etc tyr umeipa ruhusa ya kuingiliwa, ni kama mwanamke vile aliyetepeta kwa ulenda akisubiri kushughulikiwa tu.
Tuendelee..
Sasa, jamaa Simu yake nafkiri alikuwa ameiconnektia Bluetooth sijui alikuwa anaskiliza mziki kwa earpods or else.. ila ports za Bluetooth zilikuwa wazi. Nilichofanya ni kutengeneza Payload kupitia Computer yangu na kuinject kwenye ile system ya Computer ya Jamaa. Then nikaiamrisha iwe inafanya majaribio ya mara kwa mara (Retrial) mpaka shell ifanye binding. nakumbuka nilitumia siku nne bila mafanikio mpaka siku iliyokuja kukubali maana kulikuwa hakuna njia nyingine.
Basi, huku siku zinazidi kusogea bila mawasiliano na yule Dada, nikaamua niirudishie ile Moderm kwenye Pc nimtafute, nilimcheck kwa text moja zikajibiwa sita.
Kati ya hizo hakuna ya salamu, ni matusi na makasiriko meengi. Nilisoma zile txt, na kumjibu asiwe na wasiwasi anisikilize na tushauriane nini cha kufanya, maana bila shaka ni mjamzito tayari. Na anachohofia ni jamaa akirudi amkute ana huo ujauzito. Maana hakuwepo Mwezi mzima je wakienda kupima hospitalini na kuonesha kuwa ina umri wa mwezi na hakuwepo mjini? Na Bidada kutoa Mimba hataki.
Mie pia maswala ya kutoa Mimba siyaafiki, nikamwambia atulie na siku tuonane tuongee, aliniuliza lini? Nikamwambia atulie nitamjulisha. Ikaishia hivyo.
Huku tayari nishafanikiwa kupata access ila kwa ugumu kiasi kutokana na njia niliyotumia ni ngumu na kufanikiwa kwake ni asilimia chache ila uzuri bahati ilikuwa upande wangu, niliingiza/kupitisha mipangilio mbalimbali na kuiunga Simu yake katika ulimwengu wa Misukule ya kielectroniki.
Je unajua kwamba hata simu ukiacha hapo mezani na kuondoka kama imedukuliwa inaweza kurekodi maongezi yote au sauti zozote..? Kupiga picha bila kujua na mambo mengine.
Ndio maana aliyekuwa kachero mbobezi wa CIA bwana Edward Snowden alisema moja ya kanuni yake akinunua simu mpya ni kuondoa Camera na pia kudisable Microphone yaan kuikata waya kabisa. pia hata kwa upande wa hizi kompyuta zetu unaweza kuiona kawaida kawaida ila inafanya mambo mengi mnoo bila ww kujua.
Uzuri wa system ikiwa chini yako (Under Control) unaweza ukahamisha kila kitu ukavileta kwenye Pc yako na kujichambulia unataka nini..
Nilihamisha Txt zote, Phone/Dial log yote, na documents zote kasoro picha na videos mara nyingi hazinaga faida sana, isipokuwa kama mtu unamfanyia uchunguzi wa mwenendo wake wa kiusalama zaidi huwa hakiachwi kitu.
Baada ya kuvipata hivyo vitu nilisoma jumbe nyingi nikaja kugundua jamaa ana familia nyingine, pia ana Wanawake wengi tu wengine kawapangishia nyumba, mbaya zaidi ana mishe za kimafia (Sitaziweka wazi).
Basi, niliandaa folder nikaliencrypt vizuri na kutunza nyaraka za muhimu humo, huku nikijipa matumaini ya ushindi wa hii ishu.
Baada ya siku kadhaa Jamaa alirudi Tz, akawa anaendelea na harakati zake huku akiacha kabisa kumpeleka Mkewe kazini kama mwanzo (Alikuwa bize sana). Mkewe nae akawa free kiufupi jamaa alivyorudi alibadirika na kumuacha mkewe awe huru kama mwanzo.
Bidada aliforce tuonane na mie bila hiyana nilimkubalia, na hiyo siku ilikuwa siku ya kazi baada ya yeye kutoka kazini tulipanga tuonane pale Lumumba Grill.. tupate Sekela maana na mie nilikuwa maeneo hayo siku hiyo.
Story zilinoga maongezi mengi na mipango mingi, ingawa nilimsihi sana asitoe ujauzito niliompa maana ninaham sana ya Mtoto.. pia sipendi huo utaratibu. Alinielewa na kunihakikishia hilo.
Muda ulisogea sana ilikaribia saa 4 kasoro ndio akaanza kutoka pale, mie nilienda Mnazi mmoja kama kawaida yangu nikakamata daladala nikaelekea kwangu na yeye alidrive kuelekea kwake. Baada ya kufika nyumbani alikuta Mumewe kasharudi na kavimba kama kiboko.. kwa maelezo yake ni kwamba alipita kazini kwake siku hiyo hakuikuta ile gari pale nje, aliuliza walinzi wakasema ameshaondoka, Mume wake hakumpigia simu alinyoosha nyumbani na huko hakumkuta akasema atulie labda foleni.. ila kwa ule muda ni dhahiri alikuwa kapitia sehemu.
Jamaa hakutaka kuelewa ni matusi na mabishano ndani, na Mwanamke tena akiwa kakuchoka ni mbaya zaidi, akamjibu vibaya basi jamaa hakujiuliza mara mbili alimpiga sana mpaka kuzimia. Yaliendelea mambo mengi hapo kati ila mie nilikuja kujua baada ya kuona baadhi ya text anazotuma yule Jamaa kwa rafiki zake kwamba mkewe amelazwa anaumwa na mambo kama hayo.
Nilipata alert. sasa ni mke yupi ? maana jamaa inaonesha ana Mke mwingine nje ya yule pia ana Wanawake wengine. Nilifatilia kwa ukaribu nikabaini ni yule yule ambae anaishi nae. Akili iliniruka sana imekuaje ghafla kalazwa?.
Wiki nzima sina Amani na Jamaa mawasiliano ya simu hasa upande wa Sms za kawaida alipunguza, na kwa nature ya udukuz wangu kuingia ndani ya 3rd party app kama whatsapp ni ngumu kutokana na app privileges. Ilibidi niwe mpole na kufatilia baadhi ya maongezi na txt kadhaa.. sikupata kitu. Nikawa nawasi wasi zaidi.
Nitajua vipi yule Mwanamke kalazwa hospital ipi na kwa ishu gani? Maana nilikuwa napata text tuu ila kusikiliza mawasiliano ilikuwa ngumu.
kitu kingine ni kwamba huu udukuzi unategemea Internet, hivyo akizima data sipati kitu, na mara nyingi alikuwa anafanya hivyo anazimq zima data so nikawa nachelewa kupata taarifa za msingi, na kwa haraka.
Nilichofanya ni kumvizia siku kawasha data muda mrefu na kuingia ktk mfumo wa mipangilio ya mawasiliano kumwelekeza kibra, kuna kitu kinaitwa Call divertion.
Ni hivi: Kuna settings nyingi zipo ndani yake ila ipo moja ambayo unaipa sharti kwamba simu ikipigwa na hiyo simu yako kama haipo hewani basi ielekeze hiyo simu (Incoming calls) kwenye namba fulani. Same applies ikiwa unatumika/busy basi simu nyingine itaita kwenye number fulani ambayo umeiingiza au isajili kule kwenye settings. Pia kuna secret codes ambazo inafanya Call duplication yani itaita kwako itaita kwa mdukuzi. Ila akipokea mmoja ni kote itaonyesha simu inaongea yaani simu inajipokea, na sauti itachukua kote kwa wakati mmoja. Hii wanatumia sana Majasusi wa Kisiasa or Mapenzi...
Nimechoka kuandika.. nitaendelea.
Dah leo bhana nimebanw kinoma noma..Kaka umechokea patamu sana leo!😂🙌🏼
Asante sana kwa story keep pushing 💪🏾🙏🏽
Ni Uongo tu hakuna uhalisia hapo Mkuu.. mie ni mweupe sana katik tasnia hiyo.Gentlemen_ umetisha mkuu uko deep kwenye udukuzi na techonology yake.
Hahah.. unajua imebid tu niisimulie haikuw story official.. ila hamna noma mdogo mdogo itaisha..Sasa unachokaje kuandika story tamu hiv
🤣 hio hata bi salma wa yule mstaafu hachomoki[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]