Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Usiwe serious sana mkuu
Hawa wahuni wapo mtaani wanasumbua watu
Mara kadhaa panya road wamekuwa agenda hadi wameongelewa bungeni.
We hutaki watu wajadili mambo yaliyo kwenye jamii Yao,
Sijakataa, ila ukisoma comments za wachangiaji kwenye huu uzi utagundua wengi wetu hatujui kwann tumo humu.. zaidi ni kujaza server za Maxence kwa upuuzi usiokua wa maana. Nchi zilizoendelea wahenga wao hawakuwa hivi, wale wachache weliokua na ujuzi wa kusoma na kuandika waliutumia vizuri na maandiko yao ukisoma asilimia kubwa ni madini tupu.. hivi ushawahi kuwaza after 20 years mtoto wako akija kusoma michango unayoitoa humu atawaza kwamba we ulikua ni mtu wa namna gani??
Maana vitukuu vyako.. maana internet is forever, unahisi wataambulia chochote cha Maana kwel?
 
Au sio?
Wahuni ukitaka muwe marafiki uwe unawatoa pesa, hiyo ndio code yao namba 1.

Hata km mtaani kuna demu anakuringia wao wanakuletea mpk ghetto 😹😹
Haaaa kuwapa pesa watakutesa
Bora iwape bila kukuomba
Unasema" oyaa wahuni Kuna buku mbili hii hapa ishi nayo Wanangu "
 
Hakuna kisicho na maana kinaandikwa humu
We ndo huna maana
Yaani unasema mada ya jinsi ya kujinasua kwenye mazingira hatarishi ya wahuni na vibaka ni ujinga?
 
Hakuna kisicho na maana kinaandikwa humu
We ndo huna maana
Yaani unasema mada ya jinsi ya kujinasua kwenye mazingira hatarishi ya wahuni na vibaka ni ujinga?
Mkuu, mtoa mada aliandika mawazo yake.. jaribu kupitia post za chini utaona walichoandika ndugu zangu
Utakutana na kejeli, matusi, yaan mtu from nowhere anajikuta anaandika upupu usio na maana.. anyways niache Mkuu huenda nimevurugwa!!
 
Wahuni wa bongo wanaibia raia na kuwadhuru Ili wapate hela ya kula.
 
Wahuni hawaendi Gym, wahuni utawakuta maskani ..

Hizo jero jero / buku waungie tu mara moja moja ( one time moja unawaambia tu " Mazee mwenyewe sielewi).
Timba maskani zao, tembeza tano ile ki-rasta( mtafute mkali agiza Kama bush / Nga/ sungura / kuku)..
Shiriki kwenye matukio yao ya kijamii ukipata muda...
Kama Kuna deal za hapa na pale wasanue...
Usikaribishe muhuni mtaani kwako.
Usiwabandulie madem zao ( uliza ukipewa visa piga mbupu)

Utaishi nao ile poa masta..Muhuni hafadhiriki
 
Ya kuambiwa changanya na zako labda sio wahuni wa MBAGALA UKO MAJI MATITU
 
Sasa nausiache kutuambia mitaa ipi ya kihuni unapatikana au unajichanganya nao.?
 
Oyaah mimi ukinigei jaga tu nikachukue zangu kamba kwa Kapachino pale, Oyaa nakulindia mpaka demu wako!

Ila Usiniambie huna, nakuvua viatu!
 
Umekoswa point tangu mwanzo Hadi mwisho. Kitendo Cha kukaa mtaa mmoja tu na wahuni wenyewe Wala urojo ndo useme una Kodi za wahuni mkuu?

Huwajui wahuni mkuu. Ukija kuyatimba utajuta. Muhimu hatembei mmoja wakisema toa Hela wee toa kitendo Cha kuondoka na sikio lako ni kawaida tu
 
Oyaah mimi ukinigei jaga tu nikachukue zangu kamba kwa Kapachino pale, Oyaa nakulindia mpaka demu wako!

Ila Usiniambie huna, nakuvua viatu!
mtu bee univue kiatu? sio kinyonge labda ukutane na offsa la kuvimba ( mkate)... Unachoreshwa tu hata mida mida tutaishi mwanangu 👊👊 lazima ulegeze nafsi kunjani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…