Jamaa ni smart, ila wewe pia upo sahihi kuhusu swala la wahuni kushika dola🤔Siyo smart maana wahuni tenga wakubwa wapo tanzania nimewataja . Sema kwa akili ndogo za mtu anaweza kudhani tanzania akuna wahuni wahuni tanzania wameshika dola
Mtumbike hio ni noma😁 mikono mfululuKuna Uzi humu wa muda kidogo wanaelezea vimbwanga vya mambo ya uswahilini na vulugu a wahuni miaka hyo
Kuna mwana anakuambia alimkaba mjeda mitaa ya Magomeni baada ya siku kadhaa mjeda alirudi na wanae kibao kumtafuta mchizi,
Kesho yake yule mjeda akakutana na mwana alimkaba baada ya kurumbana jamaa akaomba kama vipi wazipige na mjeda mtumbili
Daah mjeda kuona hivyo akayeyusha akasepa hakurudi tena 😁 wahuni wa zamani noma
Kazi na dawa mwanangu ✊🏿✊🏿mtu bee univue kiatu? sio kinyonge labda ukutane na offsa la kuvimba ( mkate)... Unachoreshwa tu hata mida mida tutaishi mwanangu 👊👊 lazima ulegeze nafsi kunjani
Hapana sisi ni watu mkuu, kwanini mnasemaga sisi sio watu.Wahuni siyo watu, waliniibia nguo geto ninapokaa wakaenda kuuza kule napofanya kazi
Eti piga nao mazoezi hawa mda mwingi wanawindwa na wazee
Kaa nao mbali
Hio ndio definition ya muhuni smart by humphrey polepole.Huku sisi tuna wasela nnya!.
muhuni anajua kutafuta pesa, pili anajui kuitumia anaweza akakaa miezi ama mwaka huoni ana misheni lkn anakula,anakunywa na anadrive maana wahuni wanapiga dili moja la maana anakula maisha sio watu wakutumia nguvu sanaa kutafuta pesa ni akili!, huwa wanakuwa radhi sana hata kuua ukigusa familia yake!.. sasa hapa bongo muhuni anaiba kwao badala yeye ndo akatafute alete aokoe jahazi!.
muhuni unafanya tukio unakamatwa na polisi wilaya hiyohiyo ama mkoa huohuo!, muhuni akifanya tukio mkimkosa ndo mmemkosa na mkimkamata kama sio nje ya nchi basi mbali.. sa mtu anafanya tukio zito huna hata pesa yakukimbilia unaenda kujificha kwenye magheto ya watu ambao nao wakija kupigwa mabanzi ya shingo wanakutoa...🤣
Mkuu waelezee wahuni wa America 🤔Labda wauni wa amerika ila sio Tanzania
Hapo nimeshikwa na kigugimiz ngoja nikunywe majiMkuu waelezee wahuni wa America 🤔
Ahahha kabisaKina Kiranga Wanawaona tu mkihubiri ngonjera humu😆😆😆😆
Mkuu Kenzy unajikuta Mnyamweeeezii hizo lifestyle Ni kama wale vijana wa Newjersely Driver😀wale sio wahuni wale ni watu waliopagawa!.
uhuni ni gharama unatakiwa uwe na pesa sio ya mawazo, sasa hiyo ndo unafanyia starehe unanunua gari unatupita barabarani spidi kali halafu unafanya drift!!, hapo kiunoni bonge la pisto na mibangi kwenye gari ila bangi original sio hizi zakuchizisha watu!.
muhuni huna hata ghetto kali..🤣
mi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..Mkuu Kenzy unajikuta Mnyamweeeezii hizo lifestyle Ni kama wale vijana wa Newjersely Driver😀
Aaah wapi mimi ni mwendo wa kuwatia ngwala tu!mi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..
uhuni unatakiwa uwe na faida tena muhumu akistaafu uhuni unaacha legacy mtu anaacha mtaani kwake hata kajenga kiwanja cha basketball hapo baade vipaji vitachipuka tu! na watu watakukumbuka!
Noma sana mkuuMtumbike hio ni noma😁 mikono mfululu
Hakika mkuumi mnyamwezi ati... mambo gani ya kujiita muhuni halafu unakaba masikini..? ndio maana watu wanachoma moto!..
uhuni unatakiwa uwe na faida tena muhumu akistaafu uhuni unaacha legacy mtu anaacha mtaani kwake hata kajenga kiwanja cha basketball hapo baade vipaji vitachipuka tu! na watu watakukumbuka!
Halafu wababe wa miaka ile ndio walikuwa wababe kweli, jambazi ni jambazi kweli....jitu la Miraba minneDawa ni chuma tu unatembea nacho wanakiona. Ndo yalikuwa maisha yetu Keko Magurumbasi enzi za mwishoni mwa 1999. Kila ukipita shikamooo nyingi. Sahizi tunazeeka na utemi wetu
hao ni watemi..Kuna mitaa niliwahi kuishi aisee wale vibaka wakikukaba km huna pesa adhabu inaongezeka.. wanakupeleka kwenye mto wanakwambia oga na maji yalivyo y’a baridi sasa usiku weeh.!! 😹😹😹
Ikiwa km unadhurula usiku uwabebee wazee wa kazi hata buku kumi, lasivyo kuoga kunakuhusu.!! 🤣🤣🤣