Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Mbinu za kuishi mitaa ya kihuni, uswahilini

Stupid Africans on your primes!
Kuringishiana na kushindania mambo ya kitaahira
Elimu ni muhimu sana, ila lawama zote zitawatafuna viongozi wenu mliowapa dhamana. Najua watajilimbikizia mali kipindi wakiwa na nguvu ila wakibahatika kuzeeka na kushindwa kupata usingizi sababu ya hekima na busara zinazoambatana na umri ndo watakumbuka wajibu wao kuokoa vizazi vya vijana waliopotea sababu ya umaskini uliotokana na elimu mbovu, ambayo kwa kiasi kikubwa imechangia vijana wengi kupotea wakati wa balehe sababu ya ujinga"

As a third world country, tulipaswa kujifunza kwenye nchi zilizotutangulia kwa kuchukua mifano mizuri na kuepuka kurudia makosa waliopitia.

Kama nyie ni wahuni kweli serikali iwape viza muhamie Haiti, Colombia huko ama Mexico.. Hapo South tu mnadondoshwa kila siku kama Kunguni zilizokutana na dawa Original and still mnajikuta great thinkers kuandika utopolo kwenye platform yenye nguvu ya kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii yetu. Shame on You
Humu kuna ma great thinkers wa kila namna mkuu , hata wa kulila tunda kimasihara pia wapo , punguza pressure bwashee.
 
Bongo kuna wahuni ama kuna watu waliopigwa na maisha!.
muhuni unatakiwa uwe na pesa, sasa muhuni unagongea fegi mara jero mixer kukaba watu wasio na pesa! muhuni hata pisto huna!.
muhuni unakunywa ma taputapu!
Wahuni tanzania wapo CCM kina Abdul ...Rostam azizi...Samia bushiri...mzee kikwete ...kina mafwele nk
 
Humu kuna ma great thinkers wa kila namna mkuu , hata wa kulila tunda kimasihara pia wapo , punguza pressure bwashee.
Sawa. Ngoja niwe mpole
Ukweli sikuzote hua haupendwi ila mngejua watu wa North korea ama Afghanistan wanavyotaman platforms kama hii.. mngekua mnakemea wajinga wachache wanaoharibu atmosphere ya humu
 
Sawa. Ngoja niwe mpole
Ukweli sikuzote hua haupendwi ila mngejua watu wa North korea ama Afghanistan wanavyotaman platforms kama hii.. mngekua mnakemea wajinga wachache wanaoharibu atmosphere ya humu
Mkuu tatzo la sisi watu weusi ni malezi wala sio mada kama hizi,nipo platform nyingi tu za kimataifa , kuna wakati wa mada za ovyo na mada za kuwa seriously.
 
Tanzania hamna wahuni - Ila kuna watu ambao hawana Afya nzuri ya akili .

Bimafsi nimekaa uswahili miaka 4 nilikuwa siwapi hela Ila nilikuwa najaribu kuwajenga kiakili .

Na wachache walionisikiliza waliacha sigara , bangi na pombe na baadhi yao wapo jeshini , wengine wanaemdesha daladala na mmoja anacheza Azam.

Niliwaambia Energy au nguvu haitokani na kuvuta bangi, kunywa pombe wala sigara .

Hizo jero jero sikuwahi kuwapa Ila kuwanunulia chakula , kuwapa Unga ,magodoro ya kulalia .

Ukiishi Thug life -unakuwa mbele ya muda Active smart na hustler na sio Kama hawa ndugu zetu wa uswahilini ambao wapo Addicted with alcohol, Weed and cigarettes.

But a lot of mother F they entertain this shit Kwa kuwapa hela ya kunywa pombe ,sigara na madawa na kuhusahu kuwa wanaongeza chumvi ktk kidonda
 
Tanzania hamna wahuni - Ila kuna watu ambao hawana Afya nzuri ya akili .

Bimafsi nimekaa uswahili miaka 4 nilikuwa siwapi hela Ila nilikuwa najaribu kuwajenga kiakili .

Na wachache walionisikiliza waliacha sigara , bangi na pombe na baadhi yao wapo jeshini , wengine wanaemdesha daladala na mmoja anacheza Azam.

Niliwaambia Energy au nguvu haitokani na kuvuta bangi, kunywa pombe wala sigara .

Hizo jero jero sikuwahi kuwapa Ila kuwanunulia chakula , kuwapa Unga ,magodoro ya kulalia .

Ukiishi Thug life -unakuwa mbele ya muda Active smart na hustler na sio Kama hawa ndugu zetu wa uswahilini ambao wapo Addicted with alcohol, Weed and cigarettes.

But a lot of mother fuckers they entertain this shit Kwa kuwapa hela ya kunywa pombe ,sigara na madawa na kuhusahu they ruin their health completely.
Mkuu upo smart sana, najivunia nchi yangu kuwa na watu kama wewe .
 
Sawa. Ngoja niwe mpole
Ukweli sikuzote hua haupendwi ila mngejua watu wa North korea ama Afghanistan wanavyotaman platforms kama hii.. mngekua mnakemea wajinga wachache wanaoharibu atmosphere ya humu
Usiwe serious sana mkuu
Hawa wahuni wapo mtaani wanasumbua watu
Mara kadhaa panya road wamekuwa agenda hadi wameongelewa bungeni.
We hutaki watu wajadili mambo yaliyo kwenye jamii Yao,
 
Bado tunaendelea kusema wenye Akili ni wawili tu kule

Akili za mwanautopolo hizi jameni
Wanasemaga kambi popote
Kuna watu hawawezi kuishi hata siku mbili tu maeneo yaliyopinda, wanaogopa wahuni na vibaka, sijui panya road

Nishawahi kuishi Dar nikiwa na familia yangu huko Mbagala na lilikuwa kipindi cha panya road, hakuna muhuni alisumbua

Hapa nitawapa mbinu kadhaa

1. Unapoombwa hela na wahuni usiwape.
Wahuni Huwa wanapenda kutikisa watu Kwa kuwapima msimamo wao.
Anaweza akakwambia
Oyaa Uncle nigei jero ya fegi
Mjibu huna au hutaki yaani isionekane ni haki kupewa kazi Bure

2. Shiriki mambo ya kijamii ya wahuni.
Wapewe michango kama ya mechi za ndondo, shughuli zao n.k

3. Kuwa mbabe kiasi
Itokee hata mhuni akizingua unampasua

4. Rudi usiku bila hofu
Ili wahuni au vibaka wasikuumize, we uwe na utamaduni wa kuingia na kutokea chimbo zao bila woga

5. Wajue wahuni baadhi
Ili wahuni wasikuumize we wajue wenzao kadhaa kwenye mtaa hata wakujue Kwa jina labda braza Salum

6. Usikae home Kinyonge au kike kike
Labda weekend upo unafua na kukaangiza, hapo wahuni watakulia timing na watakuchukulia vyako

7. Fanya mazoezi nao
Kama ni kupiga chuma, muulize muhuni chimbo zao za kupiga chuma ni wapi, nenda pale kiwashe hadi wakutambue kuwa huyu si mnyoge

8. Juana na wazazi au ndugu zao

9 . Wakosoe wanapokosea na watishie kuwa unaweza kuwaadhibu, hapa watakuheshimu
 
Back
Top Bottom