Mbinu za kupata Mishangazi ya JF

Mkuu imebidi nipaki gari yangu Range Rover Evoque ya rangi ya Dark blue pembeni ya barabara nisome uzi wako kwanza
Huu ndio ugonjwa wao,,,hakikisha pm iko wazi kuanzia sasa πŸ˜…πŸ˜…
 
Mashangazi hayadati na mambo kama hayo madogo,kwanza hela yanazo kwa hio ukiwa una kula bata sehemu zao unawapata kirahisi tu tena kwa kukutunuku pasi hata na ku~fake!
 
Mashangazi hayadati na mambo kama hayo madogo,kwanza hela yanazo kwa hio ukiwa una kula bata sehemu zao unawapata kirahisi tu tena kwa kukutunuku pasi hata na ku~fake!
Mashangazi yana grade yake,,, ili uende sawa na mashangazi inatakiwa walau uwe uko vizur japo kiasi

Ila mijimama wewe nenda na nguo zako tu yatakupokea na kukulea na yanakawaida ya kusimamia show nzima
 
Mashangazi yana grade yake,,, ili uende sawa na mashangazi inatakiwa walau uwe uko vizur japo kiasi

Ila mijimama wewe nenda na nguo zako tu yatakupokea na kukulea na yanakawaida ya kusimamia show nzima
ya nin kujipa stress ya ku~fake wakati ukizagaa maeneo yao unawapata?hawa wa humu ni vimbaumbau na midume ilojivisha uanamke yatapeli mandezi
 
Si Bora kutromba malaya?kazi zote hizo za nn?ukizingatia mashangazi skuizi nayo yamesanuka kijana tafuta fweza
 
Wewe itakuwa unazungumzia mashangazi fekero a.k.a waya mkali mbuzi kalamba reli.

Mshangazi OG self-made haangalii swaga hizo za kindezi. 😎

-Kaveli-
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…