Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

Mbinu za utajiri ni ubahili, bila kuwa bahili sahau utajiri. Faida yake naiona

We c receiver ...mtoto wa kike ..hata wakat wa sex unapokea ..sitakushangaa ukila bata , maana kwa wenye pesa we ndo bata mwenyewe wanae-mla ...ongeza bidii Kwenye ulaji bata ......
[emoji13][emoji13][emoji23][emoji23]
 
sidhani kama mleta mada alikuwa na maana ya ubahiri kama ubahiri tunaoujua sisi. Kwamba ulale chini kwenye sakafu bila godoro kwa ajili ya kuweka savings za kujenga ghorofa! Nilivyomuelewa mimi ni ubahiri wa kujinyima au kukwepa matumizi yasiyo ya umuhimu. Mfano siamini kwamba nikitaka niwe na hali nzuri kiuchumi lazima niache kunywa beer. Lakini, naweza kuamua kupunguza bia kumi mpaka nne. Naweza kuacha kununulia watu pombe just for the sake! Naweza kuacha kununua nguo kwa sababu tuu nina pesa. Wengi wetu humu tuna nguo hatujawahi kuzivaa mwaka mzima. tuna pair nyingi za viatu hazivaliwi. Na mengine mengi.

RAI YANGU: Tunatafuta maisha kula maisha. lakini kiuhalisia matumizi mengi tunayoyafanya hayana ulazima. Wengi tunaenda bar unanunua pombe just ku-show off. Lakini unaweza ukaenda bar ukanywa beer zako mbili tatu ukaendelea na mishe. Unaweza ukaishi na ukashiriki shughuli za kijamii bila kuhatarisha savings zako na malengo yako.

Point kubwa ni savings. ujue mipaka ya matumizi yako.
Haha..watu wameelewa vizuri tu, shida ni utamaduni wa kusave hawana...
mtu ukimwambia hizo habari sijuiu anakuonaje..

Pili, kitendo cah mleta mada kuongelea pesa anazoingiza, na ndoto anazofikilia kuzitimiza

zinawafanya wengi humu kuingiwa na chuki, hasira kutokana na stress za maisha , hii inapelekea mtu kuwa na mtizamo hasi kwenye kila jambo/wazo.
 
ukisha maliza kujenga hiyo nyumba halafu unakufwa
ndugu wanaamua bora waiuze halafu hela wanaenda kula bata

ni kama mzoga kuliwa na siafu tu

😁😁😁
 
Nilichojifunza mimi katika maisha,ubahiri nao unakuachia makovu mengi tu,ambayo ukiishakuwa tajiri yanakuwa hayafutiki,mfano watoto wanakuwa wamepata elimu duni,wamekua bila mlo kamili,n.k
Rudia kusoma tena alichokiandika mtoa.. mada huu ubahili unaouzungumzia wewe sio
 
Nakubaliana nawe 110%..
Ila ubahili usizidi mpaka unajinyima chakula au mambo muhimu..
 
Ukweli mchungu.

Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.

Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.

Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.

Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.

Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi

Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.

Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.

Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.

Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....

View attachment 1771255
tulikua na timu ya mpira kitaa,tukawa tunapitisha bakuli kwa street hoods,tumefika kwa dingi mmoja wa kipare don sana,mihotel,hardware,project kibao dooh cha ajabu alichomoa "jelo" tu akatuchangia watu waling'aa sharubu mana walijua si chini ya fifte itamtoka....nikajua kweli Niki wa Pili hakukosea "Siri ya utajiri ni ubahili"
 
Haha..watu wameelewa vizuri tu, shida ni utamaduni wa kusave hawana...
mtu ukimwambia hizo habari sijuiu anakuonaje..

Pili, kitendo cah mleta mada kuongelea pesa anazoingiza, na ndoto anazofikilia kuzitimiza

zinawafanya wengi humu kuingiwa na chuki, hasira kutokana na stress za maisha , hii inapelekea mtu kuwa na mtizamo hasi kwenye kila jambo/wazo.
Kabisa
 
Ukweli mchungu.

Watu wengi wanatamani Sana kuwa matajiri lakini hawajui mbinu gani zinatumika.

Sisemi matajiri wote walikuwa mabahiri, la hasha Ila kikwetukwetu hii mbinu ya ubahili ndio njia nzuri ya kuelekea kuwa tajiri.
Ubahili nachukulia Kama kitendo Cha kutotumia pesa kwenye matumizi yasiyo ya lazima.

Hii njia nimeitumia miaka 10 Sasa na faida yake nimeiona. Kuwa mbahili sana, alafu utanishukuru baadae.

Pesa nilikuwa napata nzuri tu kwenye mishe zangu za gen supplies na kwenye construction Ila nilikuwa naishi maisha ya kawaida Sana, chumba na sebule kwa elfu 60 kimara huko ndani ndani. Ila kwa mwezi nilikuwa nakusanya faida mil 4, huu ni wastani.

Kuna mwezi napata kazi nyingi faida hadi m 8, 10 na Kuna mwezi napata mil 2 na Kuna mwezi hakuna kazi kabisa hivyo nafidia huo mwezi kwa mwezi niliopata zaidi

Ubahili unalipaje?
Baada tu ya kununua plots kadhaa jijini hapa, kila mwezi nikaanza ku-save mil 1.8 kwa ajili ya kujenga na mil 1.8 nyingine kwa ajili ya biashara ya hardware. Hivyo mwezi mzima nauendesha kwa laki 4 tu, inatoa 60 ya kupanga.

Hapo kulikuwa hakuna Cha kwenda kula bata wala kuhonga Wala kulakula ovyo(wengi mnaita eti kula vizuri). Na hakuna cha kununua gari Wala nini, nilikuwa na pikipiki boxer kwa ajili ya kuwahi mishe. Ila hata Sasa natumia ka-IST tu, hayo ma-prado baadae Sana huko.
Ndani ya miaka minne tu nikajikuta karibu ya mil 80(of course nilitumia mil 78) kwenye kujenga na zaidi ya mil 80 kwenye kuanzisha hardware.

Hivi Sasa hardware ndio inaendesha kila kitu changu na inalipa sana tena Sana. Hivyo nipate tender nisipate mambo ni byeeee.

Story itakuwa ndefu Sana, Ila ACHENI UJUAJI UBAHILI UNALIPA SANA.
ACHENI KULA BATA BILA KUWA NA MIPANGO

Next project ni hii dream house(namba mbili), location itakuwa Tegeta - wazo.
Hii natembea nayo kila mahali hadi kitandani ninayo, soon inazikwa kwa ground.

Architect ni mtaalam vantano, yupo sana kule IG, haikuwa yangu Ila niliipenda sana. Soon, soon.....

View attachment 1771255
Maudhui ya huu uzi wako yapo kwenye mstari wa mwisho kabisa wa bandiko.... huku mwanzo unajua mwenyewe na mola wako.
 
Hivi kwanini wabongo tuko so negative hivi jamani?? Shida iko wapi?khaa
Dada .....Hilo ni tangazo la biashara kwa njia kiujanja ujanja km matangazo mengine . Hiyo mwishoni ndio namba ya simu kwa style nyingine, huwezi kuelewa km akili yako inafikiri taratibu sana,..au (slow learner) ..... hayo maelezo mengine ni mbwembwe za kufikisha ujumbe.
 
Haloooo
IMG-20210428-WA0000.jpg
 
Back
Top Bottom