Mbio za Mwenge: Wakimbiza Mwenge watumie vigezo vya kitaalam kukagua miradi

Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia mambo ya ajabu katika ukimbizaji mwenge wa uhuru.

Wakimbizaji mwenge siku hizi wamegeuka kuwa TASK FORCE ya ukaguzi wa miradi.
Sina uhakika kama wakimbiza mwenge ni wahandisi au wataalam wa kukagua miradi na usimamizi wake.

Kama picha hapo juu eti mkaguzi anakagua ksa sululu kupima ugumu wa barabara.
Hili lilofanyika huko Njombe.
Hakuna anayejua vigezo vya ukaguzi huo kitaalam.

Naamini hawa vijana wakimbiza mwenge hawana utaalam wowote zaidi ya uzalendo mkubwa kwa nchi yao.
Wao si maafisa wa TAKUKURU inayotembea.

Waratibu wa mbio wawape wakimbiza mwenge ujumbe wa kuleta mshikamano, amani ya nchi nakwa ujumla kuleta matumsini kwa wananchi.

Hayo ndiyo yalikuwa majukumu ya kwanza toka enzi za Mwalimu.
acha kukimbilia huku fanyakazi kwa viwango
 
Na kwa haya mapinduzi makubwa ya mitandao hii clip itaenda dunia mzima ikionesha jinsi Watanzania wanafanya QC ya miundombinu ya barabara zao.
 

Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia mambo ya ajabu katika ukimbizaji mwenge wa uhuru.

Wakimbizaji mwenge siku hizi wamegeuka kuwa TASK FORCE ya ukaguzi wa miradi.
Sina uhakika kama wakimbiza mwenge ni wahandisi au wataalam wa kukagua miradi na usimamizi wake.

Kama picha hapo juu eti mkaguzi anakagua ksa sululu kupima ugumu wa barabara.
Hili lilofanyika huko Njombe.
Hakuna anayejua vigezo vya ukaguzi huo kitaalam.

Naamini hawa vijana wakimbiza mwenge hawana utaalam wowote zaidi ya uzalendo mkubwa kwa nchi yao.
Wao si maafisa wa TAKUKURU inayotembea.

Waratibu wa mbio wawape wakimbiza mwenge ujumbe wa kuleta mshikamano, amani ya nchi nakwa ujumla kuleta matumsini kwa wananchi.

Hayo ndiyo yalikuwa majukumu ya kwanza toka enzi za Mwalimu.
Hawa jamaa akili zao matope kabisa ndio mana mkesha wa mwenge wanaccm wanapigana miti kwa kasi ya 5G,asubuhi mzigo wa used condom hukutwa kwenye eneo la tukio
 
Amefanya uharibifu , utaratibu wa ukaguzi wa barabara huwa wanachukua udogo kuanzia mwanzo mpaka lami inavyoshindiliwa wanaenda kupima maabara ,

Na hauchukuliwi kwa njia ya kuchimba kama alivyo fanya , Kuna kifaa maalum kinapigilia kuchukua sampuli
 
SGR wasipelekwe kabisa wanaweza kutia aibu huko kuanza kugonga mataluma na sururu
Miradi ya pesa nyingi sheria haiwaruhusu kupeleka mwenge ushawahi kuwaona wanazindua barabara za TANROADS?
 
Katika hali isiyokuwa ya Kawaida ( japo Mhusika alijiona ni Mwerevu wakati kumbe ni Popoma tu ) Kiongozi Mkuu wa Mbio za Mwenge huku akikodolewa Macho na Wenzake ( hasa wana CCM wengi ) aliamua Kukagua Uimara wa Barabara ya Lami iliyojengwa na Kutumia Sululu ( huku akiichimba ) na siyo Kifaa Maalum kutoka kwa Mtaalam wa Masuala ya Ujenzi.

Hivi ni kwanini baadhi ya Watanzania wenzetu kutokana na Upopoma wao wanataka Kutuaibisha na Kutudhalilisha Watanzania wote mpaka tunaonekana ni wa hovyo hovyo ( Mazuzu ) kama Wao?

Tangia lini Ubora wa Lami tena iliyojengwa Kiubora na Kiukamilifu ikajaribiwa Uimara wake kwa Kuichimba na Sululu huku anayefanya Upopoma ( Upuuzi ) huu akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Mbio za Mwenge nchini na akiwa amevalia Sare za Mbio hizo za Mwenge?

Halafu tukiwasema mnatuchukia sana.
 
Kwa hili namtetea, Upigaji ni mwingi sana brother. Tena bora enzi za mwenda zake..Saa hii yaani ni full upigaji tu...tulioko huku tunaelewa sana..Niishie hapa tu nisiende mbali zaidi.
 
Kwa hili namtetea, Upigaji ni mwingi sana brother. Tena bora enzi za mwenda zake..Saa hii yaani ni full upigaji tu...tulioko huku tunaelewa sana..Niishie hapa tu nisiende mbali zaidi.
We nawe n popoma km Hilo likimbiza mwenge.
 

Katika miaka ya karibuni tumeshuhudia mambo ya ajabu katika ukimbizaji mwenge wa uhuru.

Wakimbizaji mwenge siku hizi wamegeuka kuwa TASK FORCE ya ukaguzi wa miradi.
Sina uhakika kama wakimbiza mwenge ni wahandisi au wataalam wa kukagua miradi na usimamizi wake.

Kama picha hapo juu eti mkaguzi anakagua ksa sululu kupima ugumu wa barabara.
Hili lilofanyika huko Njombe.
Hakuna anayejua vigezo vya ukaguzi huo kitaalam.

Naamini hawa vijana wakimbiza mwenge hawana utaalam wowote zaidi ya uzalendo mkubwa kwa nchi yao.
Wao si maafisa wa TAKUKURU inayotembea.

Waratibu wa mbio wawape wakimbiza mwenge ujumbe wa kuleta mshikamano, amani ya nchi nakwa ujumla kuleta matumsini kwa wananchi.

Hayo ndiyo yalikuwa majukumu ya kwanza toka enzi za Mwalimu.
 
Mwenge hauna faida ni kuendelea kuabudu sanamu tu.

Hasara zs mwenge

1. Matumizi mabaya ya fedha za umma. Mafuta na matengenezo ya magari, kuwalipa wakimbiza mwenge n.k

2. Kueneza ukimwi siku ya mkesha

3. Wafanyakazi kutofanya kazi maana hulazimishwa kukesha hivyo kesho yake uchovu , henyova ya pombe na ngono

4......
 
Katika hali isiyokuwa ya Kawaida ( japo Mhusika alijiona ni Mwerevu wakati kumbe ni Popoma tu ) Kiongozi Mkuu wa Mbio za Mwenge huku akikodolewa Macho na Wenzake ( hasa wana CCM wengi ) aliamua Kukagua Uimara wa Barabara ya Lami iliyojengwa na Kutumia Sululu ( huku akiichimba ) na siyo Kifaa Maalum kutoka kwa Mtaalam wa Masuala ya Ujenzi.

Hivi ni kwanini baadhi ya Watanzania wenzetu kutokana na Upopoma wao wanataka Kutuaibisha na Kutudhalilisha Watanzania wote mpaka tunaonekana ni wa hovyo hovyo ( Mazuzu ) kama Wao?

Tangia lini Ubora wa Lami tena iliyojengwa Kiubora na Kiukamilifu ikajaribiwa Uimara wake kwa Kuichimba na Sululu huku anayefanya Upopoma ( Upuuzi ) huu akiwa ni Kiongozi Mkuu wa Mbio za Mwenge nchini na akiwa amevalia Sare za Mbio hizo za Mwenge?

Halafu tukiwasema mnatuchukia sana.
Umepatia kabisa mkuu.
Tatizo la wakimbiza mwenge kujipa uerevu ambao hawana wala hawajawahi kuwa nao.
 
Back
Top Bottom