Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
DuhHasa na vijana viajiriwa na Mibaba ya hovyo! IFM wanaliwa kama kitu gani n mababa majitu mazima ya Postal.
Wakienda kwenye Field ndo balaa! Kile chuo ndomana ukimwi mwingi sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhHasa na vijana viajiriwa na Mibaba ya hovyo! IFM wanaliwa kama kitu gani n mababa majitu mazima ya Postal.
Wakienda kwenye Field ndo balaa! Kile chuo ndomana ukimwi mwingi sana!
Wengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.Mabinti/wanawake wengi wanaharibikia vyuoni
Mimi demu nikishajua demu aliendaga kwa mujibu na ngebe zinanikata 😁🙌Wengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.
Halafu yakibaki makapi, kuna ndezi wanakuja kuoa na kujifanya wamepata wife material, unakuta ndezi mpaka anakopa afanye harusi itakayoacha historia pasi na kujua anaoa COPY
Tafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hichoDahh! Chuo gani mkuu?! 😂😂😂😂😂😂🙌
Shule za Dar ni vijiji vilivyo ndani ya jiji, zina mambo ya hovyo sana kuliko hata shule za mkoani sometimesNimefundisha kwa kujitolea kuanzia 2020 mpaka 2023 ......
2020-2021 secondary shule za sekondary 3 na 2022-2023 shule za msingi mbili.
Na nilikuwa nafundisha table(Home) teaching ya kumfata mtoto nyumbani.
Hunidanganyi kitu kuhusu mazingira ya kayumba tena nimefundisha dar na kwa taarifa yako primary kuna ela za hapa na pale kuliko secondary.
Endelea kujidanganya na kuwadanganya watu.
Kama sio IJA Lushoto basi ni Mzumbe ya Mbeya hii. Iringa nakataa sababu kungekuwa na stori za ukimwi mwingiTafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hicho
Hapo sitii Neno bamutu batarokota benyeweKama sio IJA Lushoto basi ni Mzumbe ya Mbeya hii. Iringa nakataa sababu kungekuwa na stori za ukimwi mwingi
Ahh! Kulaleki! Hiyo Musti Mbeya 😂😂😂😂😂🙌Tafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hicho
Huwezi kwenda huko ukarudi salamaSio wote Jamani
Umeongea unwell mtupu baadhi ya mabinti wanatamani kuzaa kwa sababu kaona marafomi zake wana watoto au wadogo zake wamezaa, kwa hiyo utakuta anafata mkumbo bila kuangalia kesho yake yeye na mwanae, akishazaa tu ndiyo akili inamjia kuna malezi ya mtoto ili aishi maisha bora.Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasika😁
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
Huyu LIKUD anaongea vitu kinadharia sana angekuwa field ajionee hizo shule anazozipigia upatu....yahn shule za msingi kwa hii sera ya elimu bure ndio zimeharibika sana kuanzia 2016 kurudi nyuma hapo shule za msingi za serikali zilikuwa zina afadhali...Shule za Dar ni vijiji vilivyo ndani ya jiji, zina mambo ya hovyo sana kuliko hata shule za mkoani sometimes
Yeah Iko hivo ...Umeongea unwell mtupu baadhi ya mabinti wanatamani kuzaa kwa sababu kaona marafomi zake wana watoto au wadogo zake wamezaa, kwa hiyo utakuta anafata mkumbo bila kuangalia kesho yake yeye na mwanae, akishazaa tu ndiyo akili inamjia kuna malezi ya mtoto ili aishi maisha bora.
Na hakuna kufeli na kurudia darasa, ndio kabisaa kipaumbele cha shule zetu ni kuwa vituo vya kukuza vijana kiumri na sio kimaarifa tena.Huyu LIKUD anaongea vitu kinadharia sana angekuwa field ajionee hizo shule anazozipigia upatu....yahn shule za msingi kwa hii sera ya elimu bure ndio zimeharibika sana kuanzia 2016 kurudi nyuma hapo shule za msingi za serikali zilikuwa zina afadhali...
lakini Magufuli alipoleta elimu bure kisiasa na kuzia motisha kwa walimu za hapa na pale ndio aliharibu.
Miaka hii watoto wapo wengi wanabanana wengine wanakaa chini darasa moja watoto 200 mwalimu lazima wakushinde...tofauti na miaka yetu ya nyuma darasa lina wanafunzi 50.
Duuh kwa hiyo umeamua kuwashushia bomu la atomic kabisaWengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.
Halafu yakibaki makapi, kuna ndezi wanakuja kuoa na kujifanya wamepata wife material, unakuta ndezi mpaka anakopa afanye harusi itakayoacha historia pasi na kujua anaoa COPY