Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mabinti/wanawake wengi wanaharibikia vyuoni
Wengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.

Halafu yakibaki makapi, kuna ndezi wanakuja kuoa na kujifanya wamepata wife material, unakuta ndezi mpaka anakopa afanye harusi itakayoacha historia pasi na kujua anaoa COPY
 
Wengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.

Halafu yakibaki makapi, kuna ndezi wanakuja kuoa na kujifanya wamepata wife material, unakuta ndezi mpaka anakopa afanye harusi itakayoacha historia pasi na kujua anaoa COPY
Mimi demu nikishajua demu aliendaga kwa mujibu na ngebe zinanikata 😁🙌
 
Dahh! Chuo gani mkuu?! 😂😂😂😂😂😂🙌
Tafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hicho
 
Nimefundisha kwa kujitolea kuanzia 2020 mpaka 2023 ......
2020-2021 secondary shule za sekondary 3 na 2022-2023 shule za msingi mbili.

Na nilikuwa nafundisha table(Home) teaching ya kumfata mtoto nyumbani.

Hunidanganyi kitu kuhusu mazingira ya kayumba tena nimefundisha dar na kwa taarifa yako primary kuna ela za hapa na pale kuliko secondary.

Endelea kujidanganya na kuwadanganya watu.
Shule za Dar ni vijiji vilivyo ndani ya jiji, zina mambo ya hovyo sana kuliko hata shule za mkoani sometimes
 
Tafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hicho
Kama sio IJA Lushoto basi ni Mzumbe ya Mbeya hii. Iringa nakataa sababu kungekuwa na stori za ukimwi mwingi
 
Tafuta mikoa 10 yenye baridi la kutosha yaan kuna wakati kunapigwa ukungu saa 2 asubuhi hatuonani na tushazoea baridi semester zote ni mwendo wa baridi tu jua likiwaka ni kidogo baada ya kuvipata kaguakagua utakikuta kitakua ndio hicho
Ahh! Kulaleki! Hiyo Musti Mbeya 😂😂😂😂😂🙌
 
Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasika😁
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
Umeongea unwell mtupu baadhi ya mabinti wanatamani kuzaa kwa sababu kaona marafomi zake wana watoto au wadogo zake wamezaa, kwa hiyo utakuta anafata mkumbo bila kuangalia kesho yake yeye na mwanae, akishazaa tu ndiyo akili inamjia kuna malezi ya mtoto ili aishi maisha bora.
 
Shule za Dar ni vijiji vilivyo ndani ya jiji, zina mambo ya hovyo sana kuliko hata shule za mkoani sometimes
Huyu LIKUD anaongea vitu kinadharia sana angekuwa field ajionee hizo shule anazozipigia upatu....yahn shule za msingi kwa hii sera ya elimu bure ndio zimeharibika sana kuanzia 2016 kurudi nyuma hapo shule za msingi za serikali zilikuwa zina afadhali...

lakini Magufuli alipoleta elimu bure kisiasa na kuzia motisha kwa walimu za hapa na pale ndio aliharibu.

Miaka hii watoto wapo wengi wanabanana wengine wanakaa chini darasa moja watoto 200 mwalimu lazima wakushinde...tofauti na miaka yetu ya nyuma darasa lina wanafunzi 50.
 
Umeongea unwell mtupu baadhi ya mabinti wanatamani kuzaa kwa sababu kaona marafomi zake wana watoto au wadogo zake wamezaa, kwa hiyo utakuta anafata mkumbo bila kuangalia kesho yake yeye na mwanae, akishazaa tu ndiyo akili inamjia kuna malezi ya mtoto ili aishi maisha bora.
Yeah Iko hivo ...
 
Huyu LIKUD anaongea vitu kinadharia sana angekuwa field ajionee hizo shule anazozipigia upatu....yahn shule za msingi kwa hii sera ya elimu bure ndio zimeharibika sana kuanzia 2016 kurudi nyuma hapo shule za msingi za serikali zilikuwa zina afadhali...

lakini Magufuli alipoleta elimu bure kisiasa na kuzia motisha kwa walimu za hapa na pale ndio aliharibu.

Miaka hii watoto wapo wengi wanabanana wengine wanakaa chini darasa moja watoto 200 mwalimu lazima wakushinde...tofauti na miaka yetu ya nyuma darasa lina wanafunzi 50.
Na hakuna kufeli na kurudia darasa, ndio kabisaa kipaumbele cha shule zetu ni kuwa vituo vya kukuza vijana kiumri na sio kimaarifa tena.
 
Kuna wengine hata kabla hajaenda chuo,huku mtaani tayari kazalishwa. Kuna ndugu yangu alizaa na demu,sasa baba wa huyo demu akamwambia unatakiwa uende chuo maana mwaka jana hukuenda sababu za kiuchumi,hapo akaona sasa hili balaa,kumbe hakumwambia baba yake kuwa ana mtoto na alizalia kwa mama yake mdogo.
Akaona dawa ndogo tu,akamleta mtoto home kwetu,na mbali kutoka kanda ya ziwa hadi nyanda za juu kusini,alipofika alimpigia simu maza kuwa yeye ni mgeni wake. Alimleta mtoto akiwa anakaa hata kutambaa bado,akamwacha yeye huyo kwao.
Sasa mtoto amekua na sasa yupo darsa la 3,akaja kumchukua eti ooh likizo sasa nataka ndugu zangu wakamfahamu upande wa baba,kumbe ilikuwa gia ya kumchukua moja kwa moja,hadi leo hajarudi na mtoto
 
Wengi wanaanzia kula paipu za kijeshi mashambani wakiwa kwa mujibu, wakitoka hapo wanakuja kukamatwa na ma lecturer. Pigwa sana.

Halafu yakibaki makapi, kuna ndezi wanakuja kuoa na kujifanya wamepata wife material, unakuta ndezi mpaka anakopa afanye harusi itakayoacha historia pasi na kujua anaoa COPY
Duuh kwa hiyo umeamua kuwashushia bomu la atomic kabisa
 
Back
Top Bottom