Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mkiambiwa kuna wajinga wasomi,na hao ndo balaa,mnabisha. Mnawataka wasomi wenzenu. Si mara mia muuza chips mwenye kipato cha uhakika! Bora yeye atakupa hata 10k. Unalilia anaetembelea v8,kesho unabaki na mtoto asie na baba,ulowalingia wanabaki kukuchekelea tu.
 
Mkiambiwa kuna wajinga wasomi,na hao ndo balaa,mnabisha. Mnawataka wasomi wenzenu. Si mara mia muuza chips mwenye kipato cha uhakika! Bora yeye atakupa hata 10k. Unalilia anaetembelea v8,kesho unabaki na mtoto asie na baba,ulowalingia wanabaki kukuchekelea tu.
😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom