Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona Kama unanifokea Kaka yaani utafikiri nishampa mimba tayari kumbe hata simjui Mimi🙆Ukimpa mimba mtoto wangu, jua wewe au baba yako au babu yako atatunza hao viumbe. Kwangu No! Mtoto wangu wa kiume akimpa mimba binti, mjukuu na mkwe natunza
UhakikaNimemtumia Kalaga Baho Nongwa ...😂
UnayatoboajeMaisha ya chuo ukiyapatia unatoboa vizuri sana ila unaweza kurudi na kuchakaa kabisa
raraa reree unakwqma wqpi mkuu umetumiwa hadi picha ya bambi, hujiongez tuAche aambiwe tu yeye si ndo hanipi maji🥺
Oyaaa achana na hizo mbanga 😄raraa reree unakwqma wqpi mkuu umetumiwa hadi picha ya bambi, hujiongez tu
Fungua bunju bunju au tegeta kibaoni mkuu mfanyakaz nipo hapaOyaaa achana na hizo mbanga 😄
Ofisi ya spare za pikipiki tuweke wapi mjini hapa 😄
Mwenge simu 2000 hapafai 😄Fungua bunju bunju au tegeta kibaoni mkuu mfanyakaz nipo hapa
Hata huko dua tu.. muhimu kuangalia sehem ambayo boda na bajaj nyingi..Mwenge simu 2000 hapafai 😄
Sim 2000 kibiashara si rafiki sana.. although sijawah kuona mgundi wa bajaj paleMwenge simu 2000 hapafai 😄
Sio mbaya, Kameajiriwa pahala kwa sasaDuuu yani wewe
Yah bila hivyo ilikua ni Vita 😀😀😅😅😅Eti kameajiriwa 😅
😅😅😅😅Mkiambiwa kuna wajinga wasomi,na hao ndo balaa,mnabisha. Mnawataka wasomi wenzenu. Si mara mia muuza chips mwenye kipato cha uhakika! Bora yeye atakupa hata 10k. Unalilia anaetembelea v8,kesho unabaki na mtoto asie na baba,ulowalingia wanabaki kukuchekelea tu.
raraa reree ndo demu wako?! 😀😀😀Usitabgaze sasa raraa reree ataambiwa huko
Hasa na vijana viajiriwa na Mibaba ya hovyo! IFM wanaliwa kama kitu gani n mababa majitu mazima ya Postal.Chuo inadanganyaga sana wadada wakifika kule wanajionaga highly classed. Wanalaghaiwq kwq vitu vidogo vidogo sana