Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Mbivu na Mbichi za kuzalishwa ukiwa bado ni Mwanafunzi wa Chuo

Darasa letu mpk tumemaliza mwaka wa 3 tulikua na wazazi 5 including mapacha..sijui wanaendelaje kwa sasa ila wote mpk tunaanza kupotezana miaka mitatu nyuma..walikua ni masingo maza..maana wale waliowapa ujauzito walioa wengine...
Kuna somo kubwa hapo...
Chuo wanaoana ni wachache sana.
 
Darasa letu mpk tumemaliza mwaka wa 3 tulikua na wazazi 5 including mapacha..sijui wanaendelaje kwa sasa ila wote mpk tunaanza kupotezana miaka mitatu nyuma..walikua ni masingo maza..maana wale waliowapa ujauzito walioa wengine...
Kuna somo kubwa hapo...
Kujitakia 😅😅😅
 
Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasika😁
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
Si unizalie mm tulee nyamwi
 
Darasa letu mpk tumemaliza mwaka wa 3 tulikua na wazazi 5 including mapacha..sijui wanaendelaje kwa sasa ila wote mpk tunaanza kupotezana miaka mitatu nyuma..walikua ni masingo maza..maana wale waliowapa ujauzito walioa wengine...
Kuna somo kubwa hapo...
Dah!...sio poa kabisa
 
Hawa waliotoka bush na kuketwa mjina na chuo, bila chuo mji wangeliusikia tu. Hawa ndo wanadanganywa kirahisi na kujaa maana kila kitu kwao ni kipya.

Kama sio kuzaa basi wanafanya abortion hawa watoto.
Kumekuchaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom