cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Na vijana/wanaume pia.Mabinti/wanawake wengi wanaharibikia vyuoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na vijana/wanaume pia.Mabinti/wanawake wengi wanaharibikia vyuoni
Km wanaweza ku afford malezi kwa hao watoto pasipo shida, basi hakuna tatizo.Kuna wengine wanawishi kuzalishwa.. sio kama wanazalishwa kwa bahati mbaya ila tu wanataka wenyewe..
Kipindi nikiwa 4th yr nilitamani na mm nipate mtoto kwani marafiki zangu wengi walikuwa Wana mimba nawengine wamezalishwa..
Kidogo nami nilitaka kuhamasika[emoji16]
Ila nilikosa mtu WA kunitongoza...
Ila lait kama ningelipata mtu wa kunitongoza na nikamridhia huenda na mm ningezalishwa mapemaa saiv ningekuwa na watoto
N.B wale marafiki zangu waliozalishwa kipindi wapo chuo wachache wameolewa na hao hao waliowazalisha na wengine wanalea watoto wao ki mpango
wao..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziii, aaahKuna ex wangu kazalishwa mwaka jana mwishoni ilibidi mwaka huu ndio amalize chuo...sahivi yupo tu kwao kazaa kwa sababu ya rafiki yake wanaitana BF forever(hahaha) kazaa naye akazaa anataka watoto wao wawe umri sawa.
Kabla ya kuzalishwa alinambia hizo habari nikamkataa ndio akaja ni hiyo surprise.
Yeah wanaweza ..it seems kama wamejipata si haba..Km wanaweza ku afford malezi kwa hao watoto pasipo shida, basi hakuna tatizo.
Mi navyoona ke wanaongoza si mabinti wala wake za watu hata ukute umri umesogeaNa vijana/wanaume pia.
Mbona hapo iko good tyuuh!!Yeah wanaweza ..it seems kama wamejipata si haba..
Kwa mabinti au wanawake, matokeo yanaonekana mapema, ndo maana rahisi kuona hivyo.Mi navyoona ke wanaongoza si mabinti wala wake za watu hata ukute umri umesogea
Nimefundisha kwa kujitolea kuanzia 2020 mpaka 2023 ......Sio kweli
Wanaharibika niini hao wanaume? Bangi pombe umalaya wizi au ugashoKwa mabinti au wanawake, matokeo yanaonekana mapema, ndo maana rahisi kuona hivyo.
Ila vijana na wanaume ndo wanaharibikaga mazimaaa.
Cheka tena hio nimekupa na vivid example ili uelewe vizuriHahahaha... nimecheka sana 😂
Kashaanza kuzungumza usengeWanaharibika niini hao wanaume? Bangi pombe umalaya wizi au ugasho
ni hatari sana kama sasahivi kuna waliobaki kusubiri kurudia mitihani waliyofeli.. wanajifungia ndani mchana kutwa usiku wanauza utumbo ni kama kuna mdudu vichwani mwao wallahLabda waliambiwa ni ufahari
Maana nachojua wanaume wanajua kuhimili tabu katika harakati za kujitafuta,Kashaanza kuzungumza usenge
Huyo mlengo wa kushoto lazima azungumzie usengeMaana nachojua wanaume wanajua kuhimili tabu katika harakati za kujitafuta,
Wrong heading haya maneno ndio yanayowafanya dada zetu/wadogo zetu/mama wadogo zetu wanajisikia vibaya sana wakijifungua kutokana na heading km hizi kuzalishwa,mpe heshima mzazi at least call it kujifungua mfanye anaemleta kiumbe hai nae aone thamani ya kujifungua msimfanye km hastahili kuishi dunia hii.Katika hali isiyokuwa ya kawaida wanafunzi wengi kuanzia kidato cha tano na Sita wanadhani Maisha ya Chuo ni ya Starehe sana bila kujua undani wake.
Baadhi ya wanafunzi huenda Chuo wakiwa na matumaini makubwa sana ya kutimiza ndoto zao.
Lakini Ndoto hizo hukwamishwa na vitu vingi hasa kwa wale wenye tamaa na pupa.
Kwa kuanza na watoto wa kike ambao huwaona dada zao wamemaliza Chuo na kurudi nyumbani na watoto hutamani na wao wafanye hivyo bila kujua madhara yake.
Mara nyingi wanapoanza Mwaka wa Kwanza huwa ni wanafunzi wapole na watiifu.
Lakini baada ya Muda kidogo makundi hujigawa na kuanza kuonyesha tabia zao halisi.
Mara mtoto wa kike anajikuta amenasa mimba kutoka kwa mtu asiyemtarajia, anaishi na mimba kwa kumficha mzazi wake hadi anajifungua.
Changamoto katika hilo huanza pale atakapokosa matunzo kutoka kwa mhusika aliyekutana nae Chuo.
Kiwango cha masomo kinashuka, maisha huanza kuwa magumu na badala ya kuzingatia masomo na kutafuta fursa za ajira unazingatia malezi malezi zaidi.
Wazazi wanashindwa kupata kile walichokitarajia kutoka kwa mtoto wao kutokana hizo changamoto anazokumbana nazo.
Mnachopaswa kukifahamu watoto wa Chuo hao watu mnaokutana nao Chuo tayari walishadanganya wanafunzi wengi waliopita hapo.
Mnapaswa kukumbuka kuwa nyie sio wa kwanza. Umakini unapaswa kuchukuliwa mapema zaidi.
Maisha ya Chuo ni kusoma na kutafuta Fursa na sio kulea watoto.
Ingawa kuna wachache waliofanikiwa baada ya kupambana sana.
SawaWrong heading haya maneno ndio yanayowafanya dada zetu/wadogo zetu/mama wadogo zetu wanajisikia vibaya sana wakijifungua kutokana na heading km hizi kuzalishwa,mpe heshima mzazi at least call it kujifungua mfanye anaemleta kiumbe hai nae aone thamani ya kujifungua msimfanye km hastahili kuishi dunia hii.