๐คฃ๐คฃ ๐Mi sipendi NYANYACHUNGU ila sijasema kuwa harufu yake kichwa kinaniuma....
Wewe naona unataka ugomvi si bure nakuona tuu ๐ ๐ ๐ ๐ ๐
Hayo mahindi kama korosho za kuchoma kwenye karai
Ety analeta habari za kisamvu cha kopo seriously huyu antiel ana mambo hovyo ๐๐๐๐๐๐Huyu jamaa ni WA hovyo ๐๐๐
Acha mambo ya kiwaki, unaijua mchicha , kisanvu, chainizi kavu kavu geto na ugali wa sembe acha Dona ni noooma!, kaulize moro ndo misosi yetu1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
huwa natengeneza picha mbaya sana akilini mwangu likija swala la mvutiko wa mlendaMlenda mboga nzuri sana ikiandaliwa katika mazingira safi ( unakula bila kinyaa).
Mchicha+ nyama au samaki na ugali, fresh kabisa.
Chinese cabbage ( sijui sukumawiki) sipendelei
Brain rot ๐ฎUngekuwa ke ningesema utakuwa unateleza balaa lkn kwa sababu me sijui nisemeje FaizaFoxy asaidie kiswahili!
Tuache tuanaojua umuhimu wa hizo mboga1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Mwachiluwi kumbe waga UNACHAMBUA mbogaah?Kisamvu sipendi na mkalifya no mgagani hapa na kuna mboga iringa wanasema ukichambua kama mkono wako mbaya inakuwa chung siipendi
Chezea nini we kuweza ๐๐๐๐๐๐๐๐๐