BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Unabetua kizibo kwa kutumia KICHWA.Hivi huwa kinafunguliwaje kutoka kwenye kopo kuna mlaji anaulizia huku? 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unabetua kizibo kwa kutumia KICHWA.Hivi huwa kinafunguliwaje kutoka kwenye kopo kuna mlaji anaulizia huku? 🤣
Hakuna chakula kibaya ni mapishi tu, hata cabbage kuna wanaojua kuipika vizuri.Kazowea vya kurowekwa!
kuna siku niliona video watu wanachinja kabechi kama kuku, vipi mkuu wewe ni mdau wa kabechi..?1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Jaribu mlenda uliowekwa uduvi au nguru na nyanyachungu tumia za uchungu Sio baridiMlenda sijawahi kuuula
Kisamvu nishawahi ni kibaya sana
Sisi wenyewe tunakushangaa pia.Bila sukari sinywi, nashangaaga watu wanakulaje mtindi na ugali.
Kweli wanadamu hatufanani, rosti la dagaa wa Mwanza mixer nyanya chungu nakula mpaka basi yaani aiseeMi mwanamke akija nipikia NYANYACHUNGU namuacha hapo hapo kudadake
Una wazimu wewe....😂😂😂😂Kweli wanadamu hatufanani, rosti la dagaa wa Mwanza mixer nyanya chungu nakula mpaka basi yaani aisee
Hujui kupika au mpishi wako hajui1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda
Kweli wanadamu hatufanani, rosti la dagaa wa Mwanza mixer nyanya chungu nakula mpaka basi yaani aisee
Hapana mkuu yawezekana ni poor brain 😂😂😂Una wazimu wewe....😂😂😂😂
Au ndo usingizi 😂😂
Una matatizo ya akili wewe...Hapana mkuu yawezekana ni poor brain 😂😂😂
Mkuu mtu kujiita poor brain ni moja ya dalili ya matatizo ya akili, na watu wenye matatizo ya akili wengi hudhani kila kitu kinaenda kwa ugomvi na kwa kupangia watu maamuzi yao, Milembe pale mkuu jaribu kuanza kwenda kuchunguliaUna matatizo ya akili wewe...
Kuna vitu ukipenda usije jitangaza hadharani kwa watu utapigwa 😂😂😂
Unataka kutetea NYANYACHUNGU au unataka kuanzisha ligi mkuu..Mkuu mtu kujiita poor brain ni moja ya dalili ya matatizo ya akili, na watu wenye matatizo ya akili wengi hudhani kila kitu kinaenda kwa ugomvi na kwa kupangia watu maamuzi yao, Milembe pale mkuu jaribu kuanza kwenda kuchungulia
🤣🤣🤣🤣🤣 Basi tushangaaneSisi wenyewe tunakushangaa pia.
Ndio
Hapana.sio kitamu km carrots. Chenyewe kinawashawasha kdgAnhaa daah kweli nilikuwa mgeni wa hii mboga, hicho kiazi ni kitamu Angel?
Khaaaaaaa. Mie majugu mawe yamenishinda.Aiseee umesema njugu mawe mate yamenitoka ...
Aiseee napenda njugu mawe mimi hatareere na nusu hasa watie nazi alafu ziwe na mchuzi mzito kama futari ila ni mboga aiseee hapo utaniuwa kabisa