Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mimi kabichi hata isipoungwa naipenda sana.
Ikichemshwa na chumvi kwa mbaliii shawabashh!
Naipenda sana tangu Utoto wangu hadi nitakapokuwa mzee sana.
Ndo hivo unachpenda wengine hawapendi
 
😂 Wewe ungekua unakaa na mimi ungekua ushaniua. Nyanyachungu na jamii yake nazipenda kama napika nyama, samaki au dagaa napenda kuchanganya.


Hata mimi home kila tunapopika mboga ya mchuzi (kitoweo) kuweka ngogwe au bilinganya ni lazima.
Yani ni kanuni ya msingi kabisa.
Vinginevyo nyama au samaki inakuwa imepwaya kidogo bila nyanyachungu ? Wala bilinganya laini ?
Mmnh hapana aisee.
Yaani hiyo iko inherited from one generation to another.
 
Hakuna chakula kibaya ni mapishi tu, hata cabbage kuna wanaojua kuipika vizuri.
Mimi sijui kuipika na wala sijisumbui kuinununua ila huwa naikuta mahali imepikwa nakula nafurahia.


Ni kweli kabisa,
Kabichi unakuta imepikwa vizuri ukila utasema labda imepikwa pamoja na nyama Pengine nyama ziko chini ya bakuli utazikuta kumbe waaapiiii 🤣🤣🤣
Kabichi mimi hata isiwekwe nyanya wala kitunguu ichemshwe yenyewe kama ilivyo na chumvi kwa mbaliii bila mafuta wala nazi shaabashhh!
Napenda sana.
Iwe kwa ugali au wali ! Twende kazi au viazi na mhogo!
 
Hata mimi home kila tunapopika mboga ya mchuzi (kitoweo) kuweka ngogwe au bilinganya ni lazima.
Yani ni kanuni ya msingi kabisa.
Vinginevyo nyama au samaki inakuwa imepwaya kidogo bila nyanyachungu ? Wala bilinganya laini ?
Mmnh hapana aisee.
Yaani hiyo iko inherited from one generation to another.
Tungekua tunakaa pamoja tungewezana sana.
 
Labda dagaa wa kigoma ndo wazuri sio wa mwanza ukila Kila mtu anajua
Hata dagaa wa zanzibar wazuri sana.
Zanzibar kuna watu wametajirika kwa hio biashara ya dagaa maana walikuwa wanasafirisha mpk nchi za nje
 
Ni nzuri??

I
Nzuri mno. Lkn kwa wewe usopenda mboga za majani sijui km utazipenda.
Mfano wake km utafune spinach bila kupikwa.
Mie hupenda kula kwa kuku au nyama za kuchoma. Km upo on diet ndio nzuri maana unashiba kwa kula majani tu
 
Nzuri mno. Lkn kwa wewe usopenda mboga za majani sijui km utazipenda.
Mfano wake km utafune spinach bila kupikwa.
Mie hupenda kula kwa kuku au nyama za kuchoma. Km upo on diet ndio nzuri maana unashiba kwa kula majani tu
Inaonekana mpishi mzuri sana angel
Nzuri mno. Lkn kwa wewe usopenda mboga za majani sijui km utazipenda.
Mfano wake km utafune spinach bila kupikwa.
Mie hupenda kula kwa kuku au nyama za kuchoma. Km upo on diet ndio nzuri maana unashiba kwa kula majani tu
 
Sasa na sisi wa kipato cha Dolar moja itakuwaje?? Maana ndo chakula affordable
Mboga zipo nyingi mbona.
Chinese ilitumika kufifisha nyege kwa wachina ili wasizaane😂 ila bongo mnaona ndio mboga ya kufakamia kibwege.
Ni kweli kabisa hii, kuna wanaume hawagusi hii kabisa, mzee wetu nilikuaga sielew kwanini alikua hali hii mboga nimekuja kujua badae.
😂Biringanya ❌ bomoa
😂Ndizi napenda mzuzu tu zingine ❌
😂Cabbage ❌
😂Dagaa inategemea na upishi, mpishi akiwa na CPA nakula zote kasoro kigoma zile kama vijiti vya ngubiti hapana.
😂Mboga za majani kwangu ni tembele, majani maboga, spinach OG, mnavu.✅
😂Nyanya chungu ❌
😂Maharage ila usiunge na chochote zaidi ya kitunguu maji✅
😂Macaroni au noodles ❌
😂Dengu❌
😂Kuna maharage flani ya gololi yakipikwa yanakuwa kama mahindi ya kande nimesahau jina lake.❌
😂Mlenda❌ naona kama nakula denda la ng'ombe
Vijiti vya nini😂😂
 
Kuna watu wanakula ugali na maziwa mtindii mnawezaje....??

Hata mimi siajwahi kuwaelewa.
Naona vyote vimepoa kama kula mkate na uji kama Yaani naonaga test less!
Nipe ugali na mboga nikimaliza kula ndipo nishushie Mtindi wa asili.
Hata kula wali na ndizi mbivu siwezagi tangu nikiwa mdogo.
Nipe wali na mboga nile nikimaliza ndipo nitakupa ndizi yangu mbivu vizuri sana.
Sababu ndizi ina sukari sasa radha ya sukari na wali kwa samaki papa wapiwapi ?!
Total nonsense!
 
Back
Top Bottom