Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Mboga nisizopenda katika maisha yangu

Usipokula chakula kama dawa utakula dawa kama chakula

Asubuhi kula kama Mfalme, mchana kama mwanamfalme, usiku kama ombaomba

Robo 2 ya tumbo weka chakula, robo 1 weka maji, robo 1 nyingine bakisha hewa

Hakuna chakula kibaya duniani, wabaya ni wapishi na mapishi yao

Tunakula ili TUISHI, hatuli ili kufurahisha nafsi zetu, au kufurahia ladha au hisia

Mojawapo ya vitu ambavyo vitakuelezea juu ya haiba ya mtu, ni jinsi anavyokula, aina za vyakula anavyokula, na jinsi anavyokichukulia chakula


Katika maakuli hizo ni kanuni za muhimu sana
 
Mimi hakuna mboga sili ukitoa "mkalifya"(kule iringa ndio inavyoiitwa. Ni chungu sana).
Mboga zingine zoote nakula.
Sema ambacho sikipendelei ni utaratibu wa kula ugali au wali na mboga nyingi tofauti tofauti.
Kwangu mboga zisizidi 3 mfano ugali nyama, vegetables na maharage.
 
Usipokula chakula kama dawa utakula dawa kama chakula

Asubuhi kula kama Mfalme, mchana kama mwanamfalme, usiku kama ombaomba

Robo 2 ya tumbo weka chakula, robo 1 weka maji, robo 1 nyingine bakisha hewa

Hakuna chakula kibaya duniani, wabaya ni wapishi na mapishi yao


Katika maakuli hizo ni kanuni za muhimu sana
Naichukua hii!!....
 
Mimi njugu mawe hata ile harufu yake sipatani nayo.
Nimejaribu kula vyakula vyote ambavyo nilivokuwa mdogo vilikuwa vinanishinda...vote nimeviweza kasoro njugu mawe. Yaani mie nyumbani kwangu sijawahi kuzipika ht Kwa bahati mbaya
Umewahi jaribu choroko?
 
We mwenyewe mjinga kutukana hovyohovyo
Tangu lini nyie broiler mliokuzwa na pizza zilizopikia nyama za kusaga ambazo zimekaa kwenye jokofu mwezi mzima mkawa na akili timamu?

Kipimo sahihi ya kuonesha ujinga wenu, huwa hamjui muongee nini, na wakati gani na mapekeo ya watu kwa kile mlichokiongea yatakuwaje... Hamna ubongo wa kuwaza nyie zaidi ya kucheza PS na kula burger.
 
Back
Top Bottom