Peleka stress zako huko mamaeeπTangu lini nyie broiler mliokuzwa na pizza zilizopikia nyama za kusaga ambazo zimekaa kwenye jokofu mwezi mzima mkawa na akili timamu?
Kipimo sahihi ya kuonesha ujinga wenu, huwa hamjui muongee nini, na wakati gani na mapekeo ya watu kwa kile mlichokiongea yatakuwaje... Hamna ubongo wa kuwaza nyie zaidi ya kucheza gama la PS na kula burger.
Una matatizo ya akili si bureTangu lini nyie broiler mliokuzwa na pizza zilizopikia nyama za kusaga ambazo zimekaa kwenye jokofu mwezi mzima mkawa na akili timamu?
Kipimo sahihi ya kuonesha ujinga wenu, huwa hamjui muongee nini, na wakati gani na mapekeo ya watu kwa kile mlichokiongea yatakuwaje... Hamna ubongo wa kuwaza nyie zaidi ya kucheza PS na kula burger.
Naam. Alhamdulillah kwa hilo.Inaonekana mpishi mzuri sana angel
Na kikuku cha kienyeji kdgIla mostly napenda sana sana sana sana sana Ugali na mchuzi kama uliopo kwenye aviator yangu .
Sasa ule ugali unaukata kata unaudumbukiza kwenye mchuzi unakuwa kama nyama .
Tamu zaidi ya kumwaga *****.
Mkuu kisamvu umekiona hapo!? Utamu wake balaaMimi sipendi
Cabbage π₯¬
Speenach na mwenzie yule chiinese
Nyanya chungu
Kisamvu
Ahhh choroko nazipenda na mapishi yake yoteee πππUmewahi jaribu choroko?
Dagaaa
Cabbage
Mnafu
Mnaokula hizo mboga mna mioyo migumu sana
Nikikumbuka nlishawahi kula naishiwa nguvu kabisaHakuna mtu ana dhambi kama aliegundua kuwa cabbage ni mboga
Naona kama ladha yake haiko mbali sana na ile ya njugu mawe.Ahhh choroko nazipenda na mapishi yake yoteee πππ
Ni mboga tena ni bibi π€£π€£π€£π€£Siwez ishi bila mlenda aisee
Kinapendeza chef,..Mkuu kisamvu umekiona hapo!? Utamu wake balaa
Sio sn. Choroko ladha yake inafanana na dengu na hadesi km ushawahi kulaNaona kama ladha yake haiko mbali sana na ile ya njugu mawe.
Ni tamu balaaNa kikuku cha kienyeji kdg
Mimi daaga za Mwanza na Kigoma, yaani wala sioni uzuri wake......mboga gani unakula unachomwa na miba tu?1.Mchicha. 2.Mlenda. 3.Kisamvu. 4.Dagaa wa mwanza. 5.Chinese. Hizi mboga sizielewi sijui kwa nini watu wanazipenda