Mboga zangu 5 simple nizipendazo kulia chakula (hasa ugali) na Jinsi ninavyoziandaa

nmekwelewa sana mkuu. japo haya mayai ya kisasa yana madawa sana asee mm siyapendi. nkimaliza kusoma hii thread nategemea nitaanza kupenda kupika mana spend kupika asee.!!
pika mkuu kama una vitendea kazi vyote mkuu pika,kama hupiki

nakuhakikishia afya uliyonayo si yako,pika hebu halafu utaona.
 
hv karibun nahis ntaanza kupika mana kila cafe nnayohamia naona wanapika hovyo hovyo mno asee. afu unakuta veges waanakuwekea kakijiko kamoja dadeq
fungua macho unapoenda kula mahali tena fungua macho zaidi unapochota mboga Ipo siku utaona kitu na itakua ndio mwisho wako wakula huko.
 
ni nini kumbe?

nijibu kama mtanzania tafadhali...

Sosi la/ya mayai au dagaa ni kitoweo.

Mtindi ni maziwa yaliyochachushwa na bakteria yanayotumika kama kinywaji au kitoweo.

Nasisitiza mtindi, dagaa na mayai sio mboga.
 
Hahaha eti zoezi kali,
Nakumbuka nilipika pilau langu la kwanza nikiwa na miaka 13, nilipika pilau la njegere, ilikua kama utani vile nikatoa kitu kila mtu hakuamini, naikumbuka ile ladha hadi leo.
 
Mkuu usiombe ukutane na anayejua kupika maini,yatakuwa your new fav side dish tena km jioni upate na ndizi mzuzu fried au chips na fresh juice.....aah usiku unalala tu
ni muda sana nilikua nayala kila asubuhi kwenye cafe naletewa na chapati mbili daah yalikua mazuri sana ila baada ya kuondoka ule mkoa sikuwahi pata fundi wakujua yapika kama vile,nili jarbu sehemu tofaut ila bado nikawa nakuta yanapkwa hovyooo basi ukawa mwisho na hadi na leo siya miss hata.
 
Hii ya yai nilikuwa sana nikiwa mwanafunzi. Ukikaanga vitunguu, hoho na nyanya acha viive kidogo. Unavunjia mayai mawili au matatu na kuyaacha kwanza. Yakiiva una Ona kabisa cheupe na njano wala havionekani kama uchafu.
nakulaga sana tena kwa maelezo hayo hayo uliyotoa pembeni na glass yangu ya mtindi aaah safi kbsa
 
Mkuu wewe ni JINSIA gani kwanza?
 
[QUOTE="Freema Agyeman, post: 36903590, member: 38427"
Dagaa, mtindi na mayai si mboga.

nieleweshe basi ni nini mkuu nielewe
[/QUOTE]

Pitia post #106 hapo juu.

Kutokula mboga za kutosha huathiri macho na kuona.

📌Dagaa, mtindi na mayai si mboga 📌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…