Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kiligi?Ntanyonya.Ipo siku nitakunyonyesha dudu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiligi?Ntanyonya.Ipo siku nitakunyonyesha dudu yangu.
Acha kujichetua. Nitakunyesha duduKiligi?Ntanyonya.
Wenzio wanakua akili weye unakua matako.Acha upuuzi.Unafaa ukae ignored muda wote.Acha kujichetua. Nitakunyesha dudu
Tulia uje unyonye dudu banaWenzio wanakua akili weye unakua matako.Acha upuuzi.Unafaa ukae ignored muda wote.
Uwekezaji alioufanya Singida Big Stars na mabasi ya Esther amekopa wapi atueleze au amejichotea hazina?Haeleki kabisaView attachment 2443196
Na nyie msiwe mnakariri kwa sababu ulisoma darasani. Kwanza kwanini hamkuuliza mkanganyiko huo mkiwa darasani, au ndio kumeza kila kitu ili ufaulu?Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.
National debt= public debt + private companies' debts.
Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Mwigulu atwambie kwa hiyo ina maana sekta binafsi zimeanza kukopa kipindi hiki tu yeye akiwa Waziri wa Fedha?Haeleki kabisaView attachment 2443196
kwamba mpangaji anakopa kwa dhamana ya mwenye nyumba😃😃 kweli kibongobongo tunanenepa kutokana na sarakasi kama hizi sio kwamba tuna maishaMfano wangu unaeleweka acha ligi!! Hitimisho la hapo ni kwamba kila mtu atalipa deni linalomuhusu bila kujali jumla iliyojumlishwa kwa wote
Ehe hii trend inafikirisha kwa kweli halafu samia anasema tuipende Nchi hata kama hatumpendi yeyeHapana nadhani Mwigulu kakosea katika kuelezea Uma nimeangalia trend ya hili deni la sector binafsi kuanzia mwaka 2015.
Kipindi cha jk lilikua kama 2 billions usd,
Kipindi cha jpm hili deni lilikua about 4 billions usd. Ila kuanzia mwaka 2021 hili deni limeongezeka kutoka 4 mpka 7 billion usd.
Ongezeko la hzo billion 3 usd kipindi cha Samia nazani ndio juzi juzi ambayo Mwigulu anaongelea.
Hizo billion tatu imekuaje ziongezeke faster hivo kipindi cha Samia? kuna wengine watakwambia sera za Samia zinachochea biashara na uwekezaji kuliko za Magu. Wengine watakwambia kuna warambaji wanaramba asali.
Wamekunyima buku saba huko mbona unaweweseka sanaHaeleki kabisaView attachment 2443196