Jamani, kwanini hamvutiwi kuzifahamu hizo sekta binafsi zinazokopa nje na kudhaminiwa na serikali? Bila kusahau wamiliki wake!
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bas kina new ton waeleweshwehapana deni la taifa lina jumlisha serikali na sector binafsi hata uzalishaji unaangaliwa hivyo pia ni kanuni za uchumi na hii ni topic ndogo kwenye uchumi yuko sahihi mheshimiwa
Swali ni kuwa wapangaji wakishindwa kulipa, nani analipa?Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )
Hapana nadhani Mwigulu kakosea katika kuelezea Uma nimeangalia trend ya hili deni la sector binafsi kuanzia mwaka 2015.Mwaka mmoja tu sekta binafsi imekopa trilioni 20, is it true. Yani spidi ya sekta binafsi kukopa inaizidi serikali?. Aisee
Hapana nadhani Mwigulu kakosea katika kuelezea Uma nimeangalia trend ya hili deni la sector binafsi kuanzia mwaka 2015.Mwaka mmoja tu sekta binafsi imekopa trilioni 20, is it true. Yani spidi ya sekta binafsi kukopa inaizidi serikali?. Aisee
External debt ndio trilioni 46 ila kuna hizo trilion 26 hapo chini ni deni la ndani total kama trilioni 72 hiviKw
Kwa hivyo deni la serikali ni Trilioni 46 tu?.
Ni deni la taifa kwa sababu lina impact kwa taifa.Sasa kama wanalipa wao kwann inaitwa deni la taifa, ivi wewe ukimdhamini mtu ameenda kukopa wewe ndo u adaiwa au yeye ndo anadaiwa?
Kwanini ijumlishwe kwenye deni la taifa?
Deni la mwenye nyumba linajumlishwa na la mpangaji? Wakati kila mtu ana deni lake?
Huyo mpangaji alikopa kama Nani wakati nyumba si yake?.. Ni Nani aliruhusu kama sio mwenye nyumba?Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )
. Maana yake - to a higher extent - sector binafsi inakua kwa kasi.Hapana nadhani Mwigulu kakosea katika kuelezea Uma nimeangalia trend ya hili deni la sector binafsi kuanzia mwaka 2015.
Kipindi cha jk lilikua kama 2 billions usd,
Kipindi cha jpm hili deni lilikua about 4 billions usd. Ila kuanzia mwaka 2021 hili deni limeongezeka kutoka 4 mpka 7 billion usd.
Ongezeko la hzo billion 3 usd kipindi cha Samia nazani ndio juzi juzi ambayo Mwigulu anaongelea.
Hizo billion tatu imekuaje ziongezeke faster hivo kipindi cha Samia? kuna wengine watakwambia sera za Samia zinachochea biashara na uwekezaji kuliko za Magu. Wengine watakwambia kuna warambaji wanaramba asali.
Uwe unasoma reports za benki kuu. Hii nchini yako, ifuatilie.Haeleki kabisaView attachment 2443196
He he heMkibanwa sana mtakuja na formula za uchumi utadhani deni la Taifa limeanzia kwa Mama enu.
Wawekezaji uchwara mf Barrick nk, huja na briefcase hawana hata 100 ya mtaji.Huyo mpangaji alikopa kama Nani wakati nyumba si yake?.. Ni Nani aliruhusu kama sio mwenye nyumba?
Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
Unapoteza muda kumuelewesha punda huyo.Hanaga anachojua zaidi ya kula mabua na kubeba mizigo.Hachoki.Haeleweki kivipi ? Haujui ya kua kuna private sector wanakopeshwa na banks na tahasisi tofauti nje ya Nchi masharti ni kwamba serikali inawadhamini, madeni wanalipa hao waliokopeshwa
Swali la kifala sana.Mtihani wa darasa la pili ulifaulu kweli?Na mkono uliweza kushika sikio?Au unaweza kushika ukuta tu?Haeleki kabisaView attachment 2443196
Ipo siku nitakunyonyesha dudu yangu.Swali la kifala sana.Mtihani wa darasa la pili ulifaulu kweli?Na mkono uliweza kushika sikio?Au unaweza kushika ukuta tu?