Mbona Dkt. Mwigulu haeleweki? Yaaani madeni ya sekta binafsi ni ya Serikali? Mmemuelewa Watanzania?

Mbona Dkt. Mwigulu haeleweki? Yaaani madeni ya sekta binafsi ni ya Serikali? Mmemuelewa Watanzania?

Attachments

  • IMG-20221211-WA0142.jpg
    IMG-20221211-WA0142.jpg
    41.4 KB · Views: 5
Vitu vingine huwa simuelewagi huyu waziri lakini kwa hili nimemuelewa ingawa mm sio mchumi..
 
Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.

National debt= public debt + private companies' debts.

Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Wewe ulikariri

Dhamana ndio mpango mzima
 
Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )
Kwanini Asiseme DENI la Serikali ni Tri. 71 na Deni la Sekta binafsi ni Tril.20 kuliko kusema Deni la Serikali ni Tril.91 wakati Serikali atalipa lake na Sekta binafsi itakipa lake
 
Hapa kuna maswali ya kujiuliza.

Hayo makampuni ni yapi?

Na je, yamewekewa dhamana na serikalli?

Kama ndio, kwanini makampuni binafsi yakopeshwa kwa kudhaminiwa na serikali?

Kama CAG hakagui hesabu za mashirika binafsi, inakuwaje deni la makampuni binafsi kuingizwa kwenye deni la Taifa?

Je, huu ni utaratibu mpya au ulikuwepo tangu zamani?
Hao wanatuchanganya tu tatizo na bungeni hatuna watu makini huyu ilikua anapigwa maswali mpaka anaeleza ukweli.
 
Haeleweki kivipi ? Haujui ya kua kuna private sector wanakopeshwa na banks na tahasisi tofauti nje ya Nchi masharti ni kwamba serikali inawadhamini, madeni wanalipa hao waliokopeshwa
Sasa inakuaje deni ni la serikali
 
Mbona mimi nimemuelewa!...Yaani mfano mzuri ni huu let say deni la nyumba x=Sh 15 mpangaji namba 1 sh 5,mpangaji namba 2 ni sh 10,kila mpangaji atalipa deni linalomuhusu mwenyewe bila ya kujumlisha deni la mwenzie yaani ndio kama hivyo Serikali italipa deni lake na sekta binafsi italipa deni lake kwahiyo jumla ndio deni la taifa(deni la nchi ya Tz )
Kwahiyo vile alivyokuwa anasema nchi itapigwa mnada kutokana na madeni alikuwa anamaanisha madeni ya Sector binafsi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.

National debt= public debt + private companies' debts.

Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Wasomi njaa pumbavu ndio maana mnaishia kuajiriwa mnalipwa milion 1 umasikini uumewajaa.

Endelea kukariri hivyo vitini vya nyambari
 
Hapa kuna maswali ya kujiuliza.

Hayo makampuni ni yapi?

Na je, yamewekewa dhamana na serikalli?

Kama ndio, kwanini makampuni binafsi yakopeshwa kwa kudhaminiwa na serikali?

Kama CAG hakagui hesabu za mashirika binafsi, inakuwaje deni la makampuni binafsi kuingizwa kwenye deni la Taifa?

Je, huu ni utaratibu mpya au ulikuwepo tangu zamani?
Baada ya muda mrefu sasa umekuha na mswali ambayo ya jadilika kimantiki. Heko kwako.
 
Mimi, kwa mara ya kwanza, naomba nimshukuru kwa kutoa ufafanuzi huo, hii igalao inatoa mwanga kidogo kuliko tuliyozoea ya gizani.

Ningeshukuru ufafanuzi wake ungeeleza pia inakuwaje kukopa kwa sekta binafsi, madeni hayo yanajumuishwa kwenye deni la taifa; bila shaka ni kutokana na 'guarantee' inayotolewa na serikali kwa sekta hiyo?

Pili, yeye kama waziri, na pia mtaalam wa mambo haya, siyo sahihi kabisa kuleta taarifa isiyokuwa kamili.
Rough Estimate" ndio kitu gani katika maswala kama haya.

Tatu, kutokana na udhaifu mkubwa uliopo huko serikalini, siyo jambo la kushangaza kabisa waTanzania wakawa ndio wanaobebeshwa kulipa baadhi ya hayo madeni ya sekta binafsi. Hili ninalo wasiwasi mkubwa kutokana na watawala tulionao sasa hivi.
 
Haeleweki kivipi ? Haujui ya kua kuna private sector wanakopeshwa na banks na tahasisi tofauti nje ya Nchi masharti ni kwamba serikali inawadhamini, madeni wanalipa hao waliokopeshwa
Sasa kama wanalipa wao kwann inaitwa deni la taifa, ivi wewe ukimdhamini mtu ameenda kukopa wewe ndo u adaiwa au yeye ndo anadaiwa?

Kwanini ijumlishwe kwenye deni la taifa?
 
Back
Top Bottom