mika micah
Senior Member
- Dec 25, 2015
- 183
- 277
Kuna report huwa zinatolewa kila mwenzi na Bank kuu ukiwa unazipitia pitia utaelewa. Hizo habari za twitter na jf zimekaa ki propaganda sanaHaeleki kabisaView attachment 2443196
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna report huwa zinatolewa kila mwenzi na Bank kuu ukiwa unazipitia pitia utaelewa. Hizo habari za twitter na jf zimekaa ki propaganda sanaHaeleki kabisaView attachment 2443196
NaMkibanwa sana mtakuja na formula za uchumi utadhani deni la Taifa limeanzia kwa Mama enu.
Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.
National debt= public debt + private companies' debts.
Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Taifa ni serikali pamoja na watu wake. Ikitokea hata wewe umeenda kukopa nje ya nchi na ukadhaminiwa na serikali ilo litakua deni la taifa maana umekopa na kuwekeza ndani ya taifa lakoDeni la mwenye nyumba linajumlishwa na la mpangaji? Wakati kila mtu ana deni lake?
Serikali ya ma🐄 kuilewa ni vigumu sana. Hata wao hawajielewi, ni kama bado wanaandaa script hata kushoot movie badooo.Haeleki kabisaView attachment 2443196
🤣🤣🤣🤣Madeni ya makampuni yaliosajiriwa Tanzania yenye kudai serikaliHaeleki kabisaView attachment 2443196
Kasome uchumi, ujinga wako usiwe mzigo kwa wengine. Shule mkimbie halahu msumbue wenzenu? ShwaniHapa kuna maswali ya kujiuliza.
Hayo makampuni ni yapi?
Na je, yamewekewa dhamana na serikalli?
Kama ndio, kwanini makampuni binafsi yakopeshwa kwa kudhaminiwa na serikali?
Kama CAG hakagui hesabu za mashirika binafsi, inakuwaje deni la makampuni binafsi kuingizwa kwenye deni la Taifa?
Je, huu ni utaratibu mpya au ulikuwepo tangu zamani?
Wewe ndio hujui boss, go educate yourselfKasome uchumi, ujinga wako usiwe mzigo kwa wengine. Shule mkimbie halahu msumbue wenzenu? Shwani
Sikubali kama ni yeye waziri hawezi kupiga xode mixing na switching wakati wanakitengo cha habari na mawasiliano kwa uma 🗑 🚮Haeleki kabisaView attachment 2443196
Mimi nijuavyo, mfano deni la taifa la marekani liko trilion 15 usd, unaweza kuta mifuko ya jamii inadai 30% ya deni hilo,,Duh aisee yako mengi siyajui kumbe...sasa nauliza wenyewe wakikopa wanaweka nini bondi au ndo vitu walivyowekeza?ebu wataalam wa masuala ya uchumi tutoeni tongotongo
Deni hulipwa continuously, na mikopo vilevile huchukuliwa kwa mwendelezo piaKuna report huwa zinatolewa kila mwenzi na Bank kuu ukiwa unazipitia pitia utaelewa. Hizo habari za twitter na jf zimekaa ki propaganda sana
Umefunguka sana mengi..no dewji baadhi waliobeba..honestly speaking maraia wameamua kutunyonyoa na tutalia na kusaga meno maana mapanya yalifungiwa kwa mda mrefu..tutamkumbuka mwendazakeMimi mfano wako siukubali. Twende taratibu. Mr. & Mrs. X wamekopa millioni mia nane benki kujenga nyumba za kupangisha. Wamewapangisha watu 20, na katika hao tuseme wote hawajalipa kodi ya miezi miwili na wanadaiwa millioni 6. Deni la millioni 6 ni la wapangaji wanaodaiwa na mwenye nyumba. Hili deni haliwezi kuongezwa katika deni la mwenye nyumba alilokopa benki. Ila linaweza kuongeza deni kama mwenye nyumba atashindwa kulipa pesa aliyotakiwa kulipa benki mwezi huo, na benki ikampiga faini ya 0.9% ya pesa aliyotakiwa kulipa.
Mikopo binafsi nayo iko kama nilivyoeleza juu. Kuna wakati, serkali inaweza kupata mikopo kutekeleza miradi fulani katika nchi. Hii miradi mara nyingi inatekelezwa na sekta binafsi (na mashirika ya umma). Mwisho wa siku sekata binafsi hutakiwa kuilipa serkali na serkali kulipa huko ilikokopa. Nakumbuka katika miaka ya 80/90 serkali ilipata pesa nyingi toka (nadhani) benki ya dunia kufufua zao la mkonge. Hiyo pesa ilipewa sekta binafsi ili kufufua kilimo cha mkonge. Hiyo mikopo ilichukuliwa, wakapewa mashamba mkonge, lakini badala ya kufufua hicho kilimo hiyo fedha yote iliingizwa kwenye shughuli nyingine. Tena hiyo pesa walipewa kama foreignm currency credit facility. Wahindi wengi waliipokea hii pesa na wengine walikimbilia Cana/Uingereza na wengine hadi leo wako TZ na ni mabillionea na hiyo pesa hawakulipa.
Pesa kama hiyo hapo juu ni mkopo wa serkali hata kama mtumiaji ni mtu binafsi na huwezi ukajumlisha hela waliopewa sekata binafsi kama mkpo unaojitegemea.
TRAT na TRABHaeleki kabisaView attachment 2443196
Sisi tunataka hicho? Deni la serikali ni sh ngapi?Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.
National debt= public debt + private companies' debts.
Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.