econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mkuu Kama shule ilikupiga kusho huwezi elewa chochote. Hii ni lecture ya mwaka wa pili wanaodoma B.A economics au finance.
National debt= public debt + private companies' debts.
Hivyo alichosema mwigulu ndoshule yenyewe.
Na bado mtapiga hesabu hadi za pato ghafi kama Pole Pole enzi za shutuma ya ya upotevu wa 1.5 Trilioni. Yani Sekta binafsi inakopa nje fedha karibia ya serikali?