Mbona Govt salary zinaingia zimepigwa panga bila maelezo ya kutosha kunani jamani

Mbona Govt salary zinaingia zimepigwa panga bila maelezo ya kutosha kunani jamani

Mkuu elezea inakuaje hapo,kwamba nmb wanafanyaje?
Kuna utaratibu waliuanzisha nadhani mwaka huu, kwamba katika hela unayopata au unayotunza kwenye akaunti yako, wao wanachukua kiasi kingn cha fedha (kuna namna wanakokotoa wajue ni asilimia ngapi wachukue)toka kwa akaunti yako wakidai kua wanakuhifadhia pia lakini ukiitaka utakipata, lakini huo utaratibu haujawekwa wazi vizuri.
Kipindi cha mwanzo salio halisi na lililopo yalikua sawa ila saiv lile lenye access kwa kuitoa linakua pungufu.
 
Waalimu Aacha mkwate ili akili za kujikomba ziwakae sawa, ni 1 ya kikundi kinachokwamisha hii nchi kusonga mbele (eti mmemchukulia form?)
 
Last month nilikuta 15000/= haipo
To day 123,000/= nimevita statement inaonyesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nin?
Si bure ukute ni NEW HESLB LOAN

Wajinga sana hawa sijui system yao ikoje, nilishamaliza mkopo na wakaacha kunikata kwa miaka mitatu halafu wameanza tena kunikata na ni Private Org.
 
Si bure ukute ni NEW HESLB LOAN

Wajinga sana hawa sijui system yao ikoje, nilishamaliza mkopo na wakaacha kunikata kwa miaka mitatu halafu wameanza tena kunikata na ni Private Org.
Yaan Mimi niliomba kweli mkopo nikapewa 100% lakin nikaama nkaenda private wala hakuna fedha Yao niliochukuwa,ngoja nifanye mchakato wa salary slip ntajua tu
 
Nimeshasikia hata mimi na wanafanya hivyo, NMB asilazimishe mtu akatwe hela yake bila ridhaa ndy maana salio halisi siyo kama na lililopo
Angalia kama uliomba "Mkopo Fasta". Nasikia unaweza usipate msg wala kuingizwa kwenye acct yako na ukaanza kukatwa.
 
Kuna utaratibu waliuanzisha nadhani mwaka huu, kwamba katika hela unayopata au unayotunza kwenye akaunti yako, wao wanachukua kiasi kingn cha fedha (kuna namna wanakokotoa wajue ni asilimia ngapi wachukue)toka kwa akaunti yako wakidai kua wanakuhifadhia pia lakini ukiitaka utakipata, lakini huo utaratibu haujawekwa wazi vizuri.
Kipindi cha mwanzo salio halisi na lililopo yalikua sawa ila saiv lile lenye access kwa kuitoa linakua pungufu.
Si tayari watu watumishi wanakatwa makato ya NSSF!
 
Last month nilikuta 15000/= haipo
To day 123,000/= nimevita statement inaonyesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nin?
Utakuwa ulichukua salary advance,mbona mie sijakatwa hata mia!!?????
 
Back
Top Bottom