Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
🤣😁😃Wajinga Ndiyo WaliwaoPesa utoe kumchangia Bi Chaudele kuchukua fomu ya Kuwania Urais 2025 halafu uje ulie lie hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣😁😃Wajinga Ndiyo WaliwaoPesa utoe kumchangia Bi Chaudele kuchukua fomu ya Kuwania Urais 2025 halafu uje ulie lie hapa?
Kama ni issue ya individual check na HR dept watakupa jibu la swali lako,Last month nilikuta 15000/= haipo
To day 123,000/= nimevita statement inaonyesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nin?
Tumekata kwa ajili ya kumchangia mgombea wetu kuchukua fomu ya Urahisi mwaka 2025! Utuwie radhi kwa kuchelewa kukupa taarifa.Last month nilikuta 15000/= haipo
To day 123,000/= nimevita statement inaonyesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nin?
Hiyo Bodi ni hatari sana kwenye kubambikia wanufaika wake madeni mapya.Angalia isije ikawa bodi ya mikopo ya elimu ya juu… uangalie salary slip utaona imekatwa ya nini
Una liquidation letter kutoka Heslb?Si bure ukute ni NEW HESLB LOAN
Wajinga sana hawa sijui system yao ikoje, nilishamaliza mkopo na wakaacha kunikata kwa miaka mitatu halafu wameanza tena kunikata na ni Private Org.
Sijawahi chukua mkopo wowote benkiAngalia kama uliomba "Mkopo Fasta". Nasikia unaweza usipate msg wala kuingizwa kwenye acct yako na ukaanza kukatwa.
Wewe ni mtumishi wa kada ipi ,na umeajiriwa wapi?Last month nilikuta 15000/= haipo
To day 123,000/= nimevita statement inaonyesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nin?
Na mimi nimeshangaa, no wonder ni wale voda fasta.Huu ndio uandishi wa mtumishi wa umma? Bila shaka ni mmojawapo wa ile kada ya kumchukulia mama fomu
Humu watu Wana stress sana,achana nayeSasa kama hujaelewa umejuaje nimekosea
Hivi hii fomu ya kuchangishwa walimu nchi nzima inagharimu bei gani? nchi imejaa comedy sana hii🤣Pesa utoe kumchangia Bi Chaudele kuchukua fomu ya Kuwania Urais 2025 halafu uje ulie lie hapa?
Si wanufaika tu, hata wasionufaika na mkopo huwa wanabambikiwa,kusitisha makato yao ni mchakato huchukua miezi hadi 3+Hiyo Bodi ni hatari sana kwenye kubambikia wanufaika wake madeni mapya.
Unaweza kukuta deni lao liliisha miaka 5 iliyopita, ghafla unashangaa unaletewa makato mapya ya 15% kwenye basic salary yenye vimeo vya kutosha, na huku maelezo yao yakiwa hata hayaeleweki.
Huu ni mwisho wa Mwaka ni pesa ya Service i think ya Mwaka ya Account na kama unatunia CRDB na ulijiunga Simba au Yanga Sasa simba au yanga wamechukua Mchango waoLast month nilikuta 15,000/= haipo
Today 123,000/= nimevuta statement inaonesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nini?
Yaaan benk statement inaonyesha mashahara umekatwa juu kwa juu so labda salary slipHuu ni mwisho wa Mwaka ni pesa ya Service i think ya Mwaka ya Account na kama unatunia CRDB na ulijiunga Simba au Yanga Sasa simba au yanga wamechukua Mchango wao
Huu ndio uandishi wa mtumishi wa umma? Bila shaka ni mmojawapo wa ile kada ya kumchukulia mama fomu
Na ujiandae kiakili mwakani 2024 kuna muda hutapata hata sentLast month nilikuta 15,000/= haipo
Today 123,000/= nimevuta statement inaonesha ni salary na kuna jamaa yangu kakutana na hiyo hiyo shida kuna nini?
Banking is scam , bankers are the biggest crooks and robbers in historyKuna utaratibu waliuanzisha nadhani mwaka huu, kwamba katika hela unayopata au unayotunza kwenye akaunti yako, wao wanachukua kiasi kingn cha fedha (kuna namna wanakokotoa wajue ni asilimia ngapi wachukue)toka kwa akaunti yako wakidai kua wanakuhifadhia pia lakini ukiitaka utakipata, lakini huo utaratibu haujawekwa wazi vizuri.
Kipindi cha mwanzo salio halisi na lililopo yalikua sawa ila saiv lile lenye access kwa kuitoa linakua pungufu.