Makelele mengi kuhusu chanjo ya corona, mbona hamjahoji au kukataza dawa/chanjo tunazozitumia hospitalini leo hii?
Aina za chanjo ambazo kila mtoto wa Kitanzania anazipata na zinatoka west/USA
BCG (Bacile Calmette-Guérin)
DTP au DPT (Dondakoo, Pepopunda na Kifaduro)
Surua
Polio
Magonjwa haya ya kila mtu wa hapa Tanzania yanatibiwa na dawa toka wapi?
Aina za chanjo ambazo kila mtoto wa Kitanzania anazipata na zinatoka west/USA
BCG (Bacile Calmette-Guérin)
DTP au DPT (Dondakoo, Pepopunda na Kifaduro)
Surua
Polio
Magonjwa haya ya kila mtu wa hapa Tanzania yanatibiwa na dawa toka wapi?
- Dondakoo
- Pepopunda
- Kifaduro
- Homa ya Manjano
- Hepatitis A
- Hepatitisi B
- Haemophilus influenzae aina ya b (Hib)
- Homa ya mafua (mafua)
- Surua
- Matumbwitumbwi
- Kirusi cha rota
- Surua ya Rubela
- Pneumococcal
- Polio
- Varicela (tetekuwanga)