Mbona hamjahoji kuhusu Panadol, Aspirin na ARVs kuwa wazungu wanaweza "kutufanyizia"?

Mbona hamjahoji kuhusu Panadol, Aspirin na ARVs kuwa wazungu wanaweza "kutufanyizia"?

Dawa zote alizotaja haziharibu utu wa mtu yaani haziingilii genetic za maumbile ya mwanadamu na wala hazibadilishi vinasaba asilia hivyo hayo machanjo mnayopigia debe yanabadilisha hata uwezo wa kufikiri ndiomaana kwa watu walio smart kama China wanatengeneza vyakwao, kupokea pokea mavitu kwasababu ya umasikini ni kitu kibaya sana , by the way nilishawahi kusema masikini hana maamuzi wakiamua hata kutunyima ARV hao wanaweza kikubwa hapa wanaokataa kwa hoja zao wasichukiwe, kwani ndio mtazamo wao, hili wakati mwingine limakaa kiimani zaidi, ni kama dini tu, kila mtu anaamini vyakwake
Pepopunda
Surua
 
Hicho unachozungumza bro miezi ile ya mwanzo mwanzo wa gonjwa lilivyopamba Moto...bado Kiko kichwani tu au umemkoti gwajiboy...angalia up mtandao wa cdc cheki tarehe ya hiyo taarifa utagindua kuwa bado umejifunika shuka..
Unaonaje kama ukajibu hoja badala ya kuleta vijembe na mipasho?
1.) Ni ya majaribio au la? (Emergency use)

2.) Definition ya chanjo ni nini kwa mujibu wa CDC waliopitisha hicho kinachoitwa chanjo?

Unajua kujibu hoja bila hoja ndio mnazidi kutia watu wasiwasi, jibuni hoja kwa hoja, hoja kwa hoja, hoja kwa hoja hadi tupate ukweli, huo ndio uungwana.
 
Unaji contradict. Wewe muda unakuhusu nini as long as zinafanya kazi kama ulivyosema, muda is of what concern? Unakuwa na concern na muda kwa vile vaccine tunnel is very long na hii imekuwa very short tunnel, hivyo ukawa na wasiwasi na muda. BUT BY YOUR OWN ADMISSION KUWA ISSUE IS NOT EFFICACY, SAFETY ETC BUT TIME.
Acha kujitoa akili, implication ya muda mfupi ni kutoa kibali kwa hati ya dharura (emergency use authorisation) na hii maana yake ni usalama kutokuwa wa uhakika
 
Nikifa mimi unahasara gani? Chanja wewe. Chanjo zenyewe ziko milion 1tu tukiitaka wote haitotosha
 
Vita hii ni Kati ya Wazalendo na wale wafanyakazi wa kwenye NGO wanaotaka kutetea ugali wao.Hachanjwi mtu.
 
Back
Top Bottom