Mbona hamjahoji kuhusu Panadol, Aspirin na ARVs kuwa wazungu wanaweza "kutufanyizia"?

Mbona hamjahoji kuhusu Panadol, Aspirin na ARVs kuwa wazungu wanaweza "kutufanyizia"?

Unatumia nguvu mzee. Swala sio kua hazifanyi kazi. Suala ni mda uliotumika kuidhinishwa
Kwanza ujue technology ime-advance sana. Kama ilichukua miaka labda 20 kutengeneza na kuidhinisha chanjo ya Surua (wakati huo tukitumia microscope) usitegeemee leo ichukue miaka kama hiyo! (compare na MRI)

Pili corona inaua kwa kasi sana, hivyo muda wa kupoteza ulikuwa haupo; lakini bado WHO wanakwambia wamekagua chanjo zote kwa utaratibu ulioidhinishwa, With technology ni rahisi na haraka kujua kuwa hii chanjo ni sawa au la. Mankumbuka chanjo ya ilimaliza Ebola huko west Africa? Ilikuwa bado iko kwenye majaribio, lakini kwa namna ebola ilivyokuwa inaenda kuzimaliza nchi, hapakuwa na namna bali kutumia hiyo ya majaribio
 
Kwanza ujue technology ime-advance sana. Kama ilichukua miaka labda 20 kutengeneza na kuidhinisha chanjo ya Surua (wakati huo tukitumia microscope) usitegeemee leo ichukue miaka kama hiyo! (compare na MRI)

Pili corona inaua kwa kasi sana, hivyo muda wa kupoteza ulikuwa haupo; lakini bado WHO wanakwambia wamekagua chanjo zote kwa utaratibu ulioidhinishwa, With technology ni rahisi na haraka kujua kuwa hii chanjo ni sawa au la. Mankumbuka chanjo ya ilimaliza Ebola huko west Africa? Ilikuwa bado iko kwenye majaribio, lakini kwa namna ebola ilivyokuwa inaenda kuzimaliza nchi, hapakuwa na namna bali kutumia hiyo ya majaribio
technology imekua bado tunakufa na malaria na ukimwi mzee...na bado reserch inafanyika miaka zaidi ya 40 now ...na nio hao hao virusi..au kuna sehem mimi sielewi..
 
Unaji contradict. Wewe muda unakuhusu nini as long as zinafanya kazi kama ulivyosema, muda is of what concern? Unakuwa na concern na muda kwa vile vaccine tunnel is very long na hii imekuwa very short tunnel, hivyo ukawa na wasiwasi na muda. BUT BY YOUR OWN ADMISSION KUWA ISSUE IS NOT EFFICACY, SAFETY ETC BUT TIME.
mzee upo shirika gani la marekani ..wazee wa NGO...mnatumia nguvu sana aisee ..kwani ela si imeshaingia,,..tuache tu matumizi ya chanjo yawe hiari Tanzania negotiating with IMF for $571 million Covid-19 loan
 
Nadhani by your post kuwa suala siyo kuwa hazifanyi kazi (meaning they are OK) umehakikisha kuwa haya yote HAPA CHINI yako perfect, sasa issue ya muda inatok wapi?

The vaccine construct must be safe and effective. To achieve this, the newly designed construct/s need to be checked for its antigenicity,
allergenicity,
toxicity,
solubility and stability
The result must show that the construct needs to be a potential antigen, non-allergic, non-toxic, soluble and highly stable. These outcomes make it a suitable vaccine candidate for further analysis.

SASA KAMA HAYO YOYE YAKO SAWA, ZINAFANYA KAZI, THEN WHY WORRY ABOUT MUDA?
South Africa in shock after AstraZeneca vaccine rollout halted na hizi stori zinatokea wapi..na swali la muhimu hizi dawa tunanunua au tunaPEWA BURE ?
 
mzee upo shirika gani la marekani ..wazee wa NGO...mnatumia nguvu sana aisee ..kwani ela si imeshaingia,,..tuache tu matumizi ya chanjo yawe hiari Tanzania negotiating with IMF for $571 million Covid-19 loan
Mzee nipo Mkuranga, interior kabisa ila naangalia sense behind our arguments against and For covid 19 vaccine na wala siyo. Nami niko against kutumia nguvu, ila the science behind these vaccines and the logic that follows its denial among some of us ndiyo naitetea.
 
1.) Ni za majaribio?

2.) Definition ya Chanjo kwa mujibu wa CDC marekani walioto hati ya dharura (Emergency Use Authorisation), ni nini?
Hicho unachozungumza bro miezi ile ya mwanzo mwanzo wa gonjwa lilivyopamba Moto...bado Kiko kichwani tu au umemkoti gwajiboy...angalia up mtandao wa cdc cheki tarehe ya hiyo taarifa utagindua kuwa bado umejifunika shuka..
 
asante kwa majibu mazuri. This is a highly infectious and deadly disease, usitegemee response ya dunia iwe kama ya HIV!
Pili corona inaua kwa kasi sana, hivyo muda wa kupoteza ulikuwa haupo;
 
Mtakuja na mifano yote lakini hachanjwi mtu kama barakoa tu wananchi wamewapuuza itakuwa chanjo ???
Yaani mimi nafurahi mnapozikataa maana mkizichangamkia nitakosa. Maana dozi 1+m wakati watanzania tunakaribia mil 60 ni bora mkatae kuepusha msongamano.
 
Treni hili hapa:

View attachment 1870035

Kudandia kwa mbele ni Hatari 😂😂!

Kutokutaka kwa yeyote chanjo hakutufanyi na sisi wengine kutokutaka pia.

Unapasoma wapi tunapowataka nyie msiotaka mchanjwe? Au kudemka demka tu?!

Ninakazia:

Huchanjwi, wewe. Tunaotaka chanjo tuko bwerere!

Habari ndiyo hiyo.

Nimesisitiza tokea awali, haki na hiari ya kuchanjwa kila mmoja anayo, ni ajabu na kushangaa ikiwa upande mmoja utajitapa na kuwaona wengine hawako sahihi. Na sijawahi beza wanaochanjwa hata mara moja na sitokaa nifanye hivyo kwa vile naheshimu uhuru wa wengine.

Hayo mambo ya treni na miduara sijui yanatokea wapi.
 
Mzee nipo Mkuranga, interior kabisa ila naangalia sense behind our arguments against and For covid 19 vaccine na wala siyo. Nami niko against kutumia nguvu, ila the science behind these vaccines and the logic that follows its denial among some of us ndiyo naitetea.
poa mkuu Retired chanjo ipo tu kachome nasikia zipo tu...so far najua sijafikia umri wa uzee kuanza hofia kuingia list ya waliokua kwenye hatari....For your own information ..NO FREE LUNCH New IMF reserves could fund vaccines in poor nations: Rockefeller Hii mikopo ndo utanunulia dawa na lazima uilipe
 
poa mkuu Retired chanjo ipo tu kachome nasikia zipo tu...so far najua sijafikia umri wa uzee kuanza hofia kuingia list ya waliokua kwenye hatari....
This is a strong argument. If you are not in the risky group, why then vaccinate? Uko sahihi kabisa ingawa na vijana wamekufa anyaway!
 
Hili la chanjo ndio maana limeachwa liwe hiari, kila mmoja ana mtazamo wake tofauti na mwingine kwa sababu zake binafsi.
Kwa mfano mimi sichanjwi sio kwamba naamini wazungu wanataka kutuangamiza , la hasha, wana njia na mbinu nyingi sana za kufanya hivyo kama wakitaka kutuangamiza.

Umetolea mfano wa chanjo zilizotangulia na dawa tunazoendelea kutumia, ukaelezea kwamba ikiwa iko salama kwanini tuhoji kuhusu muda? Jibu ni kwamba ili hayo majibu ya usalama na madhara yapatikane, kuna muda umewekwa kujaribia na kujiridhisha kwa hatua kadhaa ili kuhitimisha na kuidhinisha matumizi yake.

Nikuulize, umeshawahi kusaign form ya kutokuiwajibisha serikali au watengenezaji wa chanjo kwa hizo za awali ulizozitaja? Unafikiri ni kwanini imeidhinishwa kwa matumizi ya dharura? Tatizo sio kutuangamiza, inaweza kuwa na madhara ambayo hata wao hawajayaona kwa sasa kutokana na huo udharura. Lakini pia inawezekana kabisa zikawa salama na zisiwe na tatizo lolote. Hapo ndio nnapoomba uhiari uheshimiwe. Kama unataka kuchanja, chanja, kama hauipokei kaa pembeni lakini sioni sababu ya upande mmoja kuwaona wengine wana tatizo au uelewa mdogo, kwenye hili ni kama kamari.

Ikumbukwe aliyechanjwa, anaweza kupata na akaathiriwa vibaya tu na hiyo Covid, japo wanasema anakua na uwezekano mdogo wa kupelekeshwa sana na madhara ya hiyo homa.
Akili nyingi
 

This is a strong argument. If you are not in the risky group, why then vaccinate? Uko sahihi kabisa ingawa na vijana wamekufa anyaway!
mi sina tatizo na chanjo kwakua nna wazee kwe familia(sikai nao) kinachonichanganya ni nguvu inayotumika...hii ni multi-million dollar empire..mind you wenzetu hawana madini..imagine chanjo zao wanazipush sana..ila za china na india wanazikataa,,wakati hata hizo sijui aspirini na chroloquine tunanunua india...wanataka tuchome za marekani tu wakati hata wao wenyewe wanazikataa.so hii ni biashara kama biashara nyengine....hata muuza majeneza anavutia kwake ukienda

Africa’s needs​

The World Bank estimates that Africa alone would need about $12bn for COVID-19 vaccines to attain sufficient levels of inoculations to interrupt virus transmission, according to a new paper by the lender and the IMF.
 
Back
Top Bottom