Makelele mengi kuhusu chanjo ya corona, mbona hamjahoji au kukataza dawa/chanjo tunazozitumia hospitalini leo hii?
Aina za chanjo ambazo kila mtoto wa Kitanzania anazipata na zinatoka west/USA
BCG (Bacile Calmette-Guérin)
DTP au DPT (Dondakoo, Pepopunda na Kifaduro)
Surua
Polio
Magonjwa haya ya kila mtu wa hapa Tanzania yanatibiwa na dawa toka wapi?
- Dondakoo
- Pepopunda
- Kifaduro
- Homa ya Manjano
- Hepatitis A
- Hepatitisi B
- Haemophilus influenzae aina ya b (Hib)
- Homa ya mafua (mafua)
- Surua
- Matumbwitumbwi
- Kirusi cha rota
- Surua ya Rubela
- Pneumococcal
- Polio
- Varicela (tetekuwanga)
Yote hayo juu tunatibu kwa dawa zao, humo hawawezi kuweka hicho mnachokihofia kwenye chanjo ya corona?