imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Lawama lazima ziende kwa wanaohusika.........halafu baada ya kutokea, inarekebishwa
Mama huwa anapendeza akiwa ndani ya Baibui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lawama lazima ziende kwa wanaohusika.........halafu baada ya kutokea, inarekebishwa
Mama ni jina la kiumbe chochote kinachoweza kwenda mwezini na leba ili kutuongezea wingi duniani. Kiumbe chochote cha kike ni mama!!!Nakupata vizuri kabisa mkuu. Haina shida yule mama wa taifa
Kibanda cha wakala wa vodaNguo bwana ukipendeze uwe na mwili wa wastani ukishakuwa bonge bonge ata fundi awe mzuri vipi hupendezi ng'oo
Ni kw nini wanafanya hivi? Kutiana majaribuni tuuHuku mtaani wakivaa hayo madera huwa naona wanayachomeka kwenye nguo ya ndani.
Hiyo ndiyo solution ili lisionekane oversizeNi kw nini wanafanya hivi? Kutiana majaribuni tuu
[emoji38][emoji38][emoji38] Heri mimi sijasema .Jamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano.
Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini?
Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
Mimba! Au ni mama yupi kwanza mnamsemeaJamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano.
Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini?
Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
"...hili nalo mkalitizame.."Nalo hili tunalichukua......
Mimi nimeona Video yake lakini si kwa hiivyo sana bado kapendeza.Picha iko wapi?
Mleta mada kaleta hoja nzito kwa njia ya fasihi watu wamepoteana. Wanajadili vazi kama vaziPia Una Hoja Nzito Sana Ambayo Inahitaji Mjadala
Ninyi Kwa porojo hizo naamini hamlipi tozo😃😃😃😃Huku mtaani wakivaa hayo madera huwa naona wanayachomeka kwenye nguo ya ndani.