Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani hatufanyi transactions?Ninyi Kwa porojo hizo naamini hamlipi tozo😃😃😃😃
Ndugu Mwigulu anafanya pia transactions bt alikuwa hajui kuwa Kuna double taxation Hadi alipokumbushwa Juzi.Yani hatufanyi transactions?
Na wewe ukamuamini huyo tapeli?Ndugu Mwigulu anafanya pia transactions bt alikuwa hajui kuwa Kuna double taxation Hadi alipokumbushwa Juzi.
Duh,mpaka mavazi ya mtu,alivyovyaa,mambo ya kike haya.Jamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano.
Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini?
Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
Ni jinsi tunavyompenda Samia wetu.Duh,mpaka mavazi ya mtu,alivyovyaa,mambo ya kike haya.