Yani hatufanyi transactions?Ninyi Kwa porojo hizo naamini hamlipi tozo๐๐๐๐
Ndugu Mwigulu anafanya pia transactions bt alikuwa hajui kuwa Kuna double taxation Hadi alipokumbushwa Juzi.Yani hatufanyi transactions?
Na wewe ukamuamini huyo tapeli?Ndugu Mwigulu anafanya pia transactions bt alikuwa hajui kuwa Kuna double taxation Hadi alipokumbushwa Juzi.
Duh,mpaka mavazi ya mtu,alivyovyaa,mambo ya kike haya.Jamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano.
Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini?
Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
Ni jinsi tunavyompenda Samia wetu.Duh,mpaka mavazi ya mtu,alivyovyaa,mambo ya kike haya.