Mbona kama dera ni oversize? Wanaohusika wako makini?

Jamani naona Mama kapiga vazi fulani ila ni kama oversize na halimtoi vizuri kimuonekano.

Swali ni je, wanaohusika na mavazi ya Mama wako makini?

Ukiwa mkubwa, ujue hakuna dogo la kupuuzwa.
Duh,mpaka mavazi ya mtu,alivyovyaa,mambo ya kike haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ