Manyema
JF-Expert Member
- Sep 2, 2010
- 683
- 1,801
Miezi miwili mingi hivyo, nunua leo kwa 22m alafu itangaze baada ya siku 5. Nakwambia hiyo 18m utaitafuta kwa torch kupata mtejaShow room linauzwa 22m hadi 25m, ukilitumia miezi miwili tu ukitaka kuliuza bei ni kuanzia 18m kushuka chini na wahitaji wamepungua mno.
Hii gari ukiachana na kuungua huwa linapungua nguvu gear box ikipata moto, hata ku overtake inakuwa shida. Hakuna gar humo