Mbona Kikwete anacheka kila wakati 🤔

Mbona Kikwete anacheka kila wakati 🤔

Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Kwa mba roho ya kikatili haija mkaa🤔
 
Wakuu za sahizi nimekaa nikafikiri kwann

Huyu raisi jk sijawahi kumuona akiwa na sura ya mbuzi au kuwa serious picha zote anacheka tu

Hata hotuba zake anacheka tu

Akipiga picha ni kicheko

Akifanya hivi ni kicheko

Kila muda ana smiling face. Wajuzi naombeni mnieleweshe maana ya hii


Kitu ni nn aseee 🤔
Kucheka ni Afya ila Ukicheka sana na kila wakati / mara ni Dalili tosha ya Mental Case bila kujali Wewe ni Tajiri kama Walivyo au Masikini kama GENTAMYCINE.
 
Back
Top Bottom