mlinzi mlalafofofo
JF-Expert Member
- Apr 20, 2008
- 725
- 1,282
jitahd kuwa na free spirit usijiwekee mipaka. wanawake wapo kila mahali. sehemu za ibada wapo kwenye za burdani hauwezi kuwakosa, makazini pia unawakuta, apo kitaani kwako lazma watakuwepo, mabarabarani humu ndo usiseme. na wao wanatafuta watu kama wewe. wewe weka tu vigezo vyako tu na ujue unachokitaka.
ukishindwa kabisa jitafute uwe na ela ya kutosha ao wadudu kwa ela hawachomoi kamwe watakuja wenyewe adi uwachoke
ukishindwa kabisa jitafute uwe na ela ya kutosha ao wadudu kwa ela hawachomoi kamwe watakuja wenyewe adi uwachoke