Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

jitahd kuwa na free spirit usijiwekee mipaka. wanawake wapo kila mahali. sehemu za ibada wapo kwenye za burdani hauwezi kuwakosa, makazini pia unawakuta, apo kitaani kwako lazma watakuwepo, mabarabarani humu ndo usiseme. na wao wanatafuta watu kama wewe. wewe weka tu vigezo vyako tu na ujue unachokitaka.

ukishindwa kabisa jitafute uwe na ela ya kutosha ao wadudu kwa ela hawachomoi kamwe watakuja wenyewe adi uwachoke
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Hahaha
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Sky Eclat mshauri kijana au mtaftie binti wa Tanga
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Huyo demu uliyeachana naye atakuwa amekuroga usiwaone wanawake ili umrudie, haiwezekani wanawake wooote hawa ambao hawana watu hadi wanatutongoza sisis wanaume wewe usiwaone.
 
Back
Top Bottom