Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
sidanganyiki ng'ooo 😂Hautakufa maana utapata dawa ya kutuliza roho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sidanganyiki ng'ooo 😂Hautakufa maana utapata dawa ya kutuliza roho
Madem wote wa Mbagala na bado unasumbuliwa na oneitis? Wakati huohuo unasema wewe ni mtongozaji!Mbagala
Sawa. Fikiria, tafakari na uchukue hatuasidanganyiki ng'ooo 😂
Haki elimuuuuuuSawa. Fikiria, tafakari na uchukue hatua
Wewe akili huna🤣Haki elimuuuuuu
Ngah!
Ngah!
ulifikiri silijui ilo tangazo 😂Wewe akili huna🤣
Ndiyo😊ulifikiri silijui ilo tangazo 😂
oooh m mkongwe nalijua hadi la fataki wapi leooo,,,kule kule kwa janaNdiyo😊
Suala sio mademu wengi mbagala, ishu ni ku-meet right girl at right place mfano unaweza kuona wanawake wawili tofauti ila maeneo sio rafiki yaani unapita unaona tule nimemuelewa ndio anazama nyumbani kwao, yule anapita njiani uezi ukaanza Hey Hey balabalani.Madem wote wa Mbagala na bado unasumbuliwa na oneitis? Wakati huohuo unasema wewe ni mtongozaji!
Hebu eleza vizuri una shida gani nyingine usaidike.
🤣🤣🤣oooh m mkongwe nalijua hadi la fataki wapi leooo,,,kule kule kwa jana
Chai jabaaa kikooombe cha urafikiiiiii😂😂😂🤣🤣🤣
Umeula wa chuya fataki.
Ila wewe kumbe ni mshangaziee
Mimi naitwa jambo kubwa je wewe mwenzangu unaitwa naaniii........🤣🤣🤣🤣🤣
Umeula wa chuya fataki.
Ila wewe kumbe ni mshangaziee
Mimi ninaitwa jambo dooogo...!☺️☺️Mimi naitwa jambo kubwa je wewe mwenzangu unaitwa naaniii........🤣🤣
mzee smaaaaaaaall😌Mimi ninaitwa jambo dooogo...!☺️☺️
mzee smaaaaaaaall😌
Kuwa unaenda mliman city mara kwa maraHili wazo zuri sana, sasahivi nitakuwa natumia hii njia nahisi itakuwa nzuri zaidi
Unahisi wanaume wenzako wote wanakutana na 'right women at right place'?Suala sio mademu wengi mbagala, ishu ni ku-meet right girl at right place mfano unaweza kuona wanawake wawili tofauti ila maeneo sio rafiki yaani unapita unaona tule nimemuelewa ndio anazama nyumbani kwao, yule anapita njiani uezi ukaanza Hey Hey balabalani.
'Right women at Right place' hiki kitu ndio kinaweza kukufanya usipate mwanamke hata miezi miwili Once mahusiano hayako Formal ni kuvizia na kuonana kwa bahati mbaya.