Bongo senior
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 757
- 1,526
Muda wako bado hujafika ukifika utapata laazizi wako najua kichupa kinakutesa kwa sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe🤔ukitafuta pesa utaambiwa bahiri sasa tuchague wapi😂Mwamba unaangaika na kutongoza? Siku hizi wanakutongoza wenyewe! Tafuta hela!
Hiiii imeenda hakika😂😂😂Ndio inakuaga hivyo, ukiwa unahitaji kua na mtu haupati yani hayupo.....ukishampata masikini mnapendana zenu ndio yanakuja mafuriko ya watu sasa wanakutaka, ilimradi tu wakuvuruge😹
Ngoja nizame pm kwako nianze kukutongoza...
Hili wazo zuri sana, sasahivi nitakuwa natumia hii njia nahisi itakuwa nzuri zaidiKutafuta mwanamke wa kutongoza barabarani ni kazi ngumu sana hata kama ni mjuzi wankutongoza, maana personality yako inakunyima kufanya vitendo vya uhuni njiani.
Itakuchukulia muda na energy yako kuingia kwenye kona za njia ama sehemu za starehe kujitongozesha.
Ni kweli wapo wanawake pia wanasaka wanaume wa kuwatongoza, lakini je wamejilengesha katika angle zipi?
Chukulia hili suala kama vile una uhitaji wa chumba cha kupanga ambapo hauwezi kuingia kila nyumba kuulizia, watu hutafuta madalali na wewe tafuta dalali wa binadamu yaani kuwadi.
Naam, tumia kuwadi atakayekuletea hadi kitandani ukiwa umetafuniwa kabisa kwa thamani ya pesa yako, tena kwa kuelekeza umtakaye.
Tumesema kutafuniwa, si kutafuniwa tu, ukipenda hata kumezewa waweza sadiwa pia na hata ukipenda kushikiliziwa miguu wakati wa kula ili umeze matonge makubwa makubwa, hilo linawezekana, kazi yako wewe iwe ni kushiba tu.
Oya mbona masuala ya kichupa hayahusiani kabisa na serious relation, kupata wakumwagia kichupa ni suala la dakika tu upande huo upo formal kidogo ila sio serious relationshipMuda wako bado hujafika ukifika utapata laazizi wako najua kichupa kinakutesa kwa sasa.
Basi mkuu vuta subira don't take things too serious your soulmate atacome at right time bila kutarajia.Oya mbona masuala ya kichupa hayahusiani kabisa na serious relation, kupata wakumwagia kichupa ni suala la dakika tu upande huo upo formal kidogo ila sio serious relationship
tatizo linaanzia hapa....Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama (kanipa space) ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
Fungua moyo kwa mtoa mada basinikimpata nitakua na forward kwake 😂
funguo zimepotea zoteFungua moyo kwa mtoa mada basi
Vunjafunguo zimepotea zote
Nife pureshaVunja
Hautakufa maana utapata dawa ya kutuliza rohoNife puresha