Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Kutafuta mwanamke wa kutongoza barabarani ni kazi ngumu sana hata kama ni mjuzi wankutongoza, maana personality yako inakunyima kufanya vitendo vya uhuni njiani.

Itakuchukulia muda na energy yako kuingia kwenye kona za njia ama sehemu za starehe kujitongozesha.

Ni kweli wapo wanawake pia wanasaka wanaume wa kuwatongoza, lakini je wamejilengesha katika angle zipi?

Chukulia hili suala kama vile una uhitaji wa chumba cha kupanga ambapo hauwezi kuingia kila nyumba kuulizia, watu hutafuta madalali na wewe tafuta dalali wa binadamu yaani kuwadi.

Naam, tumia kuwadi atakayekuletea hadi kitandani ukiwa umetafuniwa kabisa kwa thamani ya pesa yako, tena kwa kuelekeza umtakaye.

Tumesema kutafuniwa, si kutafuniwa tu, ukipenda hata kumezewa waweza sadiwa pia na hata ukipenda kushikiliziwa miguu wakati wa kula ili umeze matonge makubwa makubwa, hilo linawezekana, kazi yako wewe iwe ni kushiba tu.
Hili wazo zuri sana, sasahivi nitakuwa natumia hii njia nahisi itakuwa nzuri zaidi
 
Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama (kanipa space) ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.
tatizo linaanzia hapa....
 
Back
Top Bottom