Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Mbona kumpata mwanamke wa kumtongoza kwangu imekuwa ngumu?

Kosa lako kubwa ni kuwa na mwanamke mmoja ndiyo maana unahaha sasa hivi.
Mzee mpaka sasa nishawai kuwa na wmwanamke mmoja, wanawake wawili kwa wakati mmoja, watatu, wanne, watano, mmoja nk.

Huezi ku maintaina maisha yote time always change mfano wewe leo unaweza kuwa na watatu few months later ukajiona una mmoja so haimaanishi instinct yako kuwa na mmoja. Na kuna time utakuwa Single kabisa.
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Tafuta hela utanishukuru mbeleni rafiki
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Badili dini, njoo dini ya kweli na usawa
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Badili mazingira
 
Suala sio mademu wengi mbagala, ishu ni ku-meet right girl at right place mfano unaweza kuona wanawake wawili tofauti ila maeneo sio rafiki yaani unapita unaona tule nimemuelewa ndio anazama nyumbani kwao, yule anapita njiani uezi ukaanza Hey Hey balabalani.

'Right women at Right place' hiki kitu ndio kinaweza kukufanya usipate mwanamke hata miezi miwili Once mahusiano hayako Formal ni kuvizia na kuonana kwa bahati mbaya.
Right woman hawaji kwenye right place nimpaka uwe una jaribu kuomba number sehemu yoyote ile na kwa mademu tofauti tofauti baada ya hapo ndio unaanza communication kupitia hapo sasa ndio utajua yupi sahihi kwako.
Natafuta Ajira
 
Achana na mambo za wanawake be gentleman kama huna nyumba , tafuta kiwanja , Jenga nyumba standard, ikiwa na bigger lounge, big tv , big music system with open kitchen, big fridge , big oven enjoy maisha yako . Nakuhakikishia yaan utawaza hizo mambo coz wadada wengi ni Wana gundu sana tena Hawa wa mtaani + ut.i sugu au tafuta Binti mzuri uweke ndani u enjoy maisha yako uyo ni wako milele
 
Tupo wengi kumbe
Usitongoze binti kwa mara ya kwanza nilazima utapigwa chini tu njia ya kwanza uwe unauthubutu wa kuomba number kwa demu yoyote unaemuelewa sehemu yoyote ile, tumia communication skills and confidence iwe kwenye daladala au any place then baada ya hapo tengeneza communication kwa wote ulichukua number chat nao kupitia hayo mazungumzo utajua tu yupi sahihi kwako. Hii ndio best way ya kupata manzi.
 
Unawekezaje nguvu kwenye wanawake mzee? Hela unayoipata umeridhika nayo au? Madem hata iwaje ni watu tu tena dhaifu sana, ukileta habari za kuwaangalia sana hawana habari na wewe. Wewe usiwe na habar nao focus na vitu vingine mkuu
 
Tuongee serious, suala la kupata mwanamke wa kuwanae kwenye mahusiano kwa upande wangu limekua gumu sana hasa baada ya kuvunja uhusiano na mtu.

Sio kwamba domo zege sijui kutongoza ninauwezo wa kutongoza mwanamke aina yeyote yule Duniani hata awe raisi wa nchi kama kanipa space ya kumtongoza, suala kwangu ni ACCESS ya kufikia wanawake.

Kwakifupi sijui life style langu sijui nini, kama hapa nimetengana na mwanamke fulani inevitable mwezi yaani wanawake siwaoni kabisa naamka asubui naenda job kurudi jioni sioni wanawake kabisa. Hata ukishinda weekend useme utembee ni kwamba unaona tu wale wamekaa majumbani kwao sasa uende hapo 😂 ukibahatika unaona njiani mpita njia ukianza Hey Hey hauchukuliwi serious.

Mimi ndio maana najitahidi sana mahusiano yasivunjike changamoto kama hapa nimekaa none msela tu
Kama nimekuelewa, unataka mwanamke aje akwambie "kaka nimekuja unitongoze."
 
Back
Top Bottom