Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam wana JF
Hivi katika hali ya kijamii au kiimani mbona hiki kibali cha kuoa wake zaidi ya mmoja sioni mantiki zaidi ya starehe ya ngono, kama nguvu kazi ya kiuchumi mfano kilimo so unaweza kukodi vibarua, je, mwanamke ni chombo cha starehe kwa mwanaume? Kwanini yeye mwanamke pia asiwe na kibali ha Kuoa waume zaidi ya mmoja.
Kuna haja wanawake wajikomboe kwenye hili vinginevyo haijakaa vizuri.
Nimewaza radha ya mbususu na mnyanduano nimestaajabu akili kubwa za wazee wa kale.
Wadau wa jukwaa tusaidieni dhana ya kuoa wake wengi kama msingi wake sio starehe ya ngono kwa wanaume ni nini?
Sex=energy
Energy=food
Food = money
Wadiz
Hivi katika hali ya kijamii au kiimani mbona hiki kibali cha kuoa wake zaidi ya mmoja sioni mantiki zaidi ya starehe ya ngono, kama nguvu kazi ya kiuchumi mfano kilimo so unaweza kukodi vibarua, je, mwanamke ni chombo cha starehe kwa mwanaume? Kwanini yeye mwanamke pia asiwe na kibali ha Kuoa waume zaidi ya mmoja.
Kuna haja wanawake wajikomboe kwenye hili vinginevyo haijakaa vizuri.
Nimewaza radha ya mbususu na mnyanduano nimestaajabu akili kubwa za wazee wa kale.
Wadau wa jukwaa tusaidieni dhana ya kuoa wake wengi kama msingi wake sio starehe ya ngono kwa wanaume ni nini?
Sex=energy
Energy=food
Food = money
Wadiz