Mbona kuoa wake wengi kama hoja kuu ni ulafi wa ngono tu?

hayo mambo waachie waarabu ndio wanaweza.mtu anavisima na utajiri wa kufa mtu.wafanyakazi wapo yeye kazi yake ni kula vyakula vya mafuta na dawa ili kuwashugulikia.
kwani mfalme sulemani si katokea huko mjifunzi
 
Yaani hakuna kingine uzinzi wa kiwango Cha lami
 
🙏🙏🙏 Pamoja sana Mwamba
 
This is fallacy of Generalization. Hoja yako imekosa mashiko kwa kutumia nyanja moja kufanya hitimisho. Kwahiyo inaitwa hoja yenye upuuzi jumuishi.
Nimechagua eneo moja na nimeuliza swali nimeacha space ya wewe kukinzana na kutoa maoni
 

Hapo ni ngono kwasababu sio siku zote mwanamke atakuwa tayar kusex
So itabidi siku yupo kwenye hal tofaut uwende kwa mke wapil NAONA NI NGONO

ILA hapa wanawake wawe na mwanaume zaidi ya mmoja
Naona hata kwa kuku haipo [emoji23][emoji23][emoji23]sorry
Jogoo anataka wake weng ila mtetea sijaona akiwa na haja ya jogoo weng
Japo namsemea mtetea.. ila sio kwamba namtetea
Hata ukimwangalia
 
Lakini si anapigwa vitu na jogoo yoyote ndio balaa lilipo
 
Write your reply...Kwa ughali/ ugumu wa maisha ya ckuiz mi sioni Kama Ni busara kuoa wanawake zaidi ya mmoja.

Kama una high sex drive na mkeo hawezi kukuridhisha pekee Yake akaweza Basi mi naona Ni vizuri uende ukanunue Malaya upunguze ugwadu( kumbuka kutumia Kinga) Kisha Rudi nyumbani kwa mkeo uendelee kumhudumia.

Afu ckuiz nguvu za kiume zimepungua kwa Kasi Sana miongoni mwa wanaume wengi.
 
Nguvu za kiume inahitaji mjadala zaidi
 
Kila mtu na mapenzi yake na kila mtu ana malengo yake, ila suala la wanaume kuwa na wanawake wengi ni jambo la kawaida lakini lipo juu ya maamuzi ya mtu binafsi.
.
Twende nyuma kwanza, utajiri wa zamani ilikua ni nguvu ya familia. Kwahiyo kadri mnavyokua wengi thamani yenu na nguvu yenu inaongezeka na mnaweza kujilinda, kuzalisha mazao mengi vilevile mnaweza kuvamia wanyonge na mkashinda kirahisi. Kibaiolojia tunafahamu kuwa mwanamke ana ukomo wa uzao na mwanaume ana nafasi kubwa ya kuendelea kuzaa hata kama mke wake mmoja akiwa amefikia ukomo, hivyo basi ili kulinda nguvu na utajiri wa familia inabidi mwanaume aongeze mwanamke amzalie watoto wengine.
.
Turudi sasa, kilichobadilika sasa ni kwamba hakuna haja ya kuwa na familia kubwa ili uweze kuilinda familia, polisi wapo. Lakini kibaiolojia hakuna kilichobadilika. Bado kama wanaume tunataka kuwa na urithi mkubwa, bado tunataka majina yetu yawe makubwa, bado tuna ile hamu ya kuwa na wanawake wengi.
.
Hivyo mwanamke sio chombo cha ngono, bali ni kiungo cha kuongeza jamii, endapo kama hutotaka jamii iongezeke kwa kasi basi ndo apo inabidi mwanaume ajizuie ila kama kama jamii mnataka kuongezeka na mwanaume hana ukomo hivyo inabidi awe na wanawake wengi jamii iongezeke, na ili jamii yoyote iendelee ni LAZIMA iongezeke kwanza.
.
Wanawake ni wengi kuliko wanaume.
.
Mwanamke mmoja ana mudi tofauti kwenye mwezi hivyo wanaume wengi hawawezi kuyahimili mabadiliko hayo, hivyo suluhisho ni kwenda kwa mwanamke mwingine hadi mwanamke wa kwanza awe mtulivu na wapili nae atakua ana mudi tofauti, hivyo atarudi kwa wakwanza, na mzunguko upo hivyo.
.
Sababu nyingine ni kuwa mwanamke ndiye anayechagua kuwa na mwanaume au la, hivyo ni wanawake wenyewe ndio wapo tayari kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi sababu ndie mwanaume mshindi kuliko wanaume wengine, wanawake wanapenda kuwa na wanaume washindi.
.
Mwisho, huo ni mtazamo wako kwamba wanawake ni chombo cha starehe, mwanamke ni kiungo muhimu kwenye jamii, hivyo ukibadili mtazamo utaona tofauti.
 
Kiimani lengo kuu ni kupunguza wimbi la wanawake ambao wanaangukia maaasi, kwanza wanawake wapo idadi kubwa kuliko wanaume. Bado idadi hiyo ndogo kuna ambao ni ndugu zao humo hawawezi kuwaoa, bado kuna ambao wanaangukia kundi baya la kutoweza kuwa na mwanamke. Bado kuna wajane humohumo na wanahitaji kustiriwa na kutimiziwa haja zao kihalali pasipo maasi mengine.

Uislamu umeruhusu hili suala ila kwa masharti tena si marahisi kabisa kuyatimiza. Na imewekwa wazi atakayeshindwa hayo aoe mmoja tu, si lazima kuoa mitara na bado huwezi kutimiza uadilifu.

Unatakiwa utimize uadilifu ugawe haki sawasawa kwa kila mmoja, hakuna kupendelea kokote kule kuanzia unyumba hadi vitu vingine iwe kwa haki kwa kila mmoja. Ukiona huwezi hilo umeambiwa oa mmoja tu, na kiimani ukikiuka ni makosa malubwa sana.

Una uwezo na nafasi ya kutimiza uadilifu imaNi inasema unaruhusiwa kufanya hivyo kumsitiri huyo mwanamke asije kuangukia uzinifu au ukahaba kusudi ajipatie kipato chake na kutimiza mahitaji ya mwili. Ila si lazima hata kama una uwezo no hiyari tu
 
Kila mmoja afe kivyake msipangiane maisha!!
 
Hivi mke wako akiwa katika siku zake za hedhi, au akiumwa au akitoka kwenye uzazi au akifanyiwa oparesheni utaishije?
 
Umeambiwa alitokana na ubavu wa mwanaume husikiiiii!!!!
 
Hii Takwimu ya wanawake ni wengi kuliko mnaitoleaga wapi nyie
 
Wanawake ni wengi kuliko wanaume embu acheni uongo basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…