Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

Kama haujaiona hoja yangu kwahakika wewe ni mmoja wa mashoga wa visiwani wanaowafanyia vurugu waKristo wanaokula chakula msimu wenu wa kufunga.

Na bora hoja yangu usiine, ninakisasi sana na nyie midebwedo umenipata Zero Marinda
Yaani Bado unaendelea kutoa vichambo tu kama mtoto wakike,wewe ni juma lokole nini
 
Hii imeisha tunangoja uzi mwingine leo jioni au kesho.
 
wanafiki wakifunga wanataka waonekane mbele ya hadhara kuwa wamefunga yaaani hawa jamaa wa ajabu

Tunashukuru Mungu.mfungo kwaresma wa siku 40 wa wakristo umekutana na mfungo wa waislamu wa Siku 30

Huwezi jua kama wakristo wako mfungo wa siku 40 ukienda hoteli zao wakatoliki wanauza vyakula mama ntilie anauza vizuri tu kwa wasiofunga bila shida

Wakristo Wana uwezo kudhibiti matamanio kwenye mfungo .Waislamu ni sifuri kudhibiti matamanio mwezi wa Ramadhani wanategemea marufuku za dola au mamlaka waliyonayo kufunga.Hawana uwezo kudhibiti nafasi zao dhidi ya matamanio!!! Dhaifu mno kwenye dini yao waislamu kushinda matamanio na nafasi hawawezi wakristo yuko juu kwenye mfungo!!!
 
Wakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30

Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza

Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mimi nakula popote, muda wowote na hakuna wakijifanya chochote.
 
Ndio maana nakwambia kujiendekeza tu hawa muslims wa kibongo uswahili mwingi na kupenda shari za kijinga
Sometimes ni elimu na uswahili we chunguza vizuri but anyway ni kuheshimu dini za watu. The main point mfungo wa kikristu na kiislamu ni kuwa karibu na Mungu na maanisha kusali na kuepushana na anasa....maswala ya kufunga kula ni minor.ila ni kwa mtazamo wangu
 
Wazazi msiruhusu watoto wenu wa primary school kuchezea simu zenu haswa kipindi cha likizo au sikukuu km hii ya leo, inaleta usumbufu kwa Great thinkers, period!!!
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗
 
Hao wajinga wasiokuwa na uelewa ndio wanapenda kubugzi watu..wenye uelewa wao na elimu wanafunga bila kusumbua wengine na mnajumuika kwenye miangaiko pamoja bila shida,huku unapiga msosi wako.
 
Wakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30

Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza

Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
Point hii
 
Hivi kumbe hii mikafiri mijitu inayofakamia nguruwe nayo inafunga?
 
Hivi kumbe hii mikafiri mijitu inayofakamia nguruwe nayo inafunga?
Akili ya mwafrika duni sana. Unamchukia na kumuita kafiri nduguyo kisa utamaduni wa mwarabu ulioletewa kwa mashua na hujui hata histaoria yake na unajiona mkamilifu sana! Utamaduni wa babu zako umeutupa huko!

Tukienda international forum tunashabikia vita kama Simba na Yanga, bila kujali matokeo yake

Tukihamia jukwaa la siasa ni kuilaumu serikali kuwa haijaleta maendeleo. Nimeshajifunza kutokuilaumu serikali kwani ina mzigo mzito wa kuongoza akili za misukule.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom