Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

Mbona kwarezma watu wanafunga na wala hawawakatazi wengine kula?

Akili ya mwafrika duni sana. Unamchukia na kumuita kafiri nduguyo kisa utamaduni wa mwarabu ulioletewa kwa mashua na hujui hata histaoria yake na unajiona mkamilifu sana! Utamaduni wa babu zako umeutupa huko!

Tukienda international forum tunashabikia vita kama Simba na Yanga, bila kujali matokeo yake

Tukihamia jukwaa la siasa ni kuilaumu serikali kuwa haijaleta maendeleo. Nimeshajifunza kutokuilaumu serikali kwani ina mzigo mzito wa kuongoza akili za misukule.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Binti wa kigalatia mbona ueleweki!

Unaanza na sambusa unamalizia na bunduki.

Habari za kuilaumu serikali inatoka wapi tena?
 
UP3NDO NI MUHIMU KULIKO DINI
Na hapa ndipo mamluki na wasiojua dini zao zinataka nini wanapopotezwa!

UPENDO!

Mtu ana chuki, husda, mfitini, msengenyaji, mchoyo, mlozi Ila sasa anahudhuria Ibada zote na kuaamini yeye mbinguni next door tu hapo!
 
"UDINI" ni ruhusa kutoka kwa nani mpaka mtu asile kwaajili ya dini isyo mhusu?
 
Kwenye uzi wako tangu mwanzo hadi mwisho umekazana kutoa povu kwa Islamic religion.. sasa kuna sehemu gani apo haijasomwa!



Umeongelea kuhusu Kwaresma, nimekuuliza Uwo mfungo kwa kwaresma unaujua lakini?

Unaongelea kitu usichokijua


Moderator Tafadhali futeni huu uzi, hamna cha maana hapa
Mtoa mada anataka kujua sababu ya kupiga bakora wengine kwa sababu hawajafunga ilhali mfungo wa kwarsma hakuna kushurutishana,
 
Itoshe kusema watu wa imani ile ni washari na wakorofi sana, ni wanafiki kuliko vipimo vyote vya unafiki ati dini yao ni ya haki, sasa haki gani ya kubugudhi wengine kama wewe umefunga ndio ulazimishe wa wengine wasiokua wa imani yako wafunge ?!!! Ebo !!

Mbona wengine hua wanafunga kwarezwa na hutajamahi kusikia wakiwafanyia fujo watu wanaokula ?!!

Yani eti mtu amefunga ila anatembea na mafimbo kupiga wanaokula na kuvunja wenye migahawa wanaojiuzia chakula.

Hivi hawa jamaa na dini lao wanajiona kina nani ati ukiua mtu kwa kutetea dini unaenda kupewa mabikra 72 na vimito 6 ya pombe peponi, jamani hili dini ati kuna watu wanaamini maujinga haya ati ni dini ya kweli.

Unafiki kujifanya wamefunga huku vijana wa kiume visiwani humo zaidi ya nusu hawana marinda ila eti anaekula chakula katenda uovu mkubwa wa kupigwa hadharani UNAFIKI wa viwango vya phd. Majitu maswahili swahili tu

Wanajifanyaga wakorofi afu wachumba tu wapaka lipstic. Kuna makati kitabu chao kilichanwa huko nchi za mbali kabisa nadhani Canada eti wao hapa nchini wakaanza kuchoma makanisa usiku.

Hawa jamaa ni wajinga sana sasa kitabu kimechanwa huko Canada wao wanachoma makanisa ya huku Kolomije. Hua natamani vurugu zao zitokokee kitaani kwangu ndio niwaonyeshe kazi hiyo mindevu yao nitatumia kuchambia.
Pole pole ndugu yangu. Hoja yako Ina nguvu Ila mbona haraka haraka Sana? Ona sasa makosa ya kiuandishi yalivyojaa!!. Any way, hizi zote ni changamoto za muungano na za kikatiba. Zanzibar ni Kama nchi za ng'ambo ambazo Katiba ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania haihusiki katika kuongoza na kusimamia kanuni za kiutawala na kisheria. Zanzibar inajiamulia na kufanya inachotaka. Uhuru wa wananchi ziro kabisa. Na serikali ipo lakini haisemi chochote. Leo kaombe kiwanja Zanzibar Cha kujenga kanisa uone!. Wao wakija bara Kila kitu Hakisawa Kama wamezaliwa Mbeya. Katiba mpya ndiyo jibu tu. Ila wanasemaga yajayo ni neema tupu au yanafurahisha nafikiri walitabiri juu ya Katiba mpya. Nisameheni bure jamani, nisiposema Mimi atasema Nani?.
 
Kipindi cha mfungo wa Ramadhani biashara ya kitimoto huwa inashuka sana hasa mikoa ya Dar es salaam ,Pwani 'Tanga,Lindi ,mtwara na ujiji kigoma na Zanzibar kwenye waislamu wengi

Mauzo pia ya Pombe kwenye hayo maeneo Hushuka sana kipindi cha Ramadhani

Mauzo hupanda juu wakifungua
 
Itoshe kusema watu wa imani ile ni washari na wakorofi sana, ni wanafiki kuliko vipimo vyote vya unafiki ati dini yao ni ya haki, sasa haki gani ya kubugudhi wengine kama wewe umefunga ndio ulazimishe wa wengine wasiokua wa imani yako wafunge ?!!! Ebo !!

Mbona wengine hua wanafunga kwarezwa na hutajamahi kusikia wakiwafanyia fujo watu wanaokula ?!!

Yani eti mtu amefunga ila anatembea na mafimbo kupiga wanaokula na kuvunja wenye migahawa wanaojiuzia chakula.

Hivi hawa jamaa na dini lao wanajiona kina nani ati ukiua mtu kwa kutetea dini unaenda kupewa mabikra 72 na vimito 6 ya pombe peponi, jamani hili dini ati kuna watu wanaamini maujinga haya ati ni dini ya kweli.

Unafiki kujifanya wamefunga huku vijana wa kiume visiwani humo zaidi ya nusu hawana marinda ila eti anaekula chakula katenda uovu mkubwa wa kupigwa hadharani UNAFIKI wa viwango vya phd. Majitu maswahili swahili tu

Wanajifanyaga wakorofi afu wachumba tu wapaka lipstic. Kuna makati kitabu chao kilichanwa huko nchi za mbali kabisa nadhani Canada eti wao hapa nchini wakaanza kuchoma makanisa usiku.

Hawa jamaa ni wajinga sana sasa kitabu kimechanwa huko Canada wao wanachoma makanisa ya huku Kolomije. Hua natamani vurugu zao zitokokee kitaani kwangu ndio niwaonyeshe kazi hiyo mindevu yao nitatumia kuchambia.
Tena sio kuzuia kula tu...wakristo hata hawalalamiki kupanda kwa gharama yoyote ile wao na maumivu yao...njoo sasa upande wa pili....kila kitu wanaonewa utadhani wamepandishiwa wao wengine bei iko chini.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Itoshe kusema watu wa imani ile ni washari na wakorofi sana, ni wanafiki kuliko vipimo vyote vya unafiki ati dini yao ni ya haki, sasa haki gani ya kubugudhi wengine kama wewe umefunga ndio ulazimishe wa wengine wasiokua wa imani yako wafunge ?!!! Ebo !!

Mbona wengine hua wanafunga kwarezwa na hutajamahi kusikia wakiwafanyia fujo watu wanaokula ?!!

Yani eti mtu amefunga ila anatembea na mafimbo kupiga wanaokula na kuvunja wenye migahawa wanaojiuzia chakula.

Hivi hawa jamaa na dini lao wanajiona kina nani ati ukiua mtu kwa kutetea dini unaenda kupewa mabikra 72 na vimito 6 ya pombe peponi, jamani hili dini ati kuna watu wanaamini maujinga haya ati ni dini ya kweli.

Unafiki kujifanya wamefunga huku vijana wa kiume visiwani humo zaidi ya nusu hawana marinda ila eti anaekula chakula katenda uovu mkubwa wa kupigwa hadharani UNAFIKI wa viwango vya phd. Majitu maswahili swahili tu

Wanajifanyaga wakorofi afu wachumba tu wapaka lipstic. Kuna makati kitabu chao kilichanwa huko nchi za mbali kabisa nadhani Canada eti wao hapa nchini wakaanza kuchoma makanisa usiku.

Hawa jamaa ni wajinga sana sasa kitabu kimechanwa huko Canada wao wanachoma makanisa ya huku Kolomije. Hua natamani vurugu zao zitokokee kitaani kwangu ndio niwaonyeshe kazi hiyo mindevu yao nitatumia kuchambia.
Acha mipasho lete hoja na mifano hai, nani kakatazwa kula na wapi?
 
Tena sio kuzuia kula tu...wakristo hata hawalalamiki kupanda kwa gharama yoyote ile wao na maumivu yao...njoo sasa upande wa pili....kila kitu wanaonewa utadhani wamepandishiwa wao wengine bei iko chini.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Ni raia wanayo haki ya kulalamika bei kama sio rafiki
 
Mkuu vinajaaa hawanaaa marindaa tenaaa????inamaana kuna wanaumee wanawakidhiaa hajaa wanaume wenzaooo???
 
Wakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30

Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza

Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
Kuna watu wanakua KAMA WACHAWI
 
Mtoa mada anataka kujua sababu ya kupiga bakora wengine kwa sababu hawajafunga ilhali mfungo wa kwarsma hakuna kushurutishana,
Kama kweli kuna watu wanafanya hivi ni ulimbukeni tu unawasumbua, hao ndio wale hata kumeza mate hawataki (kutuchafulia tu mji) eti watafungua, Uislam haukuifanya funga ya Ramadhani kuwa ngumu kiasi hiki...hao wafanyayo hayo ya kupiga watu kuwalazimisha kufunga hawajui dini...ni ama wamekariri tu...muwasamehe buree!
 
Back
Top Bottom