Yaani Bado unaendelea kutoa vichambo tu kama mtoto wakike,wewe ni juma lokole niniKama haujaiona hoja yangu kwahakika wewe ni mmoja wa mashoga wa visiwani wanaowafanyia vurugu waKristo wanaokula chakula msimu wenu wa kufunga.
Na bora hoja yangu usiine, ninakisasi sana na nyie midebwedo umenipata Zero Marinda
wanafiki wakifunga wanataka waonekane mbele ya hadhara kuwa wamefunga yaaani hawa jamaa wa ajabu
We umewahi kifunga hiyo kwarezwa?Mbona wengine hua wanafunga kwarezwa na hutajamahi kusikia wakiwafanyia fujo watu wanaokula ?!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30
Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza
Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
Sometimes ni elimu na uswahili we chunguza vizuri but anyway ni kuheshimu dini za watu. The main point mfungo wa kikristu na kiislamu ni kuwa karibu na Mungu na maanisha kusali na kuepushana na anasa....maswala ya kufunga kula ni minor.ila ni kwa mtazamo wanguNdio maana nakwambia kujiendekeza tu hawa muslims wa kibongo uswahili mwingi na kupenda shari za kijinga
😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗Wazazi msiruhusu watoto wenu wa primary school kuchezea simu zenu haswa kipindi cha likizo au sikukuu km hii ya leo, inaleta usumbufu kwa Great thinkers, period!!!
Na makucha yakeKumekuchaaaaa
MAKAFIRI YANA CHUKI YA WAZIWAZI DHIDI YA UISLAMUWazazi msiruhusu watoto wenu wa primary school kuchezea simu zenu haswa kipindi cha likizo au sikukuu km hii ya leo, inaleta usumbufu kwa Great thinkers, period!!!
Point hiiWakristo wanafunga Siku 40 waislamu. Siku 30
Mkristo akifunga hata umwambie nikaangie chips kuku anakukaangia bila shida haoni kuwa unamkwaza
Waislamu wakifunga ooh swaumu swaumu marufuku kula hadharani na kelele kibao ohhh mimi nimefunga!! Usile mbele yangu yaani shida tupu.Kwa wakristo funga ni yako binafsi usimkere asiyefunga kwa waislamu funga ni jumuiya asiyefunga una kesi utafikiri ndie uliyemtuma afunge!! Ukila chips yako mikelele kibao anakununia ofisini utafikiri wewe ndio ulimtuma afunge
Akili ya mwafrika duni sana. Unamchukia na kumuita kafiri nduguyo kisa utamaduni wa mwarabu ulioletewa kwa mashua na hujui hata histaoria yake na unajiona mkamilifu sana! Utamaduni wa babu zako umeutupa huko!Hivi kumbe hii mikafiri mijitu inayofakamia nguruwe nayo inafunga?
Utaratibu wao usiwe wa kusumbua wengine. Mungu mwenyewe alimpa uhuru mwanadamu, wao ni akina nani hata wamsaidie asichowatuma?Ni utaratibu tu waliojiwekea