Mbona mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya mara kwa mara hayaleti tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Mbona mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya mara kwa mara hayaleti tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Sasa ulitegemea ukarabati ungefanyika kwa miezi mitatu? Tatizo mangwini wengi wanafikiri kuweka miundombinu imara na ya uhakika ya umeme kwa Taifa ni sawa na kutunga beti sita za mashairi ya Andanenga...
Kwa hiyo ukarabati mkubwa bado haujaisha, "Mzee baba"?

Utaisha lini huo ukarabati? Maana January (Mbunge na Waziri) amekaa pale Nishati zaidi ya miezi mitatu!
 
Unafikiri kwenye kuendesha nchi kuna taa ya ajabu ya Aladin wa Alfu lela u lela?

Unatolewa kwenye minyororo ya umasikini bado huoni.

Unafahamu kuwa mara ya kwanza Tanzania watu wanapewa ardhi ya kilimo, wanapewa mafunzo ya kilimo na ujasiriamali wake, unapewa kuanzia shamba, kusafishiwa shamba, mpaka iuv u kulima na mpaka soko la mazao yako kwa kuwezeshwa?

Wewe itakuwa ni katika wale wenye macho lakini hayaoni, una mamasio lakini hayasikii, kwenye mioyo yao kuna maradhi...
Mambo mengine ukae kimya wewe bibi kilembwe uliyepitwa na wakati kila unachowaza ni uccm tu huna lolote
 
Kwa hiyo ukarabati mkubwa bado haujaisha, "Mzee baba"?

Utaisha lini huo ukarabati? Maana January (Mbunge na Waziri) amekaa pale Nishati zaidi ya miezi mitatu!
Miezi mitatu hata wewe ukijenga nyumba yako ndogo muda sio rafiki. Sembuse mamiradi makubwa yanayohitaji mabilioni ya mahela na utaalamu uliotukuka?

Amini nakuambia inahitaji si chini ya miaka mitano kama tuko seriuos kuweza kutatua hili tatizo once and for all....
 
Mambo mengine ukae kimya wewe bibi kilembwe uliyepitwa na wakati kila unachowaza ni uccm tu huna lolote
🤣🤣Usimtukane
Ila kanikumbusha mbali,aladin na taa ya ajabu,nikitoka job nikitafute kitabu hiki kwenye maktaba yangu ya home nikisome kidogo👌
 
Unafikiri kwenye kuendesha nchi kuna taa ya ajabu ya Aladin wa Alfu lela u lela?

Unatolewa kwenye minyororo ya umasikini bado huoni.

Unafahamu kuwa mara ya kwanza Tanzania watu wanapewa ardhi ya kilimo, wanapewa mafunzo ya kilimo na ujasiriamali wake, unapewa kuanzia shamba, kusafishiwa shamba, mpaka iuv u kulima na mpaka soko la mazao yako kwa kuwezeshwa?

Wewe itakuwa ni katika wale wenye macho lakini hayaoni, una mamasio lakini hayasikii, kwenye mioyo yao kuna maradhi...
Wewe nawe Kilaza,aliyekwambia Watanzania wana shida ya Ardhi ni nani? Mwalimu Nyerere aliwapa Ardhi Watanzania siyo kama Kenyatta aliyekuwa anawapa marafiki zake na kabila lake.
Hiyo BBT ni uwizi wa Bashe,kama wanataka kuwasaidia Wakulima waende vijijini ndiko Kuna vijana wanalima na siyo hao masharobaro wa Mjini.
 
Bado hutajelewa hasa chanzo cha matatizo yetu.
To be honest Samia amefeli na kitu kingine nimegundua haijui nchi kabisa,anaambiwa tu na yeye anakubali.
 
yanawezaje kuleta tija wakati watu ni walewale wanabadilishiwa maeneo tu.

yaani unategemea matokeo chanya from the people of the same level of thinking.
 
Kila mara rais anafanya mabadiliko ya baraza la mawazri, lkn hakuna tija yoyote ambayo inaonekana.

Mfano, sasa upatikanaji wa umemme ndiyo shida kabisa. Ni kama sasa tuna blackout Tanga tangu Makamba atoke wizara ya nishati.

Jana mgao wa umeme ulikuwa mkali maana umerudi saa saba usiku. na Jana yake the whole day hapakuwa na umeme!

Naona yamemshinda nani kama mama!
Yeye anasema sio adhabu ,kwa maana nyingine hata wasipodeliver amna wa kuwasumbua
 
Unafikiri kwenye kuendesha nchi kuna taa ya ajabu ya Aladin wa Alfu lela u lela?

Unatolewa kwenye minyororo ya umasikini bado huoni.

Unafahamu kuwa mara ya kwanza Tanzania watu wanapewa ardhi ya kilimo, wanapewa mafunzo ya kilimo na ujasiriamali wake, unapewa kuanzia shamba, kusafishiwa shamba, mpaka iuv u kulima na mpaka soko la mazao yako kwa kuwezeshwa?

Wewe itakuwa ni katika wale wenye macho lakini hayaoni, una mamasio lakini hayasikii, kwenye mioyo yao kuna maradhi...
Wew kumbe ni Uvccm maana naona waliopewa ni uvvccm pekee
 
Back
Top Bottom