Mbona mabadiliko ya Baraza la Mawaziri ya mara kwa mara hayaleti tija yoyote kwa mwananchi wa kawaida?

Sasa ulitegemea ukarabati ungefanyika kwa miezi mitatu? Tatizo mangwini wengi wanafikiri kuweka miundombinu imara na ya uhakika ya umeme kwa Taifa ni sawa na kutunga beti sita za mashairi ya Andanenga...
Kwa hiyo ukarabati mkubwa bado haujaisha, "Mzee baba"?

Utaisha lini huo ukarabati? Maana January (Mbunge na Waziri) amekaa pale Nishati zaidi ya miezi mitatu!
 
Mambo mengine ukae kimya wewe bibi kilembwe uliyepitwa na wakati kila unachowaza ni uccm tu huna lolote
 
Kwa hiyo ukarabati mkubwa bado haujaisha, "Mzee baba"?

Utaisha lini huo ukarabati? Maana January (Mbunge na Waziri) amekaa pale Nishati zaidi ya miezi mitatu!
Miezi mitatu hata wewe ukijenga nyumba yako ndogo muda sio rafiki. Sembuse mamiradi makubwa yanayohitaji mabilioni ya mahela na utaalamu uliotukuka?

Amini nakuambia inahitaji si chini ya miaka mitano kama tuko seriuos kuweza kutatua hili tatizo once and for all....
 
Mambo mengine ukae kimya wewe bibi kilembwe uliyepitwa na wakati kila unachowaza ni uccm tu huna lolote
🤣🤣Usimtukane
Ila kanikumbusha mbali,aladin na taa ya ajabu,nikitoka job nikitafute kitabu hiki kwenye maktaba yangu ya home nikisome kidogošŸ‘Œ
 
Wewe nawe Kilaza,aliyekwambia Watanzania wana shida ya Ardhi ni nani? Mwalimu Nyerere aliwapa Ardhi Watanzania siyo kama Kenyatta aliyekuwa anawapa marafiki zake na kabila lake.
Hiyo BBT ni uwizi wa Bashe,kama wanataka kuwasaidia Wakulima waende vijijini ndiko Kuna vijana wanalima na siyo hao masharobaro wa Mjini.
 
Bado hutajelewa hasa chanzo cha matatizo yetu.
To be honest Samia amefeli na kitu kingine nimegundua haijui nchi kabisa,anaambiwa tu na yeye anakubali.
 
yanawezaje kuleta tija wakati watu ni walewale wanabadilishiwa maeneo tu.

yaani unategemea matokeo chanya from the people of the same level of thinking.
 
Yeye anasema sio adhabu ,kwa maana nyingine hata wasipodeliver amna wa kuwasumbua
 
Wew kumbe ni Uvccm maana naona waliopewa ni uvvccm pekee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…